Mkuu maeneo ya upanga kuna issue kama tatu za wafanyabiashara kuibiwa cash ila kuna mwamba alipiga milioni 800 mpaka nikashangaa mtu anawezaje kuwa na cash nyingi ndani kiasi hiki wakati mimi nikiwa na cash za laki tu ghetto sina amani naona kama kuna mtu ataniwai vileKuna njia nyingi za kuficha cash
Tena ni hawa wenye majina na wanasiasa wana ukwasi wa kutisha, na hata biashara zao hazilingani na mapato yao. TRA hawakurupuki kama wengi wanavyodhani, ninavyojua kwanza wakina kuna kasoro kwenye kodi zako hukupigia simu ili ufike ofisini sasa wengi hawaendi na wnakuwa na kibri wanasahau EFD machine haziongopi,pia akaunti zao zote zinasomeka na mtoza ushuru, kwa hiyo huwa anjaua chochote kinachofanyika. Utasikia tunataka maendeleo lakini hao hao hawalipi kodi. Hii ya kukimbilia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ili uonewe huruma sidhani kama inasaidia. Ila yote haya tumeyataka wenyewe,enzi za unanijua mimi nani zimerudi. Wakwepa kodi wamerudi kwa kasi.Tulipe Kodi kwa Maendeleo ya Taifa.
Wafanyabiashara wanakwepa sana Kodi.
Tena ni hawa wenye majina na wanasiasa wana ukwasi wa kutisha, na hata biashara zao hazilingani na mapato yao. TRA hawakurupuki kama wengi wanavyodhani, ninavyojua kwanza wakina kuna kasoro kwenye kodi zako hukupigia simu ili ufike ofisini sasa wengi hawaendi na wnakuwa na kibri wanasahau EFD machine haziongopi,pia akaunti zao zote zinasomeka na mtoza ushuru, kwa hiyo huwa anjaua chochote kinachofanyika. Utasikia tunataka maendeleo lakini hao hao hawalipi kodi. Hii ya kukimbilia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ili uonewe huruma sidhani kama inasaidia. Ila yote haya tumeyataka wenyewe,enzi za unanijua mimi nani zimerudi. Wakwepa kodi wamerudi kwa kasi.
Kodi inalipwa unapokuwa na faida.Dawa ya KODI NI KULIPA tuache janja janja !
Marekani mahakama zipo na uhuru , hata hao maafisa wanajua red zoneFuatilia IRS ya Marekani ambayo ni kama TRA hapa utaona namna wenzetu walivyo serious.
Wanachukua pesa kwenye account za watu ,wanakamata mali na kuziuza.
Swala la kodi wenzetu wanalipa kipaumbele mno.
Kwani alikuwa anacheza bure?Domo mondi lipa kodi, acha kulia Lia. Ulidhani kucheza kwenye majukwaa ya CCM utasamehewa kulipa kodi? Acha ujinga
Irs haiendi mahakamani mkuu. Hayo ni mambo wanayoweza kufanya bila ridhaa ya mahakama.Marekani mahakama zipo na uhuru , hata hao maafisa wanajua red zone
Huku kwetu unafanyiwa uonevu na wanajua huna pa kwenda , ninkama vile watu wa bureau de change walibyofanyiwa walabaki mufilisi
Unakwepaje kodi halafu uweke pesa benki?Tulipe Kodi kwa Maendeleo ya Taifa.
Wafanyabiashara wanakwepa sana Kodi.
Pumbavu sana...mnapenda kukwepa kodi....Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!
Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!
Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!
Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!
Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
Mkuu, nadhan umeelezea kwa jazba! kwanini usitoe na mawazo mbadala juu ya kadhia hii!Mlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!
Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!
Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!
Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!
Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.
andiko langu hili mama kaliona nin! maana nlisema afukuze DIWANI huyo Usalama.huko! sasa tuhamie Baraza la mawaziri na RC, DC, RSO, DSO, RAS DAS, na na DEDMlifikiri ni siri sasa vimeanza kuibuka hadharani!
Kitakachofuatia ni watu kuondoa fedha zao Benki kama ilivyokuwa kwa Magufuli, soon mtapata majibu yenu kwenye uchumi!
Huu uhuni nina uhakika MWIGULU yumo ndani yake maana ndiye anayeongoza Genge la kumdanganya mama ili aanguke waseme hawezi kazi!
Wafanyabiashara wa ndani wanatakiwa kusimamiwa kutumia mashine za EFD tu! mengine hayafai kuyafanya mbele ya jamii!
Wahuni wapinzani wa SAMIA ndani ya SERIKALI ndio wanafanya haya mambo!
Narudia tena huyu ni Mwigulu anautamani Urais anaona mama atamchelewesha!
Magufuli ali block bureau de change kuwakomoa wafanyabiashara wasibadili hela kuwa dola na kwenda kuzificha makwao lakini bado walimshinda mbinu! Sasa jiandaeni na anguko la mapato hamtasahau.
Mama amka usingizini! fukuza mkuu wa usalama wa Taifa utakuja kunishukuru baadae.