Madhara ya kusoma sana vitabu

Madhara ya kusoma sana vitabu

Shikamoo unataka kuninyima nini?

Nina hamu ya kukuandikia uzi "Madhara ya Wachokozi".

Nimepewa changamoto kubwa wiki ya siku ya Kiswahili duniani 7/7/2023. Nimegundua Watanzania wengi hawajui Kiswahili, na viwango vya Kiswahili vinashuka, mpaka sisi watu wa kawaida kabisa siku hizi tunaonekana wajuzi sana, na misamiati midogo tu inafanya wengine wajione wanagenzi.

Kisukuma nipe namba tuongee ukisikie mwenyewe, maana nikiandika ile lahaja itabomoa kibodi.

Wuuuhuuuuuuu aahahahahahhaaa

1. Ntakupa vyoooooote kasoro kimoja tuuu...😜😜

2. Please do it, obey your thirsty.... I'll be in that thread too hooking up here and there...😉😉 am waiting for it, "Madhara ya Wachokozi".

3. Ooh huwa sisahau miaka kadhaa nyuma wakati Mheshimiwa Mizengo K P Pinda alikuwa waziri mkuu wa Tanzania, ilikuwa wiki ya kiswahili. Aliposimama kuongea akatamka haelewi kwanini watu siku hizi wakiongea kiswahili lazima wachanganye na kiingereza ambacho pia si fasaha...

Wakati anamalizia akatamka neno la kiingereza, hakustuka hadi baada ya sekunde kadhaa...😁😁😁😁 akajificha chini ya mimbari huku anacheka, ilifurahisha sababu kitu kilichomshangaza hata yeye anakiishi...😅😅😅 Lugha ni changamoto, inahitaji kazi kukirudisha kiswahili kwenye mstari.

4. Now you are talking, am buzzing my digits in your 📦, can't wait to hear that tone in arranged vowels...😋😋😄.

Kasinde Matata.
 
Angalia sana haya mambo.

Utajifunza mengi juu ya Ulimwengu na uulize ukweli wake. Ukijua hakuna ukweli.

Utakuwa muongeaji sana kwenye karamu maandishi na hulali.

Mpenzi wako ataondoka kitandani kwa sababu mazungumzo ya wapenzi yamekuwa jukwaa la mjadala wa kifalsafa. Yaani unakera.

Utakuwa unahangaika kuweka mitazamo yako ukidhani Dunia ni yako na japo unatambua kwamba kila kitu ni kibaya. Hakuna masuluhisho.

Utatumia maneno katika maisha ya nadharia hata mchumba ako atakuona kero. Kutongoza inakuwa kama lecture. Maneno kibao.

Wakati mwingine unakosa nafasi ya vitu vyako vya kibinafsi kwani nyumba na vyumba vyako vinajazwa na vitabu.

Utajikuta ni maskini na bila makazi kwa sababu umetumia pesa zako zote kwenye vitabu.

Yaani daima waweza usipate kazi kwa sababu umehitimu kupita kiasi na muulize mhojiwa maswali mengi ambayo hawezi kujibu.

Lazima utajenga tatizo la unywaji pombe kwa sababu hakuna mtu anayekuelewa.
Acha tu nipate hizo hasara ilimradi tumbo na ubongo ushibe.
 
Usiombe ukutane na waliosoma vitabu vya Robert Kiyosaki [emoji1316][emoji1316][emoji1316] hawashaurikagi hawa watu wanaamini kuajiriwa ni utumwa.

Halafu wanaishi maisha magumu mno
Maisha magumu ni mtizamo wa muhusika , unaweza kuona mwingne anamaisha magumu kwa sababu umemlinganisha na wewe au na matamanio yako , kumbe yeye binafsi wala haoni huo ugumu.
 
Usiombe ukutane na waliosoma vitabu vya Robert Kiyosaki [emoji1316][emoji1316][emoji1316] hawashaurikagi hawa watu wanaamini kuajiriwa ni utumwa.

Halafu wanaishi maisha magumu mno
Hahahaaaaaaaaaa, umenifurahisha sana.hawa watu tunao wengi sana wanatuita illiterate people.
 
Wasoma vitabu wengi wako brainwashed na vitabu wanavyosoma kiasi cha kuamini maisha ni theory ya hivyo vitabu.

Hata hao hao waliofanikiwa na kutunga vitabu maajabu ni kwamba hawakufanikiwa kwa kusoma vitabu.
 
Mie ni moderate book wormer, cjaona tatizo la kusoma vitabu zaidi ya faida. I enjoy reading books kwa sasa hasa vya afya!

Yap, kuna dogo nilikutana nae, anasoma vitabu sana, amechonga mpk masanduku ka ya sekondari kajaza mavitabu...yaani ye kitabu akisikia ni kizuri ananunua hata kwa kukopa. Kuna vitabu vinakua na Sets like Encyclopidia, atanunua all copies!

Maisha yake: He is so poor even to own a room, na habadiliki. Ana misimamo ya kikoloni na haapply asomacho. Huu ni ulevi tu ka ulevi wa Heroine, ucpojidhibiti unakufa masikini...
 
Umenifanya nirudi kusoma comment yangu.

Siku zote ukiona mtu anapinga kitu kama hiki (ambacho ni constructive) either fahamu kuwa hapendi kusoma na hapendi maarifa.

Kusoma ndio kuna gharama zake kama muda, pesa n.k lakini manufaa yake ni mengi. Kupata kufahamu na kutambua mambo mbalimbali, kama ni lugha ngeni utajifunza vizuri n.k

Watu wengi ni wavivu wakufahamu vitu na ndio maana mara nyingi huwa hawawezi kujenga hoja au kuwa na reference. They alwats have lame arguments and most of the time commit logical fallacies most of them ad hominem and hasty generalization.

Usisikize watu kama hawa wao wanapenda umbea wa vijiwe vya draft na kahawa. Huko ndio wanapotoa maarifa yao ya kudanganyana.

I hope huu uzi mliwahi kuuona. Carleen Kiranga Paula Paul
Sikuwa nimeuona hapo kabla kiukweli,

Nimekutana mara nyingi sana na watu ambao hawawezi kusoma hata mistari michache tu ya maandishi mbalimbali, nilikuwa nina rafiki yangu nikimpa kitu asome anasema ni bora nimsomee maana yeye hataweza, hivyo inabidi nimsomee tu ili aupate ujumbe kusudiwa..!

Wanaoamini kusoma ni kupoteza muda, unawapa 'ilmu' kidogo kisha unaendelea na maisha yako, wazungu wanakuambia 'to each their own '..!

Nilikutag pahala halafu siku fulani sidhani kama uliipata tag..!
 
Sikuwa nimeuona hapo kabla kiukweli,

Nimekutana mara nyingi sana na watu ambao hawawezi kusoma hata mistari michache tu ya maandishi mbalimbali, nilikuwa nina rafiki yangu nikimpa kitu asome anasema ni bora nimsomee maana yeye hataweza, hivyo inabidi nimsomee tu ili aupate ujumbe kusudiwa..!

Wanaoamini kusoma ni kupoteza muda, unawapa 'ilmu' kidogo kisha unaendelea na maisha yako, wazungu wanakuambia 'to each their own '..!

Nilikutag pahala halafu siku fulani sidhani kama uliipata tag..!
Kwakweli to each their own. Ila kukosoa sio sawa.

Sikuona asee sometimes nikikaa mda sijaingia notifications zikiwa nyingi naweza kumiss some. Ila sijaacha makusudi.
 
Yaani ulichoandika ni very true. Mtu anakuambia alikuwa hana pa kulala ila analala kwenye gari 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe una pakulala ila ndoto ya gari hata huioni ikitimia any time soon hapo ndio utajua tunatofautiana sana mazingira
Ndio hivyo mkuu!!,Sasa vijana wetu hawajiongezi wao ni kubeba kila kitu mwisho wa siku wanaangukia pua.
 
Mkuu ngoja nikuambie kitu. Nimesoma vitabu, nimesikiliiza vitabu na nimeangalia vitabu akuna cha maana utakipata kwenye maisha yako halisi ukiwa na watanzania wenzako. Ukitaka kusoma, soma kama burudani( yani uwe mjuaji) tu usitegemee zaidi ya hapo.
Exactly.Tofauti na hapo ni kutafuta kupotea.
 
Maisha magumu ni mtizamo wa muhusika , unaweza kuona mwingne anamaisha magumu kwa sababu umemlinganisha na wewe au na matamanio yako , kumbe yeye binafsi wala haoni huo ugumu.
NAKAZIA.
 
Kwa haraka haraka we we ni mbovu wa kifikra unaposoma vp vitabu inakuongezea tu uwezo wa kuelewa mambo na kuyadadafua, hili sijui hawana maisha mazuri sijui hawana chochote ni ujinga wa msomaji it means yale maarifa aliyochota yalipita kushoto na hayakusaidia chochote bali anatumi auwezo wake binafsi
 
Angalia sana haya mambo.

Utajifunza mengi juu ya Ulimwengu na uulize ukweli wake. Ukijua hakuna ukweli.

Utakuwa muongeaji sana kwenye karamu maandishi na hulali.

Mpenzi wako ataondoka kitandani kwa sababu mazungumzo ya wapenzi yamekuwa jukwaa la mjadala wa kifalsafa. Yaani unakera.

Utakuwa unahangaika kuweka mitazamo yako ukidhani Dunia ni yako na japo unatambua kwamba kila kitu ni kibaya. Hakuna masuluhisho.

Utatumia maneno katika maisha ya nadharia hata mchumba ako atakuona kero. Kutongoza inakuwa kama lecture. Maneno kibao.

Wakati mwingine unakosa nafasi ya vitu vyako vya kibinafsi kwani nyumba na vyumba vyako vinajazwa na vitabu.

Utajikuta ni maskini na bila makazi kwa sababu umetumia pesa zako zote kwenye vitabu.

Yaani daima waweza usipate kazi kwa sababu umehitimu kupita kiasi na muulize mhojiwa maswali mengi ambayo hawezi kujibu.

Lazima utajenga tatizo la unywaji pombe kwa sababu hakuna mtu anayekuelewa.
Hii inafikirisha
 
Mi nimesoma vitabu vingi, hitimisho nitalokupatia ndugu msomaji ni kwamba one constant in our world is change, you can't step on same river twice.
 
Back
Top Bottom