Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tatizo ni mfumo mbovu wa nchiWatu wanaibaga kupitia hayo masheria unayoyasema,na kufanya miradi kuchukua muda mrefu kukamilika au kutokamilika kabisa...hii nchi kila kitu hakifai dah
Hao unaosema wamesomea si ndio hawa wanaotumbuliwa kila leo kama si utendaji mbovu wa chini ya kiwango basi kwa wizi...
Mimi naona ngoja twende hivi kwanza ili tuje kupima baadae...
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kabla ya fedha kutolewa lazima Eng apitishe certificate, pia DEO na DED lazima asaini hiyo cheque ndiyo waende bank, How Mwl anaweza kuiba peke ake?Kamati ya ujenzi inahusisha baadhi ya walimu shuleni na watu wengine na wengi wa hao hawana taaluma ya ujenzi wala usimamizi wa fedha na wote wanarubunika kirahisi!! Ujue ni fedha nyingi sana zinazopelekwa mashuleni kwa ajili ya ujenzi na ukarabati!! Na kuwaruhusu kutumia mafundi wa mitaani na bila kufuata sheria ya manunuzi ni mlango mpana sana wa ubadhrifu!!
Hata kama zilikuwa zinaibiwa lakini sasa AMERAHISISHIWA HUYO MWIZI kwa kiwango cha kutisha!! Ni sawa na mtu kulala bila kufunga mlango halafu akaibiwa!! Huwezi kusema kwani wanaofunga milango huwa hawaibiwi? Haiwezekani mtu aamue kutokufunga mlango usiku kwa kisingizio kuwa hata hao wanaofunga milango hutokea wakaibiwa pia!!Ilipaswa pia tujiulize kabla ya force account pesa ilikua haiibiwi? Wizi upo kwenye DNA ya watanzania. Kwa maana hata miradi ambayo haitumii force account bado watu wanapiga tu
NI Mambo ya kuchanganya,miaka Ile ya awamu "force works" kazi ujenzi zilifanywa na watendaji wa serikali waliosomea fani hizo.kazi inaprogramiwa na afisa mpango,fed anaidhinisha,mhandisi.na watu wake wanatekeleza.mweka hazina analipa.leo hii mwenyeki ambaye hajawahi hata kujenga Banda la mbuzi anasimamia ujenzi wa shule/mradii wa 2.0 bilionI.huyo mwalimu waliompa hiyo kazi ndio wanapaswa kufungwa.Force account ni janga
Lakini kuna kamati, pia msimamizi mkuu wa ujenzi ni EngNI Mambo ya kuchanganya,miaka Ile ya awamu "force works" kazi ujenzi zilifanywa na watendaji wa serikali waliosomea fani hizo.kazi inaprogramiwa na afisa mpango,fed anaidhinisha,mhandisi.na watu wake wanatekeleza.mweka hazina analipa.leo hii mwenyeki ambaye hajawahi hata kujenga Banda la mbuzi anasimamia ujenzi wa shule/mradii wa 2.0 bilionI.huyo mwalimu waliompa hiyo kazi ndio wanapaswa kufungwa.
Ninyi inaelekea hamjakaa ofisi za serklai au shirika la umma.Na kwanza signatory wa aina hiyo ya acc sio mtu mmoja inakuwaje mkuu wa shule ndiye ahusike pekeake?
Halafu kwanini kila udhaifu na ujinga wa huyu mama yenu hamtaki kuukubali badala yake mnaelekeza lawama kwa mtu ambaye hayupo kwa zaidi ya mwaka mmoja?
Mama yenu alisema hata komaa na watumishi kutoa vitisho vya aina yoyote ile bali wao wenyewe wawe waadilifu bila shurti, ni lini mtanzania alienda bila kushurtishwa?? Mama yenu aliwambia watu wale kwa urefu wa kamba zao kila mmoja katika kitengo chake, bado watu wakiiba kwa kasi kama hivi alaumiwe JPM?
HUU NI USHENZI, ifike mahala myaone madhaifu ya mama yenu kama mnavyohangaika na yale ya JPM.
Sh ngapi kalaNinyi inaelekea hamjakaa ofisi za serklai au shirika la umma.
Huyo mwalimu is a stupid fall guy.
Hizo hela hakula peke yake na si ajabu ndiye aliyehusika kuzipokea toka benki.
Hapo kala na watendaji wa serikali na hata madiwani wake.
Kesi imepelekwa MAHAKAMANI na amekutwa na hatia kula fedha za serikali kwa niaba ya vifisadi uchwara kijijini.
Tatizo lenu ni kfikiri hela ya serikali mpaka wote waliokula wapatikane, hapana , wajanja wamemwangushia jumba bovu huyo mwalimu.
Yaani naweza ku imagine.Kamati ya ujenzi inahusisha baadhi ya walimu shuleni na watu wengine na wengi wa hao hawana taaluma ya ujenzi wala usimamizi wa fedha na wote wanarubunika kirahisi!! Ujue ni fedha nyingi sana zinazopelekwa mashuleni kwa ajili ya ujenzi na ukarabati!! Na kuwaruhusu kutumia mafundi wa mitaani na bila kufuata sheria ya manunuzi ni mlango mpana sana wa ubadhrifu!!
Nilichotaka ujue ni kwamba hela ya serikali huwa hailiwi na mtu mmoja, kwakua umeshaelewa sina jingine.Ninyi inaelekea hamjakaa ofisi za serklai au shirika la umma.
Huyo mwalimu is a stupid fall guy.
Hizo hela hakula peke yake na si ajabu ndiye aliyehusika kuzipokea toka benki.
Hapo kala na watendaji wa serikali na hata madiwani wake.
Kesi imepelekwa MAHAKAMANI na amekutwa na hatia kula fedha za serikali kwa niaba ya vifisadi uchwara kijijini.
Tatizo lenu ni kfikiri hela ya serikali mpaka wote waliokula wapatikane, hapana , wajanja wamemwangushia jumba bovu huyo mwalimu.
Nafikiri umeelewa maana ya fall-guy.Nilichotaka ujue ni kwamba hela ya serikali huwa hailiwi na mtu mmoja, kwakua umeshaelewa sina jingine.
Hujajibu swali langu, Account inazaidi ya signatory mmoja na kuna kamati, how mwl aliweza kutoa hizo fedha na kula? hapo kaonewa
Sio kirahisi hivyo kwenye fedha za miradu ya serikali, hiyo hela imeliwa ma wengi kisha wakamtoa kama chambo.Huyo ni kwamba alighushi nyaraka…
Kuna watu wanafoji sign wanaiba!!!
Aligushi mpk hundi na wakati kuna pre-audit unit?Huyo ni kwamba alighushi nyaraka…
Kuna watu wanafoji sign wanaiba!!!
Upo sahihi kabisa hapo wahusika ni wengi sn mpk DEDSio kirahisi hivyo kwenye fedha za miradu ya serikali, hiyo hela imeliwa ma wengi kisha wakamtoa kama chambo.
Fedha za umma wanazitafuna balaa...watoa huduma za kandarasi wakishilikiana na wafanyakazi wa umma wasio waaminifu. CAG mara kadhaa anawadai hata wakandarasi ambao hawatumii forced account warudishe fedha sababu hawakufanya kazi stahiki.Siyo mimi nimemfunga, nimeonyesha jinsi maamuzi mabaya yasiyofikiria sera za manunuzi kwa fedha za umma na madhara yake.
Wanafungwa watu kwa kupewa fedha wasizojua kuzitumia kama ipasavyo kwa kazi za serikali.
Mleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.Upo sahihi kabisa hapo wahusika ni wengi sn mpk DED