Madudu ya wahitimu vyuo vikuu.

Madudu ya wahitimu vyuo vikuu.

Kwa yeye na yule aliyesena Tanzania ni muunganiko wa Tanganyika na Zimbabwe wana kasoro gani halafu mwenziwe yeye waziri kabisa...Huyo ni mtu wa namba na sio ungwini so usingae kawaida Bongo tambarare...
 
Aliyeambiwa happy birthday akajibu the same to you, alisoma chuo gani tena!
 
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.

...........nawaibia kidogo tu!



"....... I has a bachelar in accounts and finance...."

Kumbe unafanya utumishi.................... ona hata aibu kwani hata ability yenu ya kufanya process nzima ya interview ni very weak. haijawahi tokea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nilienda ofisi fulani nkakuta mtu anaomba kazi. Barua imeandikwa “applying for a job of internship“.
Halafu akamalizia,“yours suxecfully john“.
Huyo ni mhitimu wa st joseph college of engineering,a 4 year bachelor degree in computer science kama skosei
 
hapo mbona kajitahidi,, fanya mchezo na vyuo vya kata, full kujibebaaaaaaa
 
Huyu jamaa ni bonge la kilaza,alikuwa kula jukwaa la siasa akitokwa povu eti anachoma kadi ya chadema,anafoc umaarufu JF,so st*pid.#a¿§¥

hongera ciello, mie kilaza kweli haina ubishi!
 
Wakuu habari, maoni yangu:
1. Mleta uzi amenukuu kinachosemekana ni barua ya maombi ya kazi toka kwa 'mhitimu wa Mzumbe.' Hivi nani anaweza kuthibitisha kuwa hiyo ni barua ya huyo mhitimu na sio ya mhitimu wa chuo kingine au ya kutungwa na mleta uzi? Maana hapo hakuna ushahidi wowote unaothibitisha hicho alichosema mleta uzi.(Kwa kuwa mleta uzi ameamua kuvunja maadili ya kazi kwa kutoa siri za kazi angekuwa mkweli angetoa nakala ya hiyo barua watu waone)

2.Yawezekana mleta uzi ni mwanafunzi katika chuo anachokifahamu yeye mwenyewe akiwa na mawazo kuwa akikashfu wahitimu wa vyuo vingine yeye ataonekana bora.

3.Ikiwa mleta uzi ni mfanyakazi basi ni janga kwa mwajili na kwa taifa maana anachukulia kirahisi suala la uvunjifu wa maadili ya kazi hususani utoaji wa siri za ofisi nje.

4. Jamiiforums ni mahali pa mijadala yenye kulisha akili, kupanua uwezo wa kufikiri na kuleta hoja bora kwa maendeleo ya taifa letu. Mjadala kama huu hapa hautimizi malengo ya jamiiforums, pia hausaidii taaluma wala elimu hapa Tanzania. Nawiwa kusema ni uzi wa kitoto ulioletwa na mleta uzi mtoto aliye na nia ovu dhidi ya taifa letu na wahitimu wa vyuo vingine. Nasema hivi kwa kuwa mleta uzi angekuwa na nia njema angejadili kwa mapana tatizo la kiingereza kwa wahitimu mbalimbali, na hapo wachangiaji wangechangia maoni chanya bila kukashifiana.

ahsante kwa ushauri!
 
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.

unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong



HAPO ULIPOANDIKA "LAGUAGE"
ULIKUA UNA MAANISHA KUA NI "LANGUAGE" AU?
:smile: :smile:
 
aisee kuna kila sababu kila chuokikuu kiwe na mkakati wa kufundisha course ya basic english kwa wanachuo wote kama SAUT wanavyofanya..
 
"anyways its" gramatically uncorrect ndugu, kweli lugha yako ya tatu. Wale wale

hata wewe umechemka, unatakiwa utumie neno "grammatically incorrect", badala ya "gramatically uncorrect", so u can see that nobody is perfect in anyway my brother!
 
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.

unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong

kasoma communication skills
 
Mmh! Naye kazidi. Watu wa Mzumbe ni bora mngehamishia lawama kwake as an individual kuliko kujaribu kumtetea
 
Kumbe unafanya utumishi.................... ona hata aibu kwani hata ability yenu ya kufanya process nzima ya interview ni very weak. haijawahi tokea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kama sikuelewi , unamaanisha mie ninafanya kazi "utumishi"? mimi sio civil servant!
 
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake

ur pathetic! Akili zako fupi kama....koma kukisema chuo changu vibaya maana hapo ndo nitakapopata digree yangu so close ur mouth boga we!
 
Back
Top Bottom