Madhara ya TRA kufunga akaunti za benki za wafanyabiashara! Mnaomshauri Rais mnataka afeli ionekane Mwanamke hawezi kazi

Madhara ya TRA kufunga akaunti za benki za wafanyabiashara! Mnaomshauri Rais mnataka afeli ionekane Mwanamke hawezi kazi

Mama hakuweza kukemea tabia za kishetani wakati akiwa makamu wa rais na sasa hivi mama amekuwa rais kabisa lakini bado hawezi kuchukua hatua au hata kukemea tabia za kishetani kwenye serikali yake, ni wazi huyo mama anapenda tabia za kishetani.
Wenye tabia za kishetani wana nguvu na ushawishi mkubwa kumzidi huyo mzbr.
 
Ni mfanyabiashara gani anayekwepa kodi unayemfahamu wewe? Watu wanapenda sana kuropoka. Ukimwuliza hajui chochote.

Kuna uhuni aliuanzisha marehemu. Aliyalazimisha mabenki kupeleka kwake majina ya watu wenye pesa nyingi bank. Akijisikia kumpora pesa mtu, wanamfungia account halafu ndiyo wanamwandikia kuwa apeleke uthibitisho wa kulipa kodi zote kwa miaka 10 iliyopita. Tena waliokuwa wakipelekewa barua, unakuta miaka yote ya huko nyuma walikuwa na tax clearance tayari. Ulikuwa ni uhuni, na kinyume cha sheria, lakini kwa sababu ulikuwa ni uongozi wa kidikteta, alifanya alivyotaka.

Huwezi kumdai mtu risiti za kulipa kodi miaka 10 iliyopita wakati tayari kwa miaka hiyo alikwishapata tax clearance.

Wajinga wanafikiri ni rahisi kukwepa kodi. Wanaoweza kukwepa kodi kiurahisi, labda wafanyabiashara wa maduka, lakini siyo wawekezaji wakubwa.

Ukiacha hayo mambo uliyoyaelezea ,wafanyabiashara wengi wanakwepa kodi ,kodi wanayolipa sio yenyewe ,magumashi mengi sana wanafanya kukwepa au kupunguza kodi ,mfanyabiashara anakuuzia vitu vya milioni kisha anaandika risiti ya elfu 50 au laki moja halafu anaweka tu vitu jumla tu vifaa vya ujenzi bila kuweka mchanganuo wa hivyo vifaa.
 
Tutunge Sheria na zifuatwe na zijulikane wazi wazi kwamba nini kinatakiwa kufanyika na kisipofanyika ni nini kifanyike...

Haya mambo ya kujiamulia wakati wowote hayana afya kwa Taifa..., haipaswi mtu kuonewa na wala kuonea..

Hili Suala Rais hapaswi kuwa na maamuzi (Sheria inabidi ndio iamue na sio mtu akipendezwa)
 
Wanatumia mbinu za kijambazi na kishamba sana, hawawajibiki kupitia EFD halafu wanakuja na mbinu nyepesi za kihuni za kukwapua pesa za watu. Wakiendelea na huu mchezo watakuwa wengi sana hawa mende.

You can't run an economy like this, never hawawezi kufanikiwa njia za kizuzu kama hizi.

Sasa hivi matajiri wengi hawalipi Kodi halali na EFD zao sifuri mtu anahudumia thousands ana history ya 200 customers or less. This is the case with petrol stations and service industry, we don't here anymore kuhusu madini.

Mwigulu ni dikteta mwizi be cautious. He has guts tatizo ni mwizi na mfanyabiashara mizania haipo hana credibility kwenye hio nafasi yake.
Ni wazi kabisa serikali imeshindwa kuzisimamia EFDs ila tu wanashindwa kukiri.

Mapato mengi yamekuwa yanapotea kutokana na usimamizi mbovu wa hizo mashine, na Sasa wanatafuta njia za mkato.

Pia hizo mashine ziligeuzwa kuwa mianya ya rushwa kwa maafisa wa TRA.
 
Sijui haya makitu yabafikiria nini kufanya huu uhuni
 
Ni wazi kabisa serikali imeshindwa kuzisimamia EFDs ila tu wanashindwa kukiri. Mapato mengi yamekuwa yanapotea kutokana na usimamizi mbovu wa hizo mashine, na Sasa wanatafuta njia za mkato.
Pia hizo mashine ziligeuzwa kuwa mianya ya rushwa kwa maafisa wa TRA.
EFDs ni model nzuri but it should be for free, a strategy has never been a project by itself, unauza njia ya ukusanyaji na ufuatiliaji wa kodi
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Akifanya MAZURI sifa zote kwake, mapungufu yakijitokeza, lawama wanapewa wengine.

Kwani kiongozi wetu ni MALAIKA hakosei???
 
Kumbuka Tupo awamu ya sita zingatia hilo
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Huu ni usaliti wa CDM, hakyanan machadema yakamatwe!!
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Sasa Mwigulu ndie Waziri wa fedha mwenye dhamana ya hayo yote ,yaani uharibu ukiwa Waziri wa Fedha then uje uutake Urais? Hii imekaaje?

Acha uzushi.Kuhusu Kodi naunga mkono pamoja na ushauri wako Ila lazima wanaokwepa Kodi wazikipe kwa namna yeyeote ikiwemo hiyo ya kuzuia account Hadi TRA ikubaliane na mhusika.
 
Lipeni kodi stahiki hachenikukwepa - fanya ujanja ujanja wa kukwepa kulipa kodi halafu mnaanza kujaribu kitafuta huruma kutoka kwa Madam President - kama vipi, basi wanaotaka/kwepa kulipa kodi stahiki wahamie mataifa ambayo haya tozi kodi au kodi ni ndogo.
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.

Well said
 
Akifanya MAZURI sifa zote kwake, mapungufu yakijitokeza, lawama wanapewa wengine.

Kwani kiongozi wetu ni MALAIKA hakosei???
Huyu Rais amekuwa sanamu au picha tu ni bora na hizo sifa za mambo mazuri wapewe wanaostahiki tu ambao wakikosea hupata na lawama pia, mbona mtangulizi wake alibeba lawama na sifa kwa pamoja?
 
Hakuna kosa kubwa katika nchi yeyote duniani kama kuzuia au kuua vyama vya upinzani kisa vinakukosoa na serikali yako.
Hiyo ni sawa na myu anayependa unadhifu akaamua kuvunja na kuondoa vioo vyote kisa vinamuonyesha hajachana nywele.
Mtego huu alioutega Magufuli alipaswa Samia autegue ili opposition wamsaidie kuongoza kwa kukemea mianya yote ambayo wanaomsifia wanaifunika kumbe ndio inamuangusha.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mama anadanganywa na akina Mizengo Pinda na kundi lake
 
Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!

Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!

Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!

Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!

Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!

Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!

Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Watu walipe kodi hii kufukuzana fukuzana na vijitu vidogo vidogo huko mabarabarani haina tija kwa Taifa alituonyaga Mwalimu !!
 
Back
Top Bottom