Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

We umaakin tu ndo unakusumbua bibi zetu walikunywa soda miaka hyo mpaka leo wapo wanaish hayo madhara yanawapata kna nan?
 
Elimu Elimu Elimu!
Kusoma twajua cc,kupuuzia siye tusisahau kufa ni mmoja mmoja.
AMINA.
 
We umaakin tu ndo unakusumbua bibi zetu walikunywa soda miaka hyo mpaka leo wapo wanaish hayo madhara yanawapata kna nan?

Hahaaaaa ningekuwa marehemu siku mingi sanaaaa

'Some people don't realise how much sugar there is in Coca-Cola,' admits the company's PRESIDENT - as it emerges a large cinema serving contains 44 teaspoons of sugar


  • European president James Quincey also conceded that 'things need to change' and servings had to reduce in size
  • But argued that a regular can of the drink - which contains six teaspoons of sugar - was similar in calories to 'a cappuccino or a half a croissant'
  • One 500ml bottle is more than recommended daily amount of added sugar



article-2515555-1A0DBBAF000005DC-706_306x404.jpg


Mr Quincey argued that a regular can of the drink - which contains 35g or six teaspoons of sugar - was similar in calories to 'a cappuccino or a half a croissant'

The European president of Coca-Cola has admitted that some customers 'don't realise' how much sugar is in the company's drinks.
Speaking on Newsnight, James Quincey also conceded that 'things need to change' and servings had to reduce in size.

The admission came after Jeremy Paxman took him to task on the size of servings available in cinemas - some of which contain a staggering 44 teaspoons of sugar.

When asked by Mr Paxman what good Coca-Cola did its consumers, Mr Quincey said: 'It does have some sugar in it... it has energy, but is it a necessity? No it's not. But millions of people enjoy it as part of their diet across the UK.'

Mr Quincey also pointed put that a regular can of the drink - which contains 35g or six teaspoons of sugar - was similar in calories to 'a cappuccino or a half a croissant'.

He stressed that the company was working hard to promote the calorie and sugar content of its products so that consumers could make informed choices.
But when asked by Mr Paxman if he thought people had any idea how much sugar is in small and large servings of Coke at the cinema, he was forced to reply: 'I think maybe they don't',
He conceded: 'Things need to change and the bigger cups need to come down,' he said.

A 'small' cinema serving is said to contain a 23 teaspoons on sugar, while a large contains 44 - 'each to be consumed in a single sitting,' Mr Paxman added.

Mr Quincey argued that the company wasn't trying to hide the information and was 'focused on
getting the information out there'.

'Then they can make choices and if they don't want to buy one... clearly [these sizes] won't be for everyone,' he added.

But he agreed that the 'bigger cups need to come down' and there may be 'smaller packages'.
'I don't think we are saying that the world can't change and doesn't need to move on - we do need to recognise that things need to change,' he said.

article-2515555-19B81B5300000578-39_634x329.jpg

Supersize: A 'small' cinema serving is said to contain a 23 teaspoons on sugar, while a large contains 44 - 'each to be consumed in a single sitting,' Mr Paxman told Mr Quincey (right)

UK guidelines recommend that ‘added’ sugars - those used to sweeten food, fizzy drinks, honeys, syrups and fruit juices - shouldn’t make up more than 10 per cent of the total energy we get from food.

This is around 50g of sugar a day, equivalent to 10 cubes of sugar for adults and older children, and nine for five to ten-year-olds.


But just one 500ml bottle of Coke will send you over this limit, with 10.5 cubes.

Earlier this year Coca-Cola, the parent company of Sprite, announced that the fizzy lemon and lime flavoured drink was to be scrapped in favour of a lower-calorie version that uses a 'natural' sweetener, Stevia.

The new formulation contains 30 per cent fewer calories. The drink was altered as part of Coca-Cola's anti-obesity drive and followed a call by the government to address the issue.


Which has more calories, a coke or a cappuccino?

video-undefined-19B7D06900000578-898_636x358.jpg







article-2515555-19B8706600000578-235_634x339.jpg


UK guidelines recommend that 'added' sugars - those used to sweeten food, fizzy drinks, honeys, syrups and fruit juices - shouldn't make up more than 10 per cent of the total energy we get from

food. But just one 500ml bottle of Coke will send you over this limit, with 10.5 cubes


Coca-Cola also began airing anti-obesity TV ads this year to 'remind' viewers that

all calories count in managing weight, including those in Coca-Cola's products.

Aside from Sprite, the company also said to be exploring more diet options.

Diet drinks already make up nearly half of Coca-Cola's UK sales, with Diet Coke and Coke Zero accounting for 45 per cent of sales.


At the Sprite announcement the company said that since 2007, it had reduced the calorie content of Fanta Orange by 30 per cent, Oasis by 35 per cent and Lilt by 56 per cent.


It also plans to reduce the average calories per litre in sparkling soft drinks by five per cent by the end of 2014.

Revealed: How Coke compares to other foods on the market
Enlarge
Vyakula feki hafai kuliwa na binadamu vinaleta Maradhi ya kisukari,Kansa, na Maradhi ya Presha.
hapo ondosha ndizi tunda la Apple na Maziwa tu vilivyobakia ni vyakula Feki

1. BOTTLE OF

COKE (500ml); 2. JORDANS FRUSLI BAR, BLUEBERRY; 3. VOLVIC TOUCH OF FRUIT LEMON AND LIME (1.5 litre); 4. RED BULL (250ml); 5. BEN & JERRY'S PHISH FOOD ICE CREAM (500ml); 6. TESCO CHICKEN

KORMA & PILAU RICE (550g); 7. INNOCENT MANGOES & PASSION FRUITS SMOOTHIE (250ml); 8. 1 TBSP

(15ml) KETCHUP; 9. BB Q PRINGLES, (190g); 10. 2 MCVITIES DIGESTIVES; 11. NEW COVENT GARDEN

PLUM TOMATO & MASCARPONE SOUP (600g); 12. PRET CORONATION CHICKEN & CHUTNEY

SANDWICH; 13. MCDONALD'S LARGE STRAWBERRY MILKSHAKE; 14. WAITROSE LOVE LIFE CRAYFISH

& MANGO SALAD; 15. SUN-MAID RAISINS (14g); 16. MULLER LIGHT STRAWBERRY (175g pot); 17. 1

BANANA; 18. DOLMI O BOLOGNESE ORIGINAL SAUCE (500g jar); 19. 1 PLAIN BAGEL; 20. GLASS OF

TROPICANA SMOOTH ORANGE JUICE (200ml); 21. GLASS SEMI SKIMMED MILK (200ml); 22. APPLE; 23.

BRAN FLAKES (30g with milk, 125ml); 23. BRAN FLAKES (30g with milk, 125ml) ; 24. STARBUCKS

SIGNATURE GRANDE HOT CHOCOLATE & CREAM; 25. MCDONALDS FILLET-O-FISH; 26. GALAXY BAR (125g) Source.
'people don't realise how much sugar is in Coca-Cola,' admits company's PRESIDENT | Mail Online






 
Last edited by a moderator:
Aaaakunaa kituu awaa wanaojiitaa wasomii wakishaa somaa sanaa wanakujaa nakututishaa nilishaa sikiaa kuna doktaa nani sijui yule anasemaa ugalii nisumuu?
mmmh tusitishanee bana hakuna cha nini walaa nini kufaa ni mipangoo ya muunguu
watu wanahemea mipiraa mwaka watanoo huu hajafaa ndoo ujee uniambiee ninywe sodaa tu nifee kaaah
vinginee banaa hatakama misio Dakota ivo ivo hakuna kitu ambachoo hakina madhara
 
Aaaakunaa kituu awaa wanaojiitaa wasomii wakishaa somaa sanaa wanakujaa nakututishaa nilishaa sikiaa kuna doktaa nani sijui yule anasemaa ugalii nisumuu?mmmh tusitishanee bana hakuna cha nini walaa nini kufaa ni mipangoo ya muunguu watu wanahemea mipiraa mwaka watanoo huu hajafaa ndoo ujee uniambiee ninywe sodaa tu nifee kaaahvinginee banaa hatakama misio Dakota ivo ivo hakuna kitu ambachoo hakina madhara
Kila kitu ni sumu
duh haya mambo haya.makala nzuri
Kunywa Soda ukiwa unajua Madhara yake
KUNA mjadala mkali unaendelea kuhusu vinywaji baridi hususani soda, baada ya utafiti wa hivi karibuni kuonyesha kuwa soda inaweza kuwa na madhara zaidi kiafya kuliko hata sigara!Hii inaweza kuwa changamoto

nyingine kubwa kumkabili binadamu katika masuala ya afya, kwani makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji baridi yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka kujitangaza na kutoa misaada ya kijamii kutokana na

mauzo yake bila kutaja madhara ya vinywaji vyao.Soda inahusishwa na matatizo mengi ya kiafya kwa watoto na watu wazima, yakiwemo matatizo ya kuongezeka unene kupita kiasi (obesity), ugonjwa wa ini (liver disease)

na hata tabia za vurugu (violent behavior). Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni, unywaji wa vinywaji baridi mara kwa mara unachangia tabia ya ugomvi kwa asilimia kati 9-15!Kwa mujibu wa utafiti huo uliofanywa nchini

Marekani, soda huwekwa ‘fructose' (sukari) nyingi ikiwa katika mfumo wa sirapu (fructose corn syrup) ambayo inaongoza kwa kusababisha magonjwa ya unene, kisukari, ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine sugu

yanayowakabili Wamarekani wengi hivi sasa na dunia kwa ujumla.Dk. Mercola, ambaye ni mtaalamu wa masuala ya lishe asilia na tiba mbadala anasema: " Ninaposema kunywa soda ni hatari sawa na mtu anayevuta

sigara au pengine zaidi, siyo jambo la kutia chumvi, bali ndiyo ukweli halisi".Dk. anaendelea kusema kuwa unywaji wa soda kwa njia nyingi ni mbaya kuliko uvutaji wa sigara, ila kutokana na kampeni kubwa ya

matangazo inayofanywa na makampuni haya, inafanya vinywaji hivi vyenye sukari kuonekana havina madhara kwa watu wasio na hatia, hasa watoto wetu!

SABABU KUBWA YA KUDHARAU SODA

Unayesoma makala haya kuhusu madhara ya soda kwa mara ya kwanza bila shaka utakuwa unashangaa na kujiuliza; soda ina ubaya gani? Kwa mujibu wa Dk. Mercola, hakuna sababu yoyote ya kuendelea kunywa soda, labda ujikute uko katikati ya jangwa na hakuna kinywaji kingine isipokua soda!Kiafya, unywaji wa soda au

vinywaji vingine baridi vyenye ‘fructose' una madhara. Unywaji wa kiasi cha kopo moja tu la soda kila siku, utakuongezea uzito wa mwili wa kilo 10 kila mwaka na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari (diabetes)

kwa asilimia 85!‘FRUCTOSE'‘Fructose' ni kirutubisho kilichomo ndani ya sukari na kiwango kinachowekwa wakati wa utengenezaji wa soda ni kingi kuliko kawaida. Inaelezwa kuwa miaka 100 iliyopita, Mmarekani

mmoja alikuwa akitumia kiasi cha gramu 15 ya sukari (fructose) kwa siku, tena kwa kula matunda. Miaka 100 baadaye, (yaani hivi sasa), robo ya Wamarekani wote wanatumia kiasi cha gramu 135 (kutoka 15) kwa siku, tena kwa kunywa soda!Ulaji wa sukari (fructose) kiasi cha gramu 15 kwa siku hauna madhara kiafya, labda uwe

na ugonjwa wa kisukari (high uric acid levels). Hata hivyo, kwa kula sukari mara kumi zaidi ya kiwango cha gramu 15 kinachokubalika kiafya, inakuwa ndiyo chanzo cha unene wa kupindukia na magonjwa mengine hatari yanayoibuka mwilini (degenerative diseases).Utafiti unaonesha kuwa vinywaji vingi baridi vina sukari

nyingi kuliko wastani unaotakiwa. Badala ya kuwa na asilimia 55 ya ‘fructose' na asilimia 45 ya ‘glucose', vingi vina asilimia 65 ya ‘fructose', ikiwa ni karibu asilimia 20 zaidi na inavyotakiwa.Utafiti zaidi umeonesha kuwa

‘fructose' ndiyo chanzo kikubwa cha tatizo la ugonjwa wa ini kwa watoto wengi nchini Marekani, ingawa hawatumii kilevi chochote (alcohol). Inaelezwa kuwa ‘fructose' huleta madhara kwenye ini kama inavyofanya pombe.
 
madhara yanayo zungumziwa kwenye hii makala ni mtambuka, hayasababishwi na soda peke yake. Sukari aina ya fructose ni sukari inayotokana na matunda, hivyo ukila tunda lolote unapata hiyo sukari. Kinachowekwa kwenye soda ni sucrose, sukari inayotokana na miwa, sukari ambayo tunaweka kwenye chai kila siku. Kwa hiyo makala hii ukiitafakari kitaalam, huwezi kuhitimisha kuwa soda zinasababisha unene au kisukari
 
Wadau kuna athari gani kuwa mnywaji wa soda sana kuliko maji
 
sio kweli,baadhi zilizopo hapo ni za uongo na zimekaa kisda sana,hazina ushahd wa kisayansi,ziko kwa kufikirika,acheni kudanganya watu.

Naona umejiunga JF November 2013, Karibu JF kwanza!

SOURCE: MTANZANIA
ISSN: 0856-5678, Na. 7310
DATE: TODATE
PAGE: 03
HEADLINE: SODA NI SUMU

*******
Mamilioni ya watanzania wanaotumia vinywaji aina ya soda ipo hatarini baada ya kugunduliwa uwepo wa chembechembe zenye kemikali za sumu ndani ya vinywaji hivyo, MTANZANIA jumatano linaripoti.

Utafiti uliofanywa na Muungano wa Waandishi wa habari Tanzania (Investigative Journalists Union of Tanzania-IJUTA) pamoja na tafiti zilizofanywa na wataalamu waliobobea katika afya duniani umebaini kuwa vinywaji baridi aina ya soda ni hatari kuliko utumiaji sigara inayosabisha maradhi ya kansa katika mwili wa binadamu.

Kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi, yapo madhara makubwa ya utumiaji wa vinywaji vya aina ya soda katika mwili wa binadamu.

Utafiti umeonyesha kuwa zipo sababu nane kuu zinazokiweka kinywaji cha soda kwenye kundi la vinywaji vyenye sumu.

IJUTA imebaini kuwa makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji kuwa makampuni yanayotengeneza soda yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka kujitangaza na kutoa misaada kijamii kutokana na mauzo yake, bila kutaja madhara ya vinywaji hivyo.

Utafiti wa IJUTA umeonyesha kuwa utamu wa kupindukia uliomo ndani ya soda unawapumbaza wanywaji ili wasisikie ladha kali ya acid iliyomo ndani ya soda.

IJUTA imegundua kuwa kiwango cha acid kilichomo ndani ya soda hakiwekwi wazi kwa sababu ya kuhofia kuwa watu wakibaini wataacha kutumia kinywaji hicho.

Inaelezwa kuwa madini ya cola yaliyomo yana kilevi cha aina ya kafein kinachomteka mnywaji kuwa teja wa kinywaji hicho.

Dr. Mercola wa Marekani amekaririwa na tafiti mbalimbali akieleza kuwa soda ni hatari kwa binadamu sawa na mtu anayevuta sigara au zaidi.

...Soda yenye chembe za cola husababisha figo kuwa na mawe kwa sababu ya acid na chemicals zinazofichwa vipimo vyake kwa watumiaji.

Wakati utafiti huo ukidhihiriksha hayo, Taasisi ya chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeshindwa kutoa tamko lolote kuhusu utafiti huo, hata baada ya kupelekewa maswali kwa maandishi yanayoomba ufafanuzi wa ubora wa vinywaji vya soda katika mwili wa binadamu.

*******

MY TAKE:

1: Nani atakayebaki salama?
2: Wabunge wetu mmeiona hii habari wakati mko hapo bungeni?

IMPORTANT CONTACTS:

TFDA:
Tel:
+255787555527
+255754772220
+255222450512
+255222450751
+255222452108
Email: info@tfda.or.tz
Web: www.tfda.or.tz

TBS:
Tel:
+255222450206
+255222450298
+255222450949
Email: info@tbstz.org
Web: www.tbstz.org
 
Back
Top Bottom