Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Mkakati unafanywa kijanja sana, makonda alikuwa Mbeya kutekeleza hilo. Mkuu dunia haina siri
Kuna uwezekano kuna siri kubwa sana ambayo hawa wanao hama wanaoneshwa ukweli, mfano labda kuna usaliti mkubwa sana kwa nchi unaendelea nyuma ya pazia na jamaa wakioneshwa ushahidi usio kuwa na shaka wanaona afadhali waende CCM kuliko kuuza nchi.

Hizi ni hisia tu, huenda sipo sahihi.
Haiingii akilini kufikiria viongozi wengi namna hii wa upinzani hasa CDM wanaenda CCM kwa kuongwa pesa.
tena wanatoka kila kona ya nchi , hadi jimboni kwa Mwenyekiti wa CDM.
 
Katibu mkuu anafanya ziara ya kuvuna eeeh.. Haya kila la kheri.. Sasa kubalini uchaguzi wa October uwe huru na haki, ili muone kama manunuzi, vitisho na mikwala yenu itawasaidia kupata kura..
 
sasa pia watawanunua Wananchi wenye uchu wa mageuzi nchi nzima?Inaweza kuwa furaha ya muda tu kwao Ya Mungu mengi
 

Kugola Ni yule mkatika viuno? Amefanyaje tena?
 
Naona "Fidofido" wa kike anatumia nguvu za ajabu na kishenzi kupata jimbo la mbeya ili amtoe "kifimbo cheza" kitini kule mjengoni
 
Hii taarifa bado haijawa kamili.Hata hivyo kwa Mbeya wao sio wa Kwanza kutoka kuna baadhi walishatangulia.Lakin bado wasidhani watapita udiwani wakiwa ccm.Labda Nyadhifa zingine za kuteuliwa kama ukurugenzi n.k Lakin kwa madiwani wa ccm Mbeya huwezi kupita labda kwa mtutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni upuuzi uliopitiliza kwa masomo kucheza mchezo wa kioga wakijinga wa kitoto yaani, UNAKATAZA WASIFANYE SIASA, WASIENDE KUONGEA NA WANACHAMA, WANANCHI KWA KUTUMIA DOLA HALAFU MWENYEWE UNAJIFANYIA SIASA NA VYOTE ,UNAONGEA UNALOPENDA BILA SHIDA HALAFU BAADAYE UNATANGAZA UMEWASHINDA, MUNGU AWALAANI NA KUWAANGAMIZA NYIE MLIOPEWA DHAMANA OVYO
 
Basi kama ni kweli madiwani wote hao 11 wanahama nivyema Mkiti F.Mbowe ajiulize au yawezekana huko CDM hakuna room for discussion. Mtaji wa wanasiasa sio kupuuzia wanaohama!!!!
 
Kuna unachokijua lakini unaficha , ongea yote halafu na mimi nitatoa mchango wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…