Mkuu kama wewe ni kijana wa umri kati miaka thelathini mpaka arobaini na tano nakushauri ukamwone daktari ili akupe ushauri wa jinsi ya kuhakikisha kuwa unakuwa na nguvu za kiume muda wotemimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!
mimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!
aisee hio kitu ukipiga na vodka siku inakuwa nzuri kinoma
Huyo jirani hakupendi kama anajua vina madhara na yeye hatumii ameona wewe ndo wa kufa na hayo madhara??selfish neighbour indeed....
Kuhusu madhara nishasikia mara kibao. tusubiri wataalam waje watueleze kiundani
aisee hio kitu ukipiga na vodka siku inakuwa nzuri kinoma
Unahitaji ushauri wa daktari ili aweze kukuoa ushauri ni jinsi gani waweza rudisha nguvu zako
Kuna topic humu inaelezea madhara ya redbull na wewe katavi ulicomment ukasema kweli ni hatari. Mara hii ushasahau!!
mkuu katavi madaktari wapo wa aina nyingi mfano lyatonga mrema na mama lwakatare nao wanajiita kuwa ni madaktariyeye mwenyewe ni daktari....!
mkuu katavi madaktari wapo wa aina nyingi mfano lyatonga mrema na mama lwakatare nao wanajiita kuwa ni madaktari
Mkuu kama wewe ni kijana wa umri kati miaka thelathini mpaka arobaini na tano nakushauri ukamwone daktari ili akupe ushauri wa jinsi ya kuhakikisha kuwa unakuwa na nguvu za kiume muda wote
mkuu sio kwamba nina tatizo hilo.....isipokua kwa muda niliozinywa mara nyingi madhara yake kwangu ndo kama hayo...kuna wengine wakinywa wanajisiki kichefuchefu.... lakini kwa saizi nimeziacha kabisa kwa kuogopa huenda badae zikaniletea madhara makubwa zaidi...
Sikumbuki vizuri, ila nimejitahidi kui-search sijaipata. Huenda huku kusahau ni moja ya madhara ya redbull.....
Heshima yenu wakuu. Kuna jirani yangu ameniletea carton nzima ya RedBull na kudai amepewa zawadi ya birthday. Nilipomuuliza kwa nini ananipa carton nzima amedai kaambiwa zina madhara na hivyo hatumii. Kabla sijafungua hili carton naombeni mnipe madhara ya kinywaji hiki.
Mkuu utakuwa na tatizo la Homoni. Na ukiwa na hormone imbalance afu ukachanganya na caffeine kwa wingi hilo tatizo la nguvu za kiume ni dhahiri. Lakini pia Redbull zinachangia sana ongezeko la uzito ambalo linakuwa linachangia sana tatizo la nguvu za kiumemimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!