Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #41
Mkuu mbona una kichwa kizito!Mleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.
Mkuu wa shule kaingizwa king
Soma press cutting, mimi si hakimu aliyemfunga mwalimu.