Madhara ya mwanaume kuoa mwanamke asiyempenda

Madhara ya mwanaume kuoa mwanamke asiyempenda

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume kuoa mwanamke asiyempeda. (Na kwa taarifa yako zipo ndoa nyingi za namna hiyo).

Sababu hizo ni mwanaume:-
1. Kumkosa mke wa ndoto yake.
2. Kuachwa ama kufiwa na mke aliyempenda sana.
3. Kuachiwa watoto wadogo ghafla kwasabb ya talaka ama kifo.
4. Kumpa mimba mwanamke ambaye ni wa kutolea upwiru tu e.g baamedi, housegirl, mdangaji, n .k.

Madhara yake:-
1. Kumkinai kuko nje nje.
2. Kuchepuka kuko nje nje.
3. Dharau kwa mke zinakuwa nyingi.
4. Kumtoa out inakuwa kama laana.
5. Kumpa hela ni kwa mbinde na matusi juu.

Kuoa mwanamke kwa sababu nyingine na siyo upendo toka moyoni ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.

N.B. Mwanaume akimpenda mke, mke atamheshimu mume na ndoa itakuwa na furaha.

By kungwi Sexless
 
Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume kuoa mwanamke asiyempeda. (Na kwa taarifa yako zipo ndoa nyingi za namna hiyo).

Sababu hizo ni mwanaume:-
1. Kumkosa mke wa ndoto yake.
2. Kuachwa ama kufiwa na mke aliyempenda sana.
3. Kuachiwa watoto wadogo ghafla kwasabb ya talaka ama kifo.
4. Kumpa mimba mwanamke ambaye ni wa kutolea upwiru tu e.g baamedi, housegirl, mdangaji, n .k.

Madhara yake:-
1. Kumkinai kuko nje nje.
2. Kuchepuka kuko nje nje.
3. Dharau kwa mke zinakuwa nyingi.
4. Kumtoa out inakuwa kama laana.
5. Kumpa hela ni kwa mbinde na matusi juu.

Kuoa mwanamke kwa sababu nyingine na siyo upendo toka moyoni ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.

N.B. Mwanaume akimpenda mke, mke atamheshimu mume na ndoa itakuwa na furaha.

By kungwi Sexless
Ongezea hii kuoa mke kwa sababu ya ajira yake.
 
Kuna sababu nyingi zinazoweza kumfanya mwanaume kuoa mwanamke asiyempeda. (Na kwa taarifa yako zipo ndoa nyingi za namna hiyo).

Sababu hizo ni mwanaume:-
1. Kumkosa mke wa ndoto yake.
2. Kuachwa ama kufiwa na mke aliyempenda sana.
3. Kuachiwa watoto wadogo ghafla kwasabb ya talaka ama kifo.
4. Kumpa mimba mwanamke ambaye ni wa kutolea upwiru tu e.g baamedi, housegirl, mdangaji, n .k.

Madhara yake:-
1. Kumkinai kuko nje nje.
2. Kuchepuka kuko nje nje.
3. Dharau kwa mke zinakuwa nyingi.
4. Kumtoa out inakuwa kama laana.
5. Kumpa hela ni kwa mbinde na matusi juu.

Kuoa mwanamke kwa sababu nyingine na siyo upendo toka moyoni ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.

N.B. Mwanaume akimpenda mke, mke atamheshimu mume na ndoa itakuwa na furaha.

By kungwi Sexless
Unafikiri tuna oa na mapenzi ila ndani ya miezi sita anakuonyesha ragi zake halisi, tuna ishi nao hivo hivo. Ila mwanamke siku zote ni kichomi kwenye ndoa.
 
Unafikiri tuna oa na mapenzi ila ndani ya miezi sita anakuonyesha ragi zake halisi, tuna ishi nao hivo hivo. Ila mwanamke siku zote ni kichomi kwenye ndoa.
Hawa wanawake wa toleo la 70's kuja juu ndio tatizo
 
Back
Top Bottom