Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Madudu ya Mkataba wa Bandari yazidi kuonekana. Rais alisaini kwa niaba ya Serikali ya Dubai pia

Hili la mkataba wengi tulishalisema mwanzoni lakini ninyi mkaanza kuimba ngonjera za udini...
Sasa naona akili zimeanza kuwakaa vizuri.....
Tokea mwanzo nimekuwa nikiunga mkono uwekezaji wa Bandari nikawa nasema kama kuna tatizo kwenye terms za mkataba zirekebishwe "udini" mimi Imhotep, hebu niwekee ushahidi...
 
Moreover it doesn’t matter hizo sign hazifanyi hiyo IGA kuwa enforceable kisheria; isipokuwa process ya ratification tu.

Muda wowote hiyo treaty serikali ingeweza ikana katika kipindi ambacho bunge lilikuwa alijaridhia bado.
Duh!...hii kali aisee....
 
Duh!...hii kali aisee....

Soma hiyo articles sababu za Symbion kufungua kesi ya madai.

Walikuwa na makubaliano ya awali na TANESCO toka 2015 muda wao ukiisha 2017 wataongezewa miaka 15 mingine ya kuwauzia umeme.

Unaweza funguliwa kesi ya madai ata kupitia MoU if it meets the criteria of an ‘offer and acceptance’ na mtu akafanya matumizi ya kiuwekezaji kwa kuelewa ana makubaliano ya awali.

Usikariri maswala ya sheria inatakiwa uyaelewe.
 

Soma hiyo articles sababu za Symbion kufungua kesi ya madai.

Walikuwa na makubaliano ya awali na TANESCO toka 2015 muda wao ukiisha 2017 wataongezewa miaka 15 mingine ya kuwauzia umeme.

Unaweza funguliwa kesi ya madai ata kupitia MoU if it meets the criteria of an ‘offer and acceptance’ na mtu akafanya matumizi ya kiuwekezaji kwa kuelewa ana makubaliano ya awali.

Usikariri maswala ya sheria inatakiwa uyaelewe.
In maana hiyo MOU yenu haiwafungi sio ? Yaani hata huko mbeleni haitawabana popote ?
 
In maana hiyo MOU yenu haiwafungi sio ? Yaani hata huko mbeleni haitawabana popote ?
Inabidi “statement of intent iwe clear” (offer) iwe clear na kuwe “unconditional agreement to all the terms of the offer (acceptance).

Sasa ukisoma hiyo IGA ina conditions kibao sijui kutakuwa na majadiliano ya mikataba mingine itakayoingiwa sijui kutakuwa na abc.

Kwa kifupi kwenye IGS terms zote hazipo sawa kwa sababu bado kuna mambo luluki hawajakubaliana bado.

You have to be careful when you draft MoU vinginevyo kama ina elements za contract terms zilizoshiba utafunguliwa kesi ya madai.
………………..
Duh 🙄 sorry thought was responding to a different thread.

My bad 😣 answers might be somewhat relevant here nonetheless more on a different thread Tucopy na kupaste sample ya IGA ya UK (Muingereza) na UAE (Mwarabu) katika uwekezaji, japo ni ya mwaka 1992, lakini inafundisha uzalendo kwa nchi zao ya HANGAYA THE CHIEF
 
Tatizo lenu ni shule tu, hakuna zaidi.
Mama inaonekana IQ yako ni ndogo sana. Kama akili hiyo uliyo nayo, na hizo tabia za umbea umewarithisha wanao, itakuwa hasara kubwa kwa kizazi chako.

Hivi wewe kwa upuuzi ambao mara nyingi huwa unauweka humu, wakiitwa wenye elimu, na wewe utajitokeza? Kama wewe ukiwa na elimu, hao wasio na elimu watakuwaje?
 
Kuna kitu kinanishangaza,Rais alituambia kuwa pro kabudi ndio atakua mkuu wa mashauriano yote ya mikataba,sijaaikia Kama ameongea lolote,ikiwa ndiye kiongozi wa majadiliano ya mikataba ya kimataifa
.
Alimweka pembeni akachagua chawa KAMA yule HAMZA, johari
 
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DP World kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950.
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wotee
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu Sana [emoji444][emoji444]
 
Imetokea kwa bahati mbaya au ilikuwa imepangwa na waarabu DP World kwa ujanja wao au ni uvivu wa wanasheria wetu kusoma kilichoandikwa kwa makini, na ni nani hasa aliandaa andiko hili. —-AND—.

View attachment 2686950.
Kwa kweli ufisadi mbaya, au, upungufu wa elimu, au, ujinga, etc. Rais wa Nchi unasaini doc ya kisheria kwa niaba ya Nchi mbili zote. Kwa Makubaliano yepi?
 
Back
Top Bottom