Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Sitetei Soda sana, na ninazinywa. Ila kwa upande wa kisukari, natamani nguvu inayotumika kukemea soda ingetumika na kukemea pombe. Watu ninaowajua walioathirika na kisukari, akiwemo baba yangu, ni watumiaji wa pombe, sio soda. Lakini kila anayezungumzia kisukari anataja soda. Naona kama shetani kuna ka-mbinu amepenyesha hapa kuendeleza ajenda yake.
 
Soda 1 inakadiriwa kuwa na vijiko 10 vya sukari. Hii ni sawa na 100% ya mahitaji yako ya siku. Hivyo kunywa soda kila siku au mara kwa mara huongeza hatari ya kupata Kisukari.

Ndani ya dakika 20 baada kunywa soda, ini linaitikia kwa haraka na kubadili sukari yote iliyomo kwenye soda na kuifanya mafuta. Mafuta humfanya mtu anenepe na kuwa uzito kupita kiasi kitu kinachoathiri afya na kuharibu muonekano mzuri wa mtu.

Dakika 40 baada ya kunywa soda, mboni za macho hutanuka, shinikizo la damu huongezeka na ini lako huitikia kwa kuongeza kiwango cha sukari kwenye mfumo wa mzunguko wa damu unaohusisha moyo na mishipa ya damu.

Baada ya kunywa soda, kibofu hujaa na mtu kuhisi kubanwa mkojo hivyo kwenda kukojoa mara kwa mara. Kalisi (calcium), magnesi & zinki zilizokuwa zitumike kwa ajili ya kuimarisha mifupa hupotea kwa njia ya mkojo. Pia maji, sodiamu na madini mengine hupotea.

Masaa zaidi ya mawili baada ya kunywa soda hali ya kujisikia furaha/vizuri (euphoria) huisha na sukari hupungua kwenye damu na kukufanya mwenye njaa, mchovu na mwepesi wa hasira.



TibaFasta
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
HIVI UNATAMBUA KUWA BILA SUKARI MWILINI HUWEZI UKAISHI??

UGALI WALI NA VYAKULA VINGINE HUMENG'ENYWA NA KUBADILISHWA KUWA SUKARI KWA AJILI YA KUUPA MWILI NGUVU KATIKA MIFUMO MBALIMBALI
 
HIVI UNATAMBUA KUWA BILA SUKARI MWILINI HUWEZI UKAISHI??

UGALI WALI NA VYAKULA VINGINE HUMENG'ENYWA NA KUBADILISHWA KUWA SUKARI KWA AJILI YA KUUPA MWILI NGUVU KATIKA MIFUMO MBALIMBALI
Ok
Kumbe basi ntaishi..
Ugali na wali na vingne vitageuzwa kuwa sjkari mwilini.
Correct me if wrong
 
Hivi unajua bia (huwa ni chungu kwa wasiokunywa) ni hatari zaidi kuliko soda!?
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?

Naomba uniambie unachokula badala yake.
 
Ok
Kumbe basi ntaishi..
Ugali na wali na vingne vitageuzwa kuwa sjkari mwilini.
Correct me if wrong
Yeah japo mimi sio mbobezi wa masuala ya afya hii kitu nilishawahi kusikia
 
  • Thanks
Reactions: 1gb
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
Alichosema Joseverest ni sahihi, kwamba baadhi ya vyakula kama wali vikimeng'enywa huzalisha sukari. Lkn nna swali kwako kwa nn umeacha hata sukari kwenye matunda???
 
Back
Top Bottom