Madhila ya Force Account: Mwalimu afungwa kwa kula pesa ya ujenzi

Madhila ya Force Account: Mwalimu afungwa kwa kula pesa ya ujenzi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
force account.jpeg


Huko Kanda Maalum ya Mkoa wa Mara, Mwalimu amefungwa kwa kula hela ya ujenzi wa madarasa ya shule yake.

Haya ndiyo matokeo ya sra zisizo na mashko katika ujenzi.

Badala ya fedha hizo kuonekana kama mtaji wa ujenzi, watu wanageuza kuwa fedha za kula.

Hili limetokea sehemu nyingi sana nchini maDED, wahandisi na waganga wa Mioa na Wilaya, fedha imetafunwa sana.

Hizi sera za Force Account zisizo na mipaka au kutengenezewa sera inayoeleweka zilikuwa za kiongozi wetu mpendwa, Rais wa wanyonge.
 
Ilipaswa pia tujiulize kabla ya force account pesa ilikua haiibiwi? Wizi upo kwenye DNA ya watanzania. Kwa maana hata miradi ambayo haitumii force account bado watu wanapiga tu
 
Kwamba pesa kwenye hiyo force accoount automatically inakuomba uiibe?
 
View attachment 2235189

Huko Kanda Maalum ya Mkoa wa Mara, Mwalimu amefungwa kwa kula hela ya ujenzi wa madarasa ya shule yake.

Haya ndiyo matokeo ya sra zisizo na mashko katika ujenzi.

Badala ya fedha hizo kuonekana kama mtaji wa ujenzi, watu wanageuza kuwa fedha za kula.

Hili limetokea sehemu nyingi sana nchini maDED, wahandisi na waganga wa Mioa na Wilaya, fedha imetafunwa sana.

Hizi sera za Force Account zisizo na mipaka au kutengenezewa sera inayoeleweka zilikuwa za kiongozi wetu mpendwa, Rais wa wanyonge.
Force account ni janga
 
View attachment 2235189

Huko Kanda Maalum ya Mkoa wa Mara, Mwalimu amefungwa kwa kula hela ya ujenzi wa madarasa ya shule yake.

Haya ndiyo matokeo ya sra zisizo na mashko katika ujenzi.

Badala ya fedha hizo kuonekana kama mtaji wa ujenzi, watu wanageuza kuwa fedha za kula.

Hili limetokea sehemu nyingi sana nchini maDED, wahandisi na waganga wa Mioa na Wilaya, fedha imetafunwa sana.

Hizi sera za Force Account zisizo na mipaka au kutengenezewa sera inayoeleweka zilikuwa za kiongozi wetu mpendwa, Rais wa wanyonge.
Huku kwenye biashara nyingine za ujenzi watu hawafungwi sababu ya kuiba? Wizi ni kitu kibaya. Iwe kwenye forced account au kwenye miradi ya umma.
Forced account ilikuwa strategy mbaya isipokuwa kwenye hii habari umekuwa biased sana kwenye interest zako
 
Ilipaswa pia tujiulize kabla ya force account pesa ilikua haiibiwi? Wizi upo kwenye DNA ya watanzania. Kwa maana hata miradi ambayo haitumii force account bado watu wanapiga tu
Mazingira ya utendaji katika Force Account unarahisisha wizi.
Direct disbursement ya fedha kwa mtumiaji inampa mtu uwezo wa kuitumia fedha kama yake mwenyewe.
Hapo hakuna urasimu wa kiofisi katika matumizi ya fedha hiyo hivyo kurahisisha matuizi mabaya.
 
Huku kwenye biashara nyingine za ujenzi watu hawafungwi sababu ya kuiba? Wizi ni kitu kibaya. Iwe kwenye forced account au kwenye miradi ya umma.
Forced account ilikuwa strategy mbaya isipokuwa kwenye hii habari umekuwa biased sana kwenye interest zako
Siyo mimi nimemfunga, nimeonyesha jinsi maamuzi mabaya yasiyofikiria sera za manunuzi kwa fedha za umma na madhara yake.
Wanafungwa watu kwa kupewa fedha wasizojua kuzitumia kama ipasavyo kwa kazi za serikali.
 
Mazingira ya utendaji katika Force Account unarahisisha wizi.
Direct disbursement ya fedha kwa mtumiaji inampa mtu uwezo wa kuitumia fedha kama yake mwenyewe.
Hapo hakuna urasimu wa kiofisi katika matumizi ya fedha hiyo hivyo kurahisisha matuizi mabaya.
Signatory wa Force Account ni zaidi ya mmoja how Mwl aliweza kutoa pesa?
 
Mazingira ya utendaji katika Force Account unarahisisha wizi.
Direct disbursement ya fedha kwa mtumiaji inampa mtu uwezo wa kuitumia fedha kama yake mwenyewe.
Hapo hakuna urasimu wa kiofisi katika matumizi ya fedha hiyo hivyo kurahisisha matuizi mabaya.
Sera yenu ya sasa ni watumishi watii amri na wawe waadilifu bila vitisho kutoka Simba wa yuda na mnaamini kwasasa uadilifu umepanda.

Aina hii ya wizi nafikiri iwashtue kuwa watanzania sio watu wa kifanya bila kupigwa spana, haya ni matokeo ya mama yenu kuwakuna vizuri viongozi wake wa awamu hii.
 
Signatory wa Force Account ni zaidi ya mmoja how Mwl aliweza kutoa pesa?
Taratibu za matumizi ya pesa ya umma zikianza kupindwa tu, hayandiyo mtokeo yake.
Mwendazake akifikiri ati kuana weledi zaidi kuwapa watendaji fedha moja kwa moja kwenye akaunti za shule, hospitali, zahanati na kwingineko, sasa serikali lazima inaona aibukukubali kuwa ile ilkuwa a wrong move.
 
Taratibu za matumizi ya pesa ya umma zikianza kupindwa tu, hayandiyo mtokeo yake.
Mwendazake akifikiri ati kuana weledi zaidi kuwapa watendaji fedha moja kwa moja kwenye akaunti za shule, hospitali, zahanati na kwingineko, sasa serikali lazima inaona aibukukubali kuwa ile ilkuwa a wrong move.
Hujajibu swali langu, Account inazaidi ya signatory mmoja na kuna kamati, how mwl aliweza kutoa hizo fedha na kula? hapo kaonewa
 
Mazingira ya utendaji katika Force Account unarahisisha wizi.
Direct disbursement ya fedha kwa mtumiaji inampa mtu uwezo wa kuitumia fedha kama yake mwenyewe.
Hapo hakuna urasimu wa kiofisi katika matumizi ya fedha hiyo hivyo kurahisisha matuizi mabaya.
Na kwanza signatory wa aina hiyo ya acc sio mtu mmoja inakuwaje mkuu wa shule ndiye ahusike pekeake?

Halafu kwanini kila udhaifu na ujinga wa huyu mama yenu hamtaki kuukubali badala yake mnaelekeza lawama kwa mtu ambaye hayupo kwa zaidi ya mwaka mmoja?

Mama yenu alisema hata komaa na watumishi kutoa vitisho vya aina yoyote ile bali wao wenyewe wawe waadilifu bila shurti, ni lini mtanzania alienda bila kushurtishwa?? Mama yenu aliwambia watu wale kwa urefu wa kamba zao kila mmoja katika kitengo chake, bado watu wakiiba kwa kasi kama hivi alaumiwe JPM?

HUU NI USHENZI, ifike mahala myaone madhaifu ya mama yenu kama mnavyohangaika na yale ya JPM.
 
Taratibu za matumizi ya pesa ya umma zikianza kupindwa tu, hayandiyo mtokeo yake.
Mwendazake akifikiri ati kuana weledi zaidi kuwapa watendaji fedha moja kwa moja kwenye akaunti za shule, hospitali, zahanati na kwingineko, sasa serikali lazima inaona aibukukubali kuwa ile ilkuwa a wrong move.
Siwezi kujibu maswala wa ulaji wa hiyo fedha ya umma lakini ni wazi fedha iliyotolewa haikufanya kazi iliyokusudiwa.
Na Mahakama imetenda yake
 
Walimu wakuu kukabidhiwa mamilioni ya pesa za ujenzi na ukarabati wa shule, huku wakiruhusiwa kutumia mafundi wa mitaani, na kuruhusu kutofuatwa kikamilifu kwa sheria ya manunuzi (kwa kisingizio kuwa ina ikiritimba kukwamisha kazi), na huku inajulikana hawana taaluma ya kusimamia ujenzi, ni mtego kwa manufaa ya wajanja!!

Pesa nyingi sana imeliwa na kuna matukio mengi ya walimu wakuu kushitakiwa kwa matumizi mabaya!! Aliruhusu utaratibu huu ni mhujumu uchumi!!

Hao walimu wakuu wameonewa maana walitwishwa mzigo wasio na ujuzi nao ili wajanja wapige pesa!! Walioruhusu utaratibu huu wawajibishwe.

Matukio ya ubadhirifu na wizi ni mengi mno. Yale yanayoripotiwa ni yale ambayo wajanja hawakushirikishwa na walimu wakuu kwenye ulaji. Lakini mahali waliposhirikishwa KUTAFUNA FEDHA mambo ni kimya!!!

Kama ikiundwa tume huru ya wataalamu wapitie kwenye shule zote zilizopewa pesa za ujenzi na ukarabati ili wahakiki "value for money" kutatokea MSHTUKO mkubwa mno kwenye jamii. Huyu pia ameonewa tu!!

1653192879300.png
 
Watu wanaibaga kupitia hayo masheria unayoyasema,na kufanya miradi kuchukua muda mrefu kukamilika au kutokamilika kabisa...hii nchi kila kitu hakifai dah
Hao unaosema wamesomea si ndio hawa wanaotumbuliwa kila leo kama si utendaji mbovu wa chini ya kiwango basi kwa wizi...

Mimi naona ngoja twende hivi kwanza ili tuje kupima baadae...

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Lakini kuna kamati za ujenzi hapo, mwalimu amewezaje kutoa hizo pesa?
Kamati ya ujenzi inahusisha baadhi ya walimu shuleni na watu wengine na wengi wa hao hawana taaluma ya ujenzi wala usimamizi wa fedha na wote wanarubunika kirahisi!! Ujue ni fedha nyingi sana zinazopelekwa mashuleni kwa ajili ya ujenzi na ukarabati!! Na kuwaruhusu kutumia mafundi wa mitaani na bila kufuata sheria ya manunuzi ni mlango mpana sana wa ubadhrifu!!
 
Back
Top Bottom