Madhila ya Force Account: Mwalimu afungwa kwa kula pesa ya ujenzi

Madhila ya Force Account: Mwalimu afungwa kwa kula pesa ya ujenzi

Mleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.

Mkuu wa shule kaingizwa king
Mkuu mbona una kichwa kizito!
Soma press cutting, mimi si hakimu aliyemfunga mwalimu.
 
SI wame
View attachment 2235189

Huko Kanda Maalum ya Mkoa wa Mara, Mwalimu amefungwa kwa kula hela ya ujenzi wa madarasa ya shule yake.

Haya ndiyo matokeo ya sra zisizo na mashko katika ujenzi.

Badala ya fedha hizo kuonekana kama mtaji wa ujenzi, watu wanageuza kuwa fedha za kula.

Hili limetokea sehemu nyingi sana nchini maDED, wahandisi na waganga wa Mioa na Wilaya, fedha imetafunwa sana.

Hizi sera za Force Account zisizo na mipaka au kutengenezewa sera inayoeleweka zilikuwa za kiongozi wetu mpendwa, Rais wa wanyonge.
Kwa hiyo unamaanisha hawakujua kuwa hiyo pesa sio yao na wakila watafanya makosa?
 
Mleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.

Mkuu wa shule kaingizwa kingi
Wamemtoa kafara pia hakuwa na wakili mzuri wa kumtetea
 
Watu wanafikiri eti hela inatumwa kwenye ac ya shule, basi mkuu wa shule anatumia tu!!!! hadi mkaguzi atakapokuja kukagua!!!! Hawajui hata ukijenga jengo la million 100 Kama hukutumia tenda pesa zooote utaambiwa umekulaa, ukiuliza Hilo jengo limetumia sh ngapi? Watakwambia hawalioni!!!

Kama huna risiti za EFD wewe pesa zooote umekulaa!!!
 
Siyo mimi nimemfunga, nimeonyesha jinsi maamuzi mabaya yasiyofikiria sera za manunuzi kwa fedha za umma na madhara yake.
Wanafungwa watu kwa kupewa fedha wasizojua kuzitumia kama ipasavyo kwa kazi za serikali.
Force Account ipo katika sheria za manunuzi
 
Back
Top Bottom