Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Nigerians again!
For those who wants free money, downloadable money,
I wish you good luck.
 
Watu tunajisahu au tuna Umri mdogo kukumbuka mambo na kutojua HISTORIA,
Chama cha kwanza chenye nguvu baada ya kuundwa mfumo wa vyama vingi kilikuwa UMD chini ya kina FUNDIKILA na KASANGA TUMBO. Pia walikuwepo NCCR, TLP, CUF na leo CDM ambayo zamu yake ya kufa imefika.
Kama wapinzani hawatijifunza chanzo cha haya kila siku watatudanganya kwa visababu vyepesi vya uongo.
Hebu waunde tume na wakawahoji wale waliohama zamani waeleze ukweli kwa nini walihama
LISSU LEMA, MSIGWA, ZITTO, PROF. SAFARI hata MAALIM watuambie masaibu yaliyowapata mpaka wakachukua uamuzi wa kuhama vyama vyao vya awali
 
TUPO SAMBAMBA HADI HAPA.
Tusikubali majibu rahisi kwa hoja au maswali mazito.

Kuhama ni kawaida lakni tunaona kunapokuwa na wimbi kama hili la sasa basi chama kinacho hamwa kama sio chama tawala basi kinajikuta kinenda ukingoni.
Vyama karibu vyote ulivyotaja walijitetea na kujiamini kama sasa wanavyofanya CDM.

Tuombe awamu hii CDM asifuate anguko kama la watangulizi wake.
Sababu ikitokea hivyo nahisi CCM itakuwa na kiburi na kutawala karne moja au zaidi.
 
Je hao uliwataja hapo juu nao mliwaita wananunuliwa kama mnavyowatuhumu hawa wanaohama sasa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkakati wa kuisambaratisha Chadema kwa gharama yeyote ile unaendelea.
Sidhani kama watafanikiwa. Wanachoshindwa kutambua ni kwamba hao wanaohama hawataipigia kura ccm. Watajisikiaje wakijua ni mpango ndani ya Chama Chadema watu wachukue pesa waseme wamehama hahahhh nacheka kwa kidhungu!

Bushiru hajajifunza huko Lindi aendelee kujidanganya.
Watu wanachukua elfu kumi kumi wanaendelea na maisha
Akili nyingi kila mtu ana zake!
 
Hata hiki kinachofanyika ni SIASA pia.

Senti bai yuzingi tecno T301
Kama ni siasa tuseme ni siasa za kipuuzi. Huwezi kutegemea chama kama Ccm kufanya siasa za majitaka kama hizi. Kujipitisha serikali za mitaa bila kupingwa, kununua wabunge/madiwani wa upinzani na kuwapitisha kibabe kwenye chaguzi za marudio, halafu baada ya hapo wana kwenda kuaacha solemba. Hii ni kuua talent ya mtu na pia kuharibu future yake bila kusahau familia itakwenda kusota for life.
Hizi sio siasa Ccm wana takiwa kufanya halafu ati mwenyekiti ni Dr, katibu mkuu ni Dr.... Etc SHAME!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imefanya kila lililo lake , haiwezi kuwalazimisha walioamua kuiabudu pesa badala ya utu wao na heshima waliyopewa na chama na wananchi
 
Chadema imefanya kila lililo lake , haiwezi kuwalazimisha walioamua kuiabudu pesa badala ya utu wao na heshima waliyopewa na chama na wananchi
Itabidi nikubali tu hoja yako ingawa mmh!
 
Hoja ya kuhama hama bila kuiweka mezani baada ya uchaguzi huu hakutakua na chadema,ni swala la muda tu
 
Itabidi nikubali tu hoja yako ingawa mmh!
hatuwezi kuwaweka mahabusu hawa wasaliti , hatuna uwezo huo , kumbuka hawa ni watu tuliowatoa miongoni mwa hao hao raia wengine , na nakuhakikishia kwamba Chadema itawaleta tena raia wengine waaminifu na watashinda nafasi hizo hizo

Laana ya usaliti ni mbaya sana
 
Kuna jisongi moja Zembwela aka Ndimu alikua anakapenda sana kanamaneno haya KAMSAKATA KATUMBAKU hahaaaa wa mama J Bby.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imefanya kila lililo lake , haiwezi kuwalazimisha walioamua kuiabudu pesa badala ya utu wao na heshima waliyopewa na chama na wananchi
kamanda Kyela Mwakyembe anapita bila kupingwa, msipotubu laana ya Dr.Slaa itawapiga vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…