Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Jerry Slaa sheria yako uliyosoma kwa kudesa ni shida sana.
Unasaini vipi kwa niaba ya nchi nyingine?Kwani wao hawajui kusaini?
Au ndo ule utwana na waarabu ni mamwinyi tunawasainia?!
Jerry Slaa na mimi wapi na wapi.
 
Bunge juzi walipi

Mmekazana sana na mambo yasiyo na kichwa wala miguu kwenye huo mkataba kama sehemu ya matatizo.

Pitia article 18 ya ‘VCLT 1969’ hizo signature ndani ya huo mkataba hazina nguvu zozote za kisheria pekee yake, bila ya ratification.

Nguvu ya kisheria kwenye treaty inakuja baada ya ratification ya bunge. Vinginevyo mikataba yote ya baadae terms zake ambazo zipo kwenye treaty azitambuliki mahakamani kama ratification aikufanyika.

Kwanza nchi ingeweza ata ikana hiyo treaty (IGA) yenyewe ata kama raisi mwenyewe angekuwa ndio la sign; provided katika muda huo bunge lilikuwa bado alijaridhia.

Yaani watu mmekezana na upotoshaji badala ya kuwabana hawa watu tujue huko mbele ni kipi hawa wakezaji wanatoa, wanarudisha vipi investment yao na win situation kwetu ina sura gani katika hiyo mikataba. Hayo mambo hawajifikia bado au ndio wanajadiliana kwa sasa nyuma ya pazia.

Lakini wapotoshaji mmekazana na mambo yasiyo ya kichwa wala miguu; kuivuruga serikali matokeo yake tunaweza ata kuwatoa umakini kwenye future negotiations ambazo huko sasa wakiingia kichwa kichwa ndio nchi inaenda tandikwa kweli.

Bunge juzi walipisha Nini?
 
Makosa yepi sasa hapo.

Iko walichofanya hao Dubai na Tanzania; kwenye ku nominate signatories kwa niaba ya nchi zao kinatofauti gani.

Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.

Muda wowote hiyo treaty serikali ingeweza ikana katika kipindi ambacho bunge lilikuwa alijaridhia bado.

Mbona wakaidi nyie watu kwenye kuelewa mambo mepesi; mna complicate issues ambazo ni straight forward.

Hao wanasheria uchwara wanawapotosha sana na kuwaaribu your reasonability kwenye hili sakata.

Wewe nawe una shida, Kama Saini hazifanyi kazi, wamesaini kwa lengo gani.
 
Imekosewa vipi kilicho maanishwa hapo raisi amemteua waziri ku sign IGA ambayo inahusu serikali ya Tanzania na Dubai.

Sasa itakuwaje intergovernmental agreement kama inahusu nchi moja.

Kuamua kuweka interpretation tofauti na kilichokusudiwa hapo hakufanyi hizo kelele kuwa halali.

Hakuna makosa yoyote zaidi ya cherry picking tu kutafuta vijisababu vya kupigia makelele mitandaoni.

Isitoshe hizo signatures hazifanyi mkataba kuwa sheria; isipokuwa bunge kuridhia hilo ndio la msingi.

Soma vizuri. Amempa mamlaka kusaini kwa niaba ya serikali ya JMT na Dubai. Punguza ubishi. Kasome power of attorney ya Dubai ipo straight forward . Ni Mkurugenzi wa DP ndio kapewa hayo mamlaka.
 
Viongozi wa aina hii ndio watu wa hovyo.

Serikali inatakiwa kutoa mwongozo official line ya maelezo yake; sio kila poyoyo aende na lake.

Amepata hizo 15 minutes of fame alizokuwa anatafuta sasa.
Wewe una shida, mkuu wa mkoa katoa tahadhali unampinga na kumtukana.
 
Soma vizuri. Amempa mamlaka kusaini kwa niaba ya serikali ya JMT na Dubai. Punguza ubishi. Kasome power of attorney ya Dubai ipo straight forward . Ni Mkurugenzi wa DP ndio kapewa hayo mamlaka.
Ni treaty ina pande mbili za nchi ndio maana hizo nchi zimetajwa.

Kinacho maanishwa hapo ana sign makubaliano ya nchi ya Tanzania na Dubai kuingia makubaliano, hiyo ndio tafsiri yake kwa Kiswahili.
 
hapo ni Mungu aliingilia Kati huo mkataba , mh. naniliuuu akaanza kusaini ovyo ovyo mpaka kusiko muhusu . Hilo ni onyo , akikaza shingo , Mungu ataingilia Kati mazima!!
 
On behalf of Tanzania and the government of Dubai concerning………..

That’s a single statement.

Ana sign kwa niaba ya Tanzania na Serikali ya Dubai kwenye maswala ya makubaliano……..

Tanzania and Dubai ni two parties involved in the agreement.

Wewe ulitaka iweje maana ni ile ile na kilichoandikwa na upande wa Dubai tofauti ni wording tu.

Mwisho wa siku hizo signatures au difference in wording hazifanyi articles za IGA kuwa sheria isipokuwa the process of ratification.

It’s just a fuss about nothing
Unachekesha Sana. Kwa hivyo mbarawa anasign kwaniaba ya serikali ya Dubai na JMT?. Hapo huwezi kutetea chochote hata DP world watakushangaa.
 
Ni treaty ina pande mbili za nchi ndio maana hizo nchi zimetajwa.

Kinacho maanishwa hapo ana sign makubaliano ya nchi ya Tanzania na Dubai kuingia makubaliano, hiyo ndio tafsiri yake kwa Kiswahili.
Kwa wanasheria ni kosa kubwa tena sanaa
 
Vipengele tata vipi zaidi ya kuropoka tu mambo anayosikia jumla jumla si angevitaja.

Makosa yanaanzia serikalini kushindwa ku control narrative ya serikali na kuteua watu kwenye technical position ambao sio civil servant.

A civil servant aliepikwa mpaka nafasi hiyo anaelewa awezi kwenda tofauti na official government lines of stance.

Ndio madhara ya kulipa fadhila na kuteua mitoto ya vigogo ata kama mijitu ya hovyo.

Government lines za kutetea ujinga?
 
Hiyo ni full powers kwenye sheria ya kimataifa hasa kwenye law of treaties. Hapo mama amempa mamlaka Prof Mbarawa kusaini kwa niaba yake.
 
Wewe una shida, mkuu wa mkoa katoa tahadhali unampinga na kumtukana.
Ni mwajiriwa wa serikali anatakiwa kuwa in toe with official government line.

Ukiwa serikalini etiquette ni kwamba unapokuwa na duku-duku lako especially if it contradicts the official line na kuzua maswali mengine bora ukae kimya.

Ndio maana serikali ina wasemaje wake rasmi.
 
Back
Top Bottom