Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi
Hawa wote watapewa vyeo halafu Zoezi L's kuiua CCM wakiwa kulekule ndani litatimia.Wakati huo wapiga zumari wanashitukia wapo nje ndani wamejaa wageni

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Lakini acha wakienda CCM wapate vyeo maana wote ni WaTz sio kutoka nje ya nchi.
 
Acheni kutu pumbaza Tunataka kujua issiue ya Kugola. Ni lini mnamfikisha mahakamani? Maana hizi zuga ni za kuwafanya Watanzania wasahau ya Kugola and company.

Hivi CCM chama chenye miaka mingi kwenye siasa kuliko vyama vyote Africa mmefikia mahali pa kusherehekea kupokea wapinzani?

Mna tia aibu. Ni kwamba mmekosa kabsa mbinu mbadala wa kufanya siasa? Nawainea huruma. Maana sasa huku mna bebwa na dola, huku tume ya uchaguzi, kule kununua wapinzani hadi raha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kugola ndo nan mzee baba
 
Kuna unachokijua lakini unaficha , ongea yote halafu na mimi nitatoa mchango wangu
Mkuu naongoe ukweli toka rohoni sikijui chochote na sipo chama chochote au idara yoyote.
Mimi naangalia 'trend' na kubashiri tu.

Ngumu kuniamini lakini ndio hivyo ni kweli nisemacho.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Tatizo letu sisi watu weusi tunashughulika sana na watu badala ya kushughulika na mfumo. Huwezi kuua mfumo wa vyama vingi vya siasa iwapo wewe chama dola hujawaondolea adha ya maisha wananchi unaowatawala. Ukirubuni viongozi wa upinzani wakaja kwako tegemea kuna wananchi wengine wasioridhishwa na utawala wako watapata nafasi ya kuongoza upinzani ni kama usajili wa timu ya mpira tu. Ukimchukua Ronaldo wenzako wanampandisha kikosi cha kwanza kinda mahiri aje kuziba nafasi iliyoachwa wazi
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
mwisho wa ubaya ni aibu,unapiga bomu mochwari unajisifu umeua
 
Mkuu naongoe ukweli toka rohoni sikijui chochote na sipo chama chochote au idara yoyote.
Mimi naangalia 'trend' na kubashiri tu.

Ngumu kuniamini lakini ndio hivyo ni kweli nisemacho.
Usiihusishe wanaohama na Uongozi wa Juu wa Chadema , hauhusiki usije kubeba dhambi bure , kama hujui endelea kutokujua lakini usitunge uongo
 
Back
Top Bottom