Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
"anyways its" gramatically uncorrect ndugu, kweli lugha yako ya tatu. Wale wale
'uncorrect' here we go again
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"anyways its" gramatically uncorrect ndugu, kweli lugha yako ya tatu. Wale wale
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
Huyu jamaa ni bonge la kilaza,alikuwa kula jukwaa la siasa akitokwa povu eti anachoma kadi ya chadema,anafoc umaarufu JF,so st*pid.#a¿§¥
Wakuu habari, maoni yangu:
1. Mleta uzi amenukuu kinachosemekana ni barua ya maombi ya kazi toka kwa 'mhitimu wa Mzumbe.' Hivi nani anaweza kuthibitisha kuwa hiyo ni barua ya huyo mhitimu na sio ya mhitimu wa chuo kingine au ya kutungwa na mleta uzi? Maana hapo hakuna ushahidi wowote unaothibitisha hicho alichosema mleta uzi.(Kwa kuwa mleta uzi ameamua kuvunja maadili ya kazi kwa kutoa siri za kazi angekuwa mkweli angetoa nakala ya hiyo barua watu waone)
2.Yawezekana mleta uzi ni mwanafunzi katika chuo anachokifahamu yeye mwenyewe akiwa na mawazo kuwa akikashfu wahitimu wa vyuo vingine yeye ataonekana bora.
3.Ikiwa mleta uzi ni mfanyakazi basi ni janga kwa mwajili na kwa taifa maana anachukulia kirahisi suala la uvunjifu wa maadili ya kazi hususani utoaji wa siri za ofisi nje.
4. Jamiiforums ni mahali pa mijadala yenye kulisha akili, kupanua uwezo wa kufikiri na kuleta hoja bora kwa maendeleo ya taifa letu. Mjadala kama huu hapa hautimizi malengo ya jamiiforums, pia hausaidii taaluma wala elimu hapa Tanzania. Nawiwa kusema ni uzi wa kitoto ulioletwa na mleta uzi mtoto aliye na nia ovu dhidi ya taifa letu na wahitimu wa vyuo vingine. Nasema hivi kwa kuwa mleta uzi angekuwa na nia njema angejadili kwa mapana tatizo la kiingereza kwa wahitimu mbalimbali, na hapo wachangiaji wangechangia maoni chanya bila kukashifiana.
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
"anyways its" gramatically uncorrect ndugu, kweli lugha yako ya tatu. Wale wale
hongera ciello, mie kilaza kweli haina ubishi!
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
Kumbe unafanya utumishi.................... ona hata aibu kwani hata ability yenu ya kufanya process nzima ya interview ni very weak. haijawahi tokea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake
Mwanzo wa sentensi tunaanzaga na herufi kubwa! Jf chunguu.
mzumbe sio chuomzumbe ndio chuo gan na kiko nchi gan?
1.ULIKUWAHAPO ULIPOANDIKA "LAGUAGE"
1.ULIKUA 2.UNA MAANISHA 3.KUA NI "LANGUAGE" AU?
:smile: :smile: