Uchaguzi 2020 Madiwani wa CHADEMA waliohamia CCM ,wapukutishwa Arusha

Uchaguzi 2020 Madiwani wa CHADEMA waliohamia CCM ,wapukutishwa Arusha

Yaani tukutongoze uingie king, tukununue kama tikiti halafu tuje tukupe fursa ya kutuongoza.
By the way wao walikwenda CCM kufuata madaraka au KUUNGA MKONO JUHUDI?
 
HONGERA SANA WAJUMBE, WAFUNDISHENI ADABU ,wajue kuwa USALITI ni mbaya 😁😁😁🤩🤩😁😁😂😂😂 wajumbe nwamefanya KAZI NJEMA
 
CCM na uongozi wake wa wajuu watatakiwa wawe makini na maaumizi ya jina la mwisho la atakaye pitishwa kugombea. Watafute maoni ya wananchi wa eneo husika kutumia njia au vyanzo mbadala. Nasema hivi kwa sababu yako maeneo ambayo maamuzi ya wajumbe wao haya akisi maoni ya wananchi ambalo ndio wapiga kura wengi. Wawe makini hasa.

Kwani ccm inategemea kushinda kwa kura, au ni maagizo tu rais mgombea wao anatangazwa?
 
Kosa lilifanyika pale mabalozi walipoongezwa kama wajumbe wa hiki kikao cha kura za maoni. Wengi wa watu hawa wanatumia matumbo yao badala ya akili kufanya maamuzi.

Ni nani ambaye hatumii tumbo huko ccm kufanya maamuzi? Kama ccm wangekuwa wanafanya maamuzi kwa kutumia ubongo, Magufuli asingeweza kupata kura 100%. Hakuna mahali popote watu wanafanya maamuzi kwa kutumia ubongo, mgombea akapata kura 100%.
 
Asante kwa habari nzuri kabisa kwa wapinzani hasa CDM, manake wasaliti hawatakiwi kabisa.
 
Takribani madiwani 20 wa chadema waliojiunga ccm kuunga juhudi za Rais Magufuli wameangukia pua kwenye kura za maoni huku eti wakidai wamehujumiwa na wajumbe.

Hatua hiyo imedhihirisha wazi kwamba wenye ccm yao wapo na sio wahamiaji kama walivyopigwa mweleka kwenye kura za maoni na wengi wao wakiambulia kura moja na sifuri.
🙂 🙂 🙂 Malofa wapumbavu hao...
 
Kama watafuata maoni kama haya basi wanakwenda kujifelisha wenyewe kwa sababu wajumbe wanaopiga kura ni wakaazi wa maeneo husika, ni vipi chama kirudi tena kuwahoji wananchi? Demokrasia imeongea usipoikubali subiri sanduku la kura.
CCM na uongozi wake wa wajuu watatakiwa wawe makini na maaumizi ya jina la mwisho la atakaye pitishwa kugombea. Watafute maoni ya wananchi wa eneo husika kutumia njia au vyanzo mbadala. Nasema hivi kwa sababu yako maeneo ambayo maamuzi ya wajumbe wao haya akisi maoni ya wananchi ambalo ndio wapiga kura wengi. Wawe makini hasa.
 
Hakuna anaesikitisha kama yule aliyekuwa Meya wa Jiji la Arusha Calisti Lazaro. Aibu tupu.
 
Kama watafuata maoni kama haya basi wanakwenda kujifelisha wenyewe kwa sababu wajumbe wanaopiga kura ni wakaazi wa maeneo husika, ni vipi chama kirudi tena kuwahoji wananchi? Demokrasia imeongea usipoikubali subiri sanduku la kura.

Kama hujuma zenu mlizifunika kwa nguo ya kura ya maoni wananchi tumewastukia, chama kichukue tahadhari kubwa. Vinginevyo kitajikuta wagombea wengi ni mamluki wa watu wanaolenga urais wa awamu ya sita.
 
Mjumbe alika kuku kwa mrija kwa gharama ya mgombea.  Endelea kujipatia Kitabu ch ( 799 X 640 ).jpg
 
Ha ha waunga juhudi wote vilio kila kona ya Tanzania.Inauma tu pale unaunga juhudi huku una kinyongo cha kukatwa dah
 
Back
Top Bottom