Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Huu ndio ukweli.
 
Kila kitu kina madhara mwilini endapo kikizidi,Hata maji yenye PH 7 yana madhara yakizidi,CHa msingi tufanye mazoezi kuweka mwili fiti,kuondoa sumu tunazokula na kunywa.
Mazoezi mazuri ni mazoezi ya kufikiri ayo ya kutanua kifua sijui kukimbia sio halisi.
 
Namshukuru Mungu alinisaidia kuuacha ulevi wa soda miaka mingi iliyopita. Nikipita sehemu nikamwona mtu akinywa soda huwa nnasikitika sana. Anyway, Mungu atusaidie kuujua huu ukweli kuwa: "soda is a sweet poison"
 
Kunywa juice ya azam au ya kutengeneza mwenyewe


Yaani unalinganisha juice ya kiwandani na juice fresh natural??!!

Mkuu ningekukuta live unamshauri mtu anywe juice ya azam, ningekuchapa makofi mengi sana walai.

-Kaveli-
 
Namshukuru Mungu alinisaidia kuuacha ulevi wa soda miaka mingi iliyopita. Nikipita sehemu nikamwona mtu akinywa soda huwa nnasikitika sana. Anyway, Mungu atusaidie kuujua huu ukweli kuwa: "soda is a sweet poison"

Watu wengi wanafahamu ukweli kwamba soda sio kinywaji kizuri ila wanachukulia poa.

Majuto ni Mjukuu.
 
A lot of blah blah without facts. Any credible research must identify the ingredients responsible for certain health conditions and their threshold. You must know that, anything you eat is potentially dangerous but its danger depends on its threshold. Even what you call poison is harmless below threshold.
 
Urongo mtupu! Tunyweni soda baridi wandugu,, hii ni vita ya kibiashara kati ya pombe na soda!
Mama yangu ana miaka 91, halali bila kupata Coca 2 baridi. Hana sukari, presha, cancer wala figo
Anasoma biblia bila miwani. Anakumbuka enzi za ukoloni, Uhuru, ujamaa na majina yote. Mbona hamsemi Viroba?
 
Watu wengi wanafahamu ukweli kwamba soda sio kinywaji kizuri ila wanachukulia poa.

Majuto ni Mjukuu.
Mbona Whisky, vodka, viroba havisenwi! Ni wivu tuu wa kibiashara wa kuua soko la Coca.
 
Na maji ya ruvu tunayokunywa dar na zile maiti zilizookotwa, achilia mbali tunaona wanaoogelea humu
 
Kila kitu kina sumu... acheni tule maisha, hivyo mnavyosema vina sumu kila siku sasa wazungu wangekua wanakufa wiki moja baada ya kuzaliwa maana ndo vyakula vyao vya kila siku

Mkuu wewe unajua kinacho endelea katika nchi za Ulaya na Merikani?

Kwa nini wazungu mara nyingi uwakumbusha Waafrika kwamba linapokuja suala la vyakula na vinywaji/soda na life style tusijaribu kuiga mifumo yao, tukipuuzia basi na sisi tutaanza kukumbwa na magojwa kama yanayo wasumbua sana wao mfano: cancer na shinikizo la damu.

Na kweli walicho onya kwa siku nyingi ndiyo kimeanza kutukabiri sisi Wafrika kwa kasi ya ajabu.
 
Huwezi epuka sumu Kwa vyakula tulavo hewa nk cha msingi ni kula viondoa sumu mwilini Kwa wingi mfano MAJI,juice ya limao au NDIMU,matango nk
 
Tupo msibani hapa, kuna jamaa kafariki baada ya kunywa soda.
 
Usidanganye wenzio mkuu.Hakuna tofauti ya misoda au mijuisi ya Azam na soda zingine.Zote ni watoto wa baba mmoja.Mimi sigusi madudu hayo,na nawashauri watu wengine wafanye vivyo hivyo.Ndio tutakufa,lakini tusife kijinga na tufe kwa muda aliotupangia Mungu.
kunyweni azam juice na ful sana na juic na take away zote za mo na bakharesa
 
Tengeneza natural juice yako nyumbani kunywa,acha uvivu. Wenzenu wamepanga kwa makusudi kabisa kuwamaliza.Huu ni mkakati wa Illuminati wa kupungua wanadamu in what they call Depopulation Agenda.Soda ni mbinu moja wapo kati ya nyingi.Jamani ndio tutakufa lakini tufe kwa wakati aliopanga Mungu na tusife kijinga.
Pombe sinywi, maji siyapendi ntakunywa nini sasa wai!
 
Mkuu Illuminati si wajinga kama unavyofikiria.Sumu hizo zingekuwa zinauwa mara moja wewe na mimi tungestuka na hakuna ambaye angekunywa.Kinachotokea ni athari za pole pole,slow death na hatimaye kifo.Ndugu zangu hivi hamuoni magonjwa ya figo,cancer,kisukari,ini na hypertension yalivyo ongezeka sana siku hizi?Jamani zindukeni,wanawamaliza wenzenu.
Kila kitu kina sumu... acheni tule maisha, hivyo mnavyosema vina sumu kila siku sasa wazungu wangekua wanakufa wiki moja baada ya kuzaliwa maana ndo vyakula vyao vya kila siku
 
go ahead mr mwaga point na watu wanywe kila siku na biashara iendeleee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…