Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Sawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu naomba mniambie ikiwa grandmalt nazo zinamadara kama soda? nipo addicted nazo..
yapi mkuu! yanazidi ya soda na bia?Oh pole sana,
Grandmalt nayo ina madhara
Mbishi xana wwNyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
Nyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
yapi mkuu! yanazidi ya soda na bia?
Hakuna kitu kisicho na madhara cha msingi ni kutumia kwa kiasi basi... narudia swali langu nitajie mtu aliyewahi kuugua au kufa sababu ya soda, nyie ndio akina Dr Mwaka kutwa kutia watu pressure tu hamna lolote.Ukweli anajua,
Achana nae
Sasa bia ina madhara gani?yapi mkuu! yanazidi ya soda na bia?
ndio maana nami nauliza mkuu!Sasa bia ina madhara gani?
Hawa watu wanasikia tu story za vijiweni huko wanakuja kutujaza ujinga hapa, kitu kama hujafanyia utafiti usiropoke.. hakuna mtu amepata ugonjwa wowote sababu ya kunywa soda
Pdf ya nini. We tiririka hapa usianze mbwembwe.Nitakuletea PDF inayoonesha madhara yako
Habari mwana JF.
Leo nimekusogezea kipande cha video kinachoonesha madhara ya soda.
Wanamezeshwa ujinga hao. Dunia nzima inakunywa sodaNyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] boss sukari haisababishi kisukari hata siku moja hata ukila gunia na haitakuja kusababisha, kisukari kinasababishwa na kongosho kushindwa kutoa insulin ya kutosha au seli za mwili kushindwa kurespond kwa action ya insulin.. ndo maana nasema watu wanapiga kelele kwa story za vijiweni, na unaposema artificial sugar unamaanisha nini ? Kwani chai,uji,juice,maandazi unawekea natural sugar ? Ila siku nyingine usiseme mbele za watu eti sukari inaleta kisukari utaaibika.. usiunge unge vimaneno vya biology ya form one.Wapo. Wengi Wao wamepata kisukari na wanajuta! Soda ina artificial sugar ambayo inawekwa nyingi na madhara yake kwa I nsulin yanatokea baadae
Mkuu wasitutishe hao hamna lolote mi mwenyewe nakunywa kama kawa,,hata kunywa nako kNyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?