Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

Kuna madini na baadhi ya vitu havipatikani ardhini ila vinazalishwa maabara! Mfano wake ni hiyo Californium. No wonder inazalishwa hizo nchi mbili za Urusi na Marekani maana ndio waliohodhi hizo teknolojia za Kinyuklia
Huu sio ukweli wote Ndugu yangu. Watu weupe sio Ndugu zako. Ni watundu sana.
 
Wenzetu weupe wanaingia Barani Afrika, nchini NIGERIA katika jimbo liitwalo BORNO (Borno State) na kugundua madini aina ya Calfornium.
Mkuu, haya siyo madini ya kuchimbwa ardhini..

Where is californium found?
Californium does not occur naturally on Earth. All that there now is has been synthesized..
1686315305411.png

Water Treatment and Purification - Lenntech › elements

Californium (Cf) - Chemical properties, Health and Environmental effects - Lenntec


Where can I mine californium?


1686315305507.jpeg

Only two sites produce californium-252: the Oak Ridge National Laboratory in the United States, and the Research Institute of Atomic Reactors in Dimitrovgrad, Russia.
 
Tuma link hapa acha porojo. Madini ya kinyuklia yanayotengenezwa maabara yanaanzaje kupatikana ardhini? Kwanza unayachimba na kuhifadhi vp km yanapotea baada ya muda mfupi? Unajua maana ya spontaneous disintegration? Huenda unazungumza kitu usichokijua kabisa ila km kawaida ya Watz walio wengi unaumwa ugonjwa wa UJUAJI!
Sawa Ndugu...., Nyie maprofesa Mbawala mnatusaidia nini hapa Tz na hayo madesa yenu ya vitabuni? Kama sio kututia tu hasara.

" Kwani ukiandika kizungu ndio nini sasa.....si ni lugha tu kama Kisukuma..."" In Magufuli's voice
 
Mkuu, haya siyo madini ya kuchimbwa ardhini..

Where is californium found?
Californium does not occur naturally on Earth. All that there now is has been synthesized..
View attachment 2651231
Water Treatment and Purification - Lenntech › elements

Californium (Cf) - Chemical properties, Health and Environmental effects - Lenntec


Where can I mine californium?


View attachment 2651232
Only two sites produce californium-252: the Oak Ridge National Laboratory in the United States, and the Research Institute of Atomic Reactors in Dimitrovgrad, Russia.
Hiyo ni according to google na hao hao watu weupe. Cause hawataki nyie waafrika mjue yanapatikana Afrika na tena yanapatikana Ardhini.
 
Ndugu zangu kuna baadhi ya mambo ,....huwezi kuyaona google in a positive way.....google KILA kukicha wako busy kuedit taarifa na kuweka vitu tofauti. Na vingine kuviondoa kabisa.

Mfano: Madini kama haya huwezi kamwe kuyakuta google


Unaipinga Google halafu unaweka video from youtube ambayo ni product nyingine ya Google uko serious kweli? Kama waanedit Google kwanini wasiedit YouTube. Hebu kuwa serious mkuu
 
Hiyo ni according to google na hao hao watu weupe. Cause hawataki nyie waafrika mjue yanapatikana Afrika na tena yanapatikana Ardhini.
Wala siyo huko..
Kwa ujumla taarifa yako si ya kweli.

Hata waanzilishi na wamiliki wa hiyo BOKO HARAM wanajulikana na malengo yao yanafahamika kuwa ni dini. Wewe unaleta hapa porojo za kubambikia wasiohusika.
Ni rahisi tu kujua lengo lako.
Na nimekwambia tuwekee hapa chanzo cha taarifa yako, kimyaaa!
 
Na habari zako ni according to who? Au umefanya research mwenyewe?
Huyu mpuuzi anayejiita MzeeKipusa ukimwambia alete source ya porojo zake hizi anabaki kuleta hadithi za Alfu lela ulela. Hawa ndio wengi wa wafuasi wa Magufuli. Wanapenda kusikia conspiracy theories na habari za Wazungu ni wezi sana, wana nia ovu n.k hata km hazina ushahidi wala mantiki

Mtu hajui hata maana ya spontaneous disintegration analeta porojo zake humu ndani. Laiti km angejua maana ya neno hilo angejua kwa hakiks hayo madini hayawezi kuchimbwa ardhini
 
Unaipinga Google halafu unaweka video from youtube ambayo ni product nyingine ya Google uko serious kweli? Kama waanedit Google kwanini wasiedit YouTube. Hebu kuwa serious mkuu
Niko very serious . Be humble then utanielewa!
 
Huyu mpuuzi anayejiita MzeeKipusa ukimwambia alete source ya porojo zake hizi anabaki kuleta hadithi za Alfu lela ulela. Hawa ndio wengi wa wafuasi wa Magufuli. Wanapenda kusikia conspiracy theories na habari za Wazungu ni wezi sana, wana nia ovu n.k hata km hazina ushahidi wala mantiki

Mtu hajui hata maana ya spontaneous disintegration analeta porojo zake humu ndani. Laiti km angejua maana ya neno hilo angejua kwa hakiks hayo madini hayawezi kuchimbwa ardhini
nimeshindwa kuelewa hii statement naamini ufinyu wa elim unachangia pakubwa, unaweza kunidadavulia kidogo?
Screenshot_20230609-163106.jpg
 
Wala siyo huko..
Kwa ujumla taarifa yako si ya kweli.

Hata waanzilishi na wamiliki wa hiyo BOKO HARAM wanajulikana na malengo yao yanafahamika kuwa ni dini. Wewe unaleta hapa porojo za kubambikia wasiohusika.
Ni rahisi tu kujua lengo lako.
Na nimekwambia tuwekee hapa chanzo cha taarifa yako, kimyaaa!
Unajua kwanini Hayati Ghadaf aliuwawa?
 
Huyu mpuuzi anayejiita MzeeKipusa ukimwambia alete source ya porojo zake hizi anabaki kuleta hadithi za Alfu lela ulela. Hawa ndio wengi wa wafuasi wa Magufuli. Wanapenda kusikia conspiracy theories na habari za Wazungu ni wezi sana, wana nia ovu n.k hata km hazina ushahidi wala mantiki

Mtu hajui hata maana ya spontaneous disintegration analeta porojo zake humu ndani. Laiti km angejua maana ya neno hilo angejua kwa hakiks hayo madini hayawezi kuchimbwa ardhini
 
Niko very serious . Be humble then utanielewa!
Nakuelewa ila katika hizo harakati za African spirit kuna matango pori mengi. Badala ya kupambana na adui yetu halisi, kuna matango ya kulishana uongo wa mambo mengi. Mfano kwamba hayo madini kuchimwa hapo na Google kutosema ukweli kuhusu hayo madini kuwa yanachimba ikadanganya kuwa yanatengenezwa maabara tu.
 
Unawasikilizia wapi mkuu YT? Kama YT ni product ya Google pia au wapi mkuu?
Hapa issue ni madini au google/youtube?

Je ulikua unafahamu kuhusu hicho kitu? ( CALFORNIUM )

Kipindi flani nilisikia kwenye News ...Hapa Tanzania yamepatikana Mafuta mengi sana huko Baharini.......hivi hii issue iliishia wapi? Kwanini tena tuwekeze kwenye yale ya kutoka Uganda? What's going on here???
 
Back
Top Bottom