Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
picha zake zipo alirekodiwaTiticomb,
Mkakati unafanywa kijanja sana, makonda alikuwa Mbeya kutekeleza hilo. Mkuu dunia haina siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha zake zipo alirekodiwaTiticomb,
Mkakati unafanywa kijanja sana, makonda alikuwa Mbeya kutekeleza hilo. Mkuu dunia haina siri
Sasa wewe kwa nini nisifurahi?Na wewe unafurahi
Hawa wote watapewa vyeo halafu Zoezi L's kuiua CCM wakiwa kulekule ndani litatimia.Wakati huo wapiga zumari wanashitukia wapo nje ndani wamejaa wagenimaana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi
Lakini acha wakienda CCM wapate vyeo maana wote ni WaTz sio kutoka nje ya nchi.Hawa wote watapewa vyeo halafu Zoezi L's kuiua CCM wakiwa kulekule ndani litatimia.Wakati huo wapiga zumari wanashitukia wapo nje ndani wamejaa wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kugola ndo nan mzee babaAcheni kutu pumbaza Tunataka kujua issiue ya Kugola. Ni lini mnamfikisha mahakamani? Maana hizi zuga ni za kuwafanya Watanzania wasahau ya Kugola and company.
Hivi CCM chama chenye miaka mingi kwenye siasa kuliko vyama vyote Africa mmefikia mahali pa kusherehekea kupokea wapinzani?
Mna tia aibu. Ni kwamba mmekosa kabsa mbinu mbadala wa kufanya siasa? Nawainea huruma. Maana sasa huku mna bebwa na dola, huku tume ya uchaguzi, kule kununua wapinzani hadi raha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naongoe ukweli toka rohoni sikijui chochote na sipo chama chochote au idara yoyote.Kuna unachokijua lakini unaficha , ongea yote halafu na mimi nitatoa mchango wangu
Afadhali kubaki bila chama kuliko kujiunga Na genge liitwalo ccm.nawahurumia ambao bado wapo cdm sijui anasubiri nini
Tatizo letu sisi watu weusi tunashughulika sana na watu badala ya kushughulika na mfumo. Huwezi kuua mfumo wa vyama vingi vya siasa iwapo wewe chama dola hujawaondolea adha ya maisha wananchi unaowatawala. Ukirubuni viongozi wa upinzani wakaja kwako tegemea kuna wananchi wengine wasioridhishwa na utawala wako watapata nafasi ya kuongoza upinzani ni kama usajili wa timu ya mpira tu. Ukimchukua Ronaldo wenzako wanampandisha kikosi cha kwanza kinda mahiri aje kuziba nafasi iliyoachwa waziKatibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.
Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Huu ujinga unaoendelea wananchi tumekaa kimya tunaona poa,kwa kweli magufuli mwaka 2025 akistaafu nitamshangaa sana,nipate zali la kutawala nchi iliyojaa wajinga kama Tz ningetawala maishaSiasa mpaka 2020 ila ccm kila siku inafanya siasa na kampeni. CCM ni.janga kwa tanzania.
Pro J ni kipenzi cha mheshimiwa. Ataendelea na ubunge wakeAsee!! Kama ni hivi basi Sugu na Prof Jay wapo njiani.
mwisho wa ubaya ni aibu,unapiga bomu mochwari unajisifu umeuaKatibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.
Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Usiihusishe wanaohama na Uongozi wa Juu wa Chadema , hauhusiki usije kubeba dhambi bure , kama hujui endelea kutokujua lakini usitunge uongoMkuu naongoe ukweli toka rohoni sikijui chochote na sipo chama chochote au idara yoyote.
Mimi naangalia 'trend' na kubashiri tu.
Ngumu kuniamini lakini ndio hivyo ni kweli nisemacho.