Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Alichosema Joseverest ni sahihi, kwamba baadhi ya vyakula kama wali vikimeng'enywa huzalisha sukari. Lkn nna swali kwako kwa nn umeacha hata sukari kwenye matunda???
Nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa sukari..
Kutokana na kazi yangu alafu mimi ni kapela(sina mke) ikafika kipindi soda ikawa ni kama ndo chakula changu..
Kwa kila week wastan ni soda 5
Ndani ya matumizi hayo nikawa najikuta wakat mwingine miguu inauma kama inawaka moto..
Nachoka bila sabb..
Jamaa akaniambia na yy alikuwa na shid hyo akagundua soda ndo zilikuwa sababu...manake yy alikuwa muuzaji wa vinywaji jumla na rejareja..yy ilikuwa akipata kiu anakunyw soda..akiwa na njaa anakunyw soda.
Style yake haikuw mbali sana na yangu..

Daaa hata hivyo nilivyowaza hatima ya kisukari nika compare na maisha ya jirani yangu anavyoteseka na sukari..!!!
Nikajihurumia mm mwenyewe nika azimia nisitumie chochote chenye sukari kwa muda usio zidi miez 3.
Sasa nakatibia kukata mwezi..

Mkuu ni hivyo tu.
Asubuhi napiga mihogo breakfast inapita murua kabisa.
 
Nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa sukari..
Kutokana na kazi yangu alafu mimi ni kapela(sina mke) ikafika kipindi soda ikawa ni kama ndo chakula changu..
Kwa kila week wastan ni soda 5
Ndani ya matumizi hayo nikawa najikuta wakat mwingine miguu inauma kama inawaka moto..
Nachoka bila sabb..
Jamaa akaniambia na yy alikuwa na shid hyo akagundua soda ndo zilikuwa sababu...manake yy alikuwa muuzaji wa vinywaji jumla na rejareja..yy ilikuwa akipata kiu anakunyw soda..akiwa na njaa anakunyw soda.
Style yake haikuw mbali sana na yangu..

Daaa hata hivyo nilivyowaza hatima ya kisukari nika compare na maisha ya jirani yangu anavyoteseka na sukari..!!!
Nikajihurumia mm mwenyewe nika azimia nisitumie chochote chenye sukari kwa muda usio zidi miez 3.
Sasa nakatibia kukata mwezi..

Mkuu ni hivyo tu.
Asubuhi napiga mihogo breakfast inapita murua kabisa.
Safi kwa uamuzi sahihi but cha kukusaidia ni kwamba sukari zilizopo katika matunda ni asilia na hazina madhara yoyote, lkn kwa kuwa umeamua na umeanza kuimudu life style hiyo ni nzuri zaidi. But hata usipotumia sukari hakuna madhara but ndo unajiepusha na magonjwa yasiyo ya lazima kama kisukari na hata magonjwa ya meno, HONGERAA
 
Tumia miwa ama Juice yake badala ya Soda. East Africa watu wa Kenya ndio wanakunywa Soda kwa asilimia kubwa mno. Kuna mpaka soda ya Chupa kwa ujazo wa Lita 1.
 
miss zomboko, Acha kutuibia, hivi vijiko kumi vya sukari unavijua kweli. Zungumza maana yenye logic. Weka vijiko 10 vya sukari kwenye kikombe cha chai alafu uone kama itanyweka hiyo chai.
Swala la kuongezeka uzito sina uhakika wa kuongezeka kasababu mimi ni miongoni mwa watumiaji wakubwa wa soda lakini uzito upo pale pale.
Swala la kukojoa baada ya kunywa soda au maji au chai ni normal physiology. Kama umekunywa maji halafu hukojoi nenda hospitali ukaonane na Dr.
Umesema vijiko 10 ni 100% ya sukari inayohitajika kwa siku, hebu niambie ndizi, ugali, wali, viazi, embe nanasi, chungwa vina kiasi gani cha vijiko vya sukari ?
Vp kuhusu bia na mataptapu yana kiasi gani cha sukari. Je muwa unakiasigani cha sukari au una madhara gani ?
Kama unalogic nyingine nyuma ya pazia tueleze, lakini si kutushuhudia uongo.
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
Kifo
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
Sukari ya asili iliyopo kwenye matunda ya asili haina madhara kabisa labda Kama matunda hayo yawe yamelazimishwa kuiva kwa njia moja ama nyingine mf...matumizi ya mbolea za viwandani...
 
Niliacha matumizi ya Soda toka Mwaka Jana April.

Nimejikita kwenye uvutaji bangi tu.
Pia Mimi mwenzako hapa toka mwez WA nne mwaka jana hadi leo niliachana kabisa kutotumia kinywaji chochote cha chá chupa kinachotoka kiwandani ikiwezo aina zote za juice za box mfano azam embe, n.k. soda za aina zote.
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
Una sababu za msingi au umeamua tu ? kwa ufupi hicho unachofanya hakikusaidii, sukari imo hata kwenye ugali.. life is too short, just enjoy it acha kujibania kwa mambo yasiyo ya msingi.
 
Kama dakika 20 baada ya kunywa soda sukari yake yote hubadlishwa kuwa mafuta kwa nini unasema soda inaleta hatari ya kupata kisukari?
 
Nimeamua sukari isipite kinywani Mwangu kwa miez 3.
Now naingia week la 4
sijatumia sukari na situmii chochote chenye sukari ya viwandani wala ya matunda..kwa miez mi 3..
Nimeamua hivyo
Sili chungwa,ndizi,tikiti,miwa n.k vyote vyenye sukari.

Swali
Nini madhara yake iwapo sukari ikipungua mwilini?
Utaikwepaje sukari ndg yangu utakufa basi na ugali usile wali wala ndizi
 
Utafiti mpya kutoka chuo cha madawa kilichopo Boston umebaini kwamba unywaji wa kinywaji kimoja au zaidi chenye sukari nyingi kwa wanawake au wanaume hupunguza uwezekano wa mwanamke kupata ujauzito au mwanaume kuzalisha.

Kiwango cha sukari kinachopatikana kwenye vinywaji mbalimbali ikiwemo soda ambapo ni sawa na theluthi moja ya sukari yote inayowekwa, kimehusishwa na hali ya kuongezeka uzito, kisukari, upungufu wa nguvu za kiume, kuwahi kupevuka kwa wasichana na kwa sasa inapunguza sana uwezo wa mtu kupata mtoto.

“Tumegundua kuna uhusiano mkubwa sana kati ya unywaji wa vimiminika vyenye sukari nyingi na uwezo mdogo wa mtu kupata mtoto, ambao mara nyingi husababishwa na vitu vingine ikiwemo, unene uliopitiliza, unywaji wa kafeini, matumizi ya vilevi, uvutaji wa sigara na matatizo ya jumla ya ulaji mbovu,’’ hayo yamesemwa na mwandishi kiongozi wa utafiti huo, Elizabeth Hatch.
Kwa wenza ambao wanapanga kupata watoto ni vizuri wakapunguza viwango vyao vya unywaji wa vimiminika hivyo, hasa kutokana na kuwa vinahusishwa pia kwenye matatizo mengine ya kiafya.

Utafiti uliochapishwa kwenye jarada la Epidemiology, watafiti walifanya uchunguzi kwa wanawake karibu 4,0000 wenye umri kati ya miaka 21 mpaka 45 na kwa wenza wao wa kiume karibu 1,000 kwa kuchunguza taarifa zao kiafya, mtindo wa maisha na mfumo wao wa ulaji – ikijumuisha idadi ya vinywaji venye sukari nyingi wanavyotumia.

Katika uchunguzi huo waligundua kwamba wanawake ambao walikunywa angalau soda moja kwa siku walikuwa wamepoteza uwezo wa kushika mimba kwa asilimia 25 na kwa wanaume uwezo ulikuwa umepungua kwa asilimia 33.

Hata hivyo unywaji wa vimiminika vya kuongeza nguvu ndio ulihusishwa na madhara makubwa zaidi kiafya kwenye uwezo wa kuzaa, lakini unywaji wa juisi za matunda na soda zisizo na sukari ulikuwa na matokeo madogo sana kwenye kusababisha ugumba au utasa.

“Kutokana na kiwango kikubwa cha sukari kinachoingia kwenye miili ya watu ambao wapo kwenye umri mzuri wa kuzaa,’’ utafiti umedai kwamba matokeo ya uchunguzi yaliyotolewa yanaweza kuleta manufaa kwenye afya za watumiaji.’’

Soda.jpg
 
Back
Top Bottom