Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hiyo ndio faida ya kunywa soda anitafute mimi kwa pesa nyingi nipate kumtibu wakiambiwa waache kunywa soda hawataki sasa ngojea wapatwe na maradhi ya ajabu tupate pesa na tuwatibu.Kuna rafiki yangu mmoja mwuza mitumba anasema awali alikuwa anakunywa soda aina ya Sprite mara tatu kwa siku baada miezi mitatu alihisi haja ndogo mara kwa mara, viungo vinalegea. Alipopima akakutwa anakisukari ambayo sahivi ni mwaka wa 3 anapambana nayo kwa miti shamba lakini hakijapona. Mwili umeisha hadi nywele zimenyonyoka pia
Tunywe maji chiefKwahiyo tunywe nini mkuu?
Binafsi nimefurah Mkuu kutuletea somo zuri aseeeeHatuogopia kufa binadamu huwa wanaogopa kuteseka kama wewe huogopi kutesa kwa maradhi ya Kansa ukimwi,kisukari, Maradhi ya moyo na maradhi mengine ya hatari basi hakuna haja ya wewe ku comment Post yangu kunywa Soda kunywa soda kwa raha zako utakapo patwa na maradhi ya ajabu utakwenda Hospitali Madaktari wapo watakutibu. Huuni ushauri nimewapa marafiki zangu ninawajali afya zao sio wewe usiye jijali afya yako.
ExactlyKula matunda Fresh tengeneza mwenyewe nyumbani juisi ya matunda yatakulinda afya yako dhidi ya maradhi na pia matunda ni tiba ya maradhi mengi tu.
View attachment 473418
Unaweza kumuona mwizi anaiba kila siku na hakamatwi lakini ukijaribu wewe sio mwizi, kuiba siku moja na ndio siku hiyo hiyo utakamatwa. Kwa hiyo shauri yako.Aunty yangu amefanya kazi pepsi miaka 25 kila siku anakunywa pepsi mbili
Soda ni Soda ikiwa Soda ya Diet au soda ya kawaida ili mradi ni Soda sio nzuri kiafya kula matunda fresh toka shambani.Tengeneza juisi ya matunda nyumbani kwako kwa fya yako achana na sumu inayo kuuwa wewe taratibu bila ya wewe kujijuwa kama unakufa taratibu. (Silent Killer)Je soda ambazo hazina sukari?!....mm nakunywa diet pepsi au coca zero
Kila siku nafanya mazoezi....kisa cha kuacha kunywa soda za sukari ni kwa sababu katika familia yetu ugonjwa wa sukari upo sn hata baba yangu kafariki kwa sukari....mm nikaamua kupunguza uzito sn na kuacha kunywa soda,je hizi soda ambazo wanasema hazina sukari zina madhara pia maana kila siku nakunywa 1
Soda ni Soda ikiwa Soda ya Diet au soda ya kawaida ili mradi ni Soda sio nzuri kiafya kula matunda fresh toka shambani.Tengeneza juisi ya matunda nyumbani kwako kwa fya yako achana na sumu inayo kuuwa wewe taratibu bila ya wewe kujijuwa kama unakufa taratibu. (Silent Killer)
View attachment 473441
Kwanini usile na sumu ya panya Sasa!Ukila unakufa
Usipokula unakufa
Ukinywa unakufa
Usipokunywa unakufa
Either way,we are eating to survive kwa muda mfupi tu...
TOGWA[emoji1] [emoji1]Kwahiyo tunywe nini mkuu?
Mikwala mingiChukua coca au Pepsi (350ml) weka kwa sufuria halafu chemsha jikoni hadi mwisho. Kitakachotokea utaamua mwenyewe.
Au hiyo coca Fanya kama unaoshea nyama mbichi(beef or pork). Utakachopata ndiyo chenyewe. Then endelea na ratiba yako
[emoji23] [emoji23] [emoji23], we jamaa hatari sanaKama Paulo na Silla hawakunywa soda na wameshakufa unaamini nisipokunywa nitaishi milele?
Juice mkuuKwahiyo tunywe nini mkuu?