Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Hii kitu ina ukweli hasa hapo kwenye sababu ya 7, kiukweli nikikosa Pepsi kwa siku nahisi arosto kabisa, nitapiga miayo na kuhisi kupungukiwa kitu mpaka nikamate Pepsi baridi. Wataalamu wa afya wafuatilie hivi vinywaji vya cola nahisi kuna kitu hatari sana wanatuwekea.

Shukrani kwa darsa Dr Mzizi Mkavu lakini pia naomba unisaidie mbinu za kuacha hiki kinywaji maana nimejitahidi kwa hali ya kawaida nimeshindwa.
 
Mkuu asante kwa ushauri mzuri, ingawa wajinga wanaponda na kuleta jokes, bt tupo pua ambao tumeelewa na tunashukuru, hao wapuuzaji kesho na keshokutwa watakutafuta kwa tiba yakishawakuta, wapige shekeli za kutosha, eti paulo na silla hawakunywa bt nao wamekufa[emoji22]
 
Reactions: Luv
Nunuwa Machungwa kwa wingi kisha tengeneza jusi yake uwe unaweka ndani ya Friji ukijihisi unataka kunywa soda kunywa juisi ya machungwa utaacha kunywa soda mimi nimeiacha Soda huu ni mwaka 20 sijanywa soda.
 
Mwisho wa siku nitakufa tu

Ni suala la muda
On a long enough timeline everybody's survival rate falls to 0%




Its just a matter of time
Ukifikiria sana utakufa mapema
kila kitu kina kemikali flan ambayo ikiwa ingested kwa kiwango flan baada ya muda flan kitaleta nadhara flan

Maana hats mchicha Sikh hiz wanaweka mbolea artificial sasa tufanyaje? Tuna kula hivyo hivyo hamna jinsi


Naandika huku mkono wa kushoto nimeshikilia fursana ya bariiidi
 
Blaza hata muda unakuuwa taratibu(silent killer)
Kwan hujawah kusikia MTU kafa cause of old age......kwa hiyo simamisha muda nakuambia sababu najali afya yako
SINAMISHA MUDA SASA
MAANA UNAKUUA TARATIBU (SILENTKILLER)
 
NunuwaMachungwa kwa wingi kisha tengeneza jusi yake uwe unaweka ndani ya Friji ukijihis unataka kunywa soda kunyw ajuis ya amchungwa utaacha kunywa soda mimi nimeiacha Soda huu ni mwaka 20 sijanywa soda.
Blaza Fanya update fanta mpya yenye ladha ya berries

Hutajutia uamuz wako
 
Kama Paulo na Silla hawakunywa soda na wameshakufa unaamini nisipokunywa nitaishi milele?

kila kitu kina madhara hata hayo maji. mwisho ni kufa tu kama wengine. why pasua kichwa.
Uwepo wa kifo usitufanye kukikimbilia kwa nguvu eti kwa sababu tu hakiepukiki.

Ni vizuri kujaribu kukiepuka pale unapoweza hata kama kitakunasa kwa njia nyingine. Jamii bado inakuhitaji na haitaki kukupoteza kizembe, ndiyo maana mleta uzi kaamua kutoa somo hili.

Pia kama alivyoeleza, kuna shida na taabu za kutosha katika magonjwa hayo kabla hujakifikia hicho kifo.
 
Duh aisee ni balaa! usiombe yakukute mkuu wangu.

Vitu vingine tunafanya hata havina faida sana zaidi ya kuhatarisha afya zetu tu.
 
Sawa unahisi kila mmoja anakufa kisa soda ? Osama alikufa kisa soda ? Vipi kuhusu Saddam Hussein ,Nyerere,Mandela nk.

Huwezi kwepa kifo au maradhi ile hali hujui lini unakufa ni sawa na kukaa miaka 20 bila kunywa soda afu mwaka wa 21 unagongwa na gari unafariki sijui kama utajutia maamuzi yako ile hali haupo duniani.

Kwangu mimi MUNGU ndie kuongozi wangu hata nikilala Bonite kama hatapanga Mimi kufa na maradhi yanayotokana na soda nitabaki hai hadi siku nakufa kwa Mapenzi yake.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wapi hiyo mkuu? nadhani ndo yule rafiki yake Dr. Ndodi niliwahi kumwona akifanya hilo zingaombwe mitaani tabora.. dah kwamba watu watakuwa mapunga [emoji23] [emoji23]
 
Tatizo la juisi hazina msisimko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…