Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Zaidi ya kaya 50 kutoka kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera zinaomba msaada kwa serikali baada ya nyumba zao kujaa maji na kusababisha wakose sehemu ya kuishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaomba msaada kwa serikali?Zaidi ya kaya 50 kutoka kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera zinaomba msaada kwa serikali baada ya nyumba zao kujaa maji na kusababisha wakose sehemu ya kuishi.
View attachment 2971039
Kwani Serikali ndo iliwajengea hizo nyumba kwenye mkondo wa maji? Wakishaambiwa hivyo Ila wamesahau.Wanaomba msaada kwa serikali?