Madhara ya TRA kufunga akaunti za benki za wafanyabiashara! Mnaomshauri Rais mnataka afeli ionekane Mwanamke hawezi kazi

Madhara ya TRA kufunga akaunti za benki za wafanyabiashara! Mnaomshauri Rais mnataka afeli ionekane Mwanamke hawezi kazi

kwa mabenk ya kibongo sometimes unatamani hata uwe unaweka pesa nje. though kama kuna utapeli na uvunjaji wa sheria, kushughulikia watu wa aina hiyo sio mbaya.
 
Ndio maana kila siku huwa nasema jamii ya kiafrika imejaa watu wapumbavu wasio jua wanataka nn.
Hivi nyinyi sindo mlikuwa mnamsema mama kuwa ni dhaifu na ameacha nchi ichezewe hovyo leo hii anataka kudhibiti hayo mambo ya hovyo tena mnalalamika.
Kama kaamua kazi kweli inabid tuanze kusikia mizigo mikubwa ambayo haijalipa kodi inakamatwa,watumishi wa umma na viongozi wanawajibishwa wale wanaoendelea kutafuna hela za umma

Mpaka sasa kuna wakurugenzi kibao wamevuruga,kuna miradi kibao inaonekana wazi watu wamepiga hela lakini hakuna hata mmoja ambae ameshachukuliwa hatua

Badala ya kudili na watu kama hao,Mama yako anakimbilia kuiba hela za watu bank
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana huko duniani.

Tatizo watu hawapendi kulipa kodi hiyo inaeleweka.

Na ili kodi ya serikali ipatikane kila njia huwa zinatumika.

Tutajifunza taratibu.
 
Hivi mpaka TRA wanafikia stage ya kufunga account ya mtu maana yake sio kwamba wameshayazungumza mpaka wakachoka?

Sitaki kuamini kama TRA wanaamua kuwa wababe tu kwa mtu bila sababu za msingi, hapa ni vile TRA wamesema kuna sheria iliyowazuia kufunguka kwa upande wao, inawezekana Diamond alilalamika ili kutafuta public sympathy tu.
 
Hivi mpaka TRA wanafikia stage ya kufunga account ya mtu maana yake sio kwamba wameshayazungumza mpaka wakachoka?

Sitaki kuamini kama TRA wanaamua kuwa wababe tu kwa mtu bila sababu za msingi, hapa ni vile TRA wamesema kuna sheria iliyowazuia kufunguka kwa upande wao, inawezekana Diamond alilalamika ili kutafuta public sympathy tu.
kabla ya kufka huku ilikuwa inawezekana kabisa diamond kuitwa na mamlaka za juu tu wakaongea yakaisha! hao benki watayumba sana kiuchumi hao wasubirie tu
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Kwa maelezo yako rais anafanya kazi kwa maelekezo ya Mwigulu?

Hebu acha ujinga na upuuzi wa kudhalilisha rais pamoja na mamlaka.
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Lipa Kodi....
 
Tulipe Kodi kwa Maendeleo ya Taifa.

Wafanyabiashara wanakwepa sana Kodi.
Ni mfanyabiashara gani anayekwepa kodi unayemfahamu wewe? Watu wanapenda sana kuropoka. Ukimwuliza hajui chochote.

Kuna uhuni aliuanzisha marehemu. Aliyalazimisha mabenki kupeleka kwake majina ya watu wenye pesa nyingi bank. Akijisikia kumpora pesa mtu, wanamfungia account halafu ndiyo wanamwandikia kuwa apeleke uthibitisho wa kulipa kodi zote kwa miaka 10 iliyopita. Tena waliokuwa wakipelekewa barua, unakuta miaka yote ya huko nyuma walikuwa na tax clearance tayari. Ulikuwa ni uhuni, na kinyume cha sheria, lakini kwa sababu ulikuwa ni uongozi wa kidikteta, alifanya alivyotaka.

Huwezi kumdai mtu risiti za kulipa kodi miaka 10 iliyopita wakati tayari kwa miaka hiyo alikwishapata tax clearance.

Wajinga wanafikiri ni rahisi kukwepa kodi. Wanaoweza kukwepa kodi kiurahisi, labda wafanyabiashara wa maduka, lakini siyo wawekezaji wakubwa.
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Alafu kesho utamuona jukwaani aliimba " Ccm baba Lao" pumbavu kabisa ache anyooshwe.
 
Ni mfanyabiashara gani anayekwepa kodi unayemfahamu wewe? Watu wanapenda sana kuropoka. Ukimwuliza hajui chochote.

Kuna uhuni aliuanzisha marehemu. Aliyalazimisha mabenki kupeleka kwake majina ya watu wenye pesa nyingi bank. Akijisikia kumpora pesa mtu, wanamfungia account halafu ndiyo wanamwandikia kuwa apeleke uthibitisho wa kulipa kodi zote kwa miaka 10 iliyopita. Tena waliokuwa wakipelekewa barua, unakuta miaka yote ya huko nyuma walikuwa na tax clearance tayari. Ulikuwa ni uhuni, na kinyume cha sheria, lakini kwa sababu ulikuwa ni uongozi wa kidikteta, alifanya alivyotaka.

Huwezi kumdai mtu risiti za kulipa kodi miaka 10 iliyopita wakati tayari kwa miaka hiyo alikwishapata tax clearance.

Wajinga wanafikiri ni rahisi kukwepa kodi. Wanaoweza kukwepa kodi kiurahisi, labda wafanyabiashara wa maduka, lakini siyo wawekezaji wakubwa.
Tax clearance za miaka kumi ni mchongo.Marehemu hakuwa mjinga.
 
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Ila kiukweli mama asipomuangalia huyu jini atamwangusha sana!
Huyu mtu nia yake ni uaraisi 2025 japo anajua hawezi kabisa hata uwaziri wenyewe ni hovyo!
 
Ila kiukweli mama asipomuangalia huyu jini atamwangusha sana!
Huyu mtu nia yake ni uaraisi 2025 japo anajua hawezi kabisa hata uwaziri wenyewe ni hovyo!
mwigulu kuhusika na vita ya mkiru kule akiwa waziri mambo ya ndani kunamfanya akose sifa za kuwa mtu katili sana
 
Hayo ni mambo ya kawaida sana huko duniani.

Tatizo watu hawapendi kulipa kodi hiyo inaeleweka.

Na ili kodi ya serikali ipatikane kila njia huwa zinatumika.

Tutajifunza taratibu.

Hatua za kisheria . Sio kila njia.

Kukwapua pesa za watu benki
kunaifanya serikali kuwa kama genge la Mafiosi.
 
Hatua za kisheria . Sio kila njia.

Kukwapua pesa za watu benki
kunaifanya serikali kuwa kama genge la Mafiosi.
Fuatilia IRS ya Marekani ambayo ni kama TRA hapa utaona namna wenzetu walivyo serious.

Wanachukua pesa kwenye account za watu ,wanakamata mali na kuziuza.

Swala la kodi wenzetu wanalipa kipaumbele mno.
 
Hivi mpaka TRA wanafikia stage ya kufunga account ya mtu maana yake sio kwamba wameshayazungumza mpaka wakachoka?

Sitaki kuamini kama TRA wanaamua kuwa wababe tu kwa mtu bila sababu za msingi, hapa ni vile TRA wamesema kuna sheria iliyowazuia kufunguka kwa upande wao, inawezekana Diamond alilalamika ili kutafuta public sympathy tu.
Mkuu ukisikiliza vizuri hiyo video Diamond kaeleza vizuri Sana kwanza kalamika 700M imekwapuliwa kwenye account ya benki ikabidi aende TRA ili ajue kwanini wamechukua 700m bila kupewa taarifa yoyote ameenda kule wamempiga danadana mpaka akataja majina ya maofisa wa TRA aliyoonana nao bila majibu yoyote baada ya Hilo suala limeibuka Tena Hili la kufungiwa account zake na anachodai diamond huwa analipa kodi na Mara nyingi huwa anaongea na TRA na sometimes wanampa hadi ufafanuzi hadi number ya simu yake wanayo lakini anachohoji kwanini kwenye Hili wameshindwa kumpa ushirikiano na taarifa yoyote kama vile yeye ni mkimbizi
 
Tulipe Kodi kwa Maendeleo ya Taifa.

Wafanyabiashara wanakwepa sana Kodi.
Unalipaje kodi ambayo wakina Mwigulu wanaenda kuitumia kujinunulia ma V8 ya zero kilomita wakati huo huo kuna mtoto wa mkulima ambaye hana dawati la kukalia huko shuleni ?
Bora tu wafanyabiashara wasilipe kodi.
 
Back
Top Bottom