Mnabuduhe
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 352
- 592
We jamaaa wewee! kunywa soda nitalipa! Myth na ushindani wa biashara unawatisha watu waache kunywa kasoda?Nyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?