Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #41
Mkuu mbona una kichwa kizito!Mleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.
Mkuu wa shule kaingizwa king
Hueleweki.Mkuu mbona una kichwa kizito!
Soma press cutting, mimi si hakimu aliyemfunga mwalimu.
Kwa hiyo unamaanisha hawakujua kuwa hiyo pesa sio yao na wakila watafanya makosa?View attachment 2235189
Huko Kanda Maalum ya Mkoa wa Mara, Mwalimu amefungwa kwa kula hela ya ujenzi wa madarasa ya shule yake.
Haya ndiyo matokeo ya sra zisizo na mashko katika ujenzi.
Badala ya fedha hizo kuonekana kama mtaji wa ujenzi, watu wanageuza kuwa fedha za kula.
Hili limetokea sehemu nyingi sana nchini maDED, wahandisi na waganga wa Mioa na Wilaya, fedha imetafunwa sana.
Hizi sera za Force Account zisizo na mipaka au kutengenezewa sera inayoeleweka zilikuwa za kiongozi wetu mpendwa, Rais wa wanyonge.
Wamemtoa kafara pia hakuwa na wakili mzuri wa kumteteaMleta mada haelewi kitu kuhusu madili ya pesa z serikali ndomaana anampoint mwalimu kama mnufaika pekee huku akihusisha wizi huo na zaifu wa force account, kana kwamba huko nyuma hakukuwah kuwa na wizi au labda hiyo force account ina signatory mmoja kitu ambacho sio.
Mkuu wa shule kaingizwa kingi
Sielweki maana we ni mgumu kuelewa!Hueleweki.
Force Account ipo katika sheria za manunuziSiyo mimi nimemfunga, nimeonyesha jinsi maamuzi mabaya yasiyofikiria sera za manunuzi kwa fedha za umma na madhara yake.
Wanafungwa watu kwa kupewa fedha wasizojua kuzitumia kama ipasavyo kwa kazi za serikali.
Si kwa matumizi ya major development projects.Force Account ipo katika sheria za manunuzi