Maduka ya dawa Tanzania yanatumika kutuibia, kututesa, kuharibu afya zetu na kutuua?

Maduka ya dawa Tanzania yanatumika kutuibia, kututesa, kuharibu afya zetu na kutuua?

Kwa siku za karibuni hapa JF kuna mjadala mkali sana unaendelea kuhusu taaluma ya ufamasia na maduka ya dawa hapa Tanzania. Kupitia mijadala hiyo, nimejifunza mambo kadhaa ambayo hapo kabla sikuyajua kwa kina. Nimegundua mambo haya:

1. Mtu ili kuanzisha na kuendesha biashara ya duka la dawa, huihitaji uwe ni mfamasia kitaaluma bali unahitaji kukodisha cheti cha mfamasia yoyote na kukitundika kwenye duka lako la dawa, na kuanzia hapo utauza dawa yoyote hata kama elimu yako ni darasa la saba! Hii ni sawa na rubani mwenye leseni ya kurusha ndege za abiria kuikodisha leseni yake kwa kampuni ya ndege ili itundikwe ndani ya ndege, halafu mtu yoyote anaweza kushika usukani wa ndege na kuamua kuirusha ndege!

2. Kumbe wafamasia kitaaluma hawajui (hawakufunzwa) na hawapaswi kumpima mgonjwa (examination), kugundua ugonjwa (diagnosis), kuidhinisha dawa za kutumia (Prescription) au kumtibu mgonjwa kwa dawa (drug administration). Mfamasia anapaswa tu kumgawia mgonjwa dawa (drug dispensing) kwa mujibu wa kibali cha Daktari. Ajabu ni kuwa huku mitaani maduka ya dawa ndio hospitali zisizo rasmi, tukiumwa tunaenda na pesa kwenye duka la dawa na kutibiwa faster!

3. Kiujumla karibu dawa zote hazipaswi kuuzwa na duka lolote la dawa mpaka kibali rasmi cha dawa kutoka kwa Daktari (Prescription). Ajabu ni kuwa huku mtaani dawa yoyote unaweza ukauziwa na duka lolote la dawa ukienda na pesa tu!


Baada ya kupitia hayo yote nimegundua wazi kubwa, kiujumla maduka ya dawa hapa Tanzania huenda kwa sehemu kubwa yanatuibia, kutuumiza, kuharibu afya zetu na kutuua!
Sasa hapo mwenye makosa mwenye Duka au Sisi wananchi?
Kama unaipenda Afya yako huwezi kufanya hayo yote.
 
Ilikuwa hadi wapate mafunzo ya ADDO kwanza ndipo wanaruhusiwa kuyamiliki na kuuza.

Pia watu ambao walikuwa hawana elimu ya afya walikuwa wanapatiwa mafunzo ya ADDO ya umiliki wa DLDM na walipaswa kuweka mtu anayeweza kuuza ambaye anazitambua dawa.

Sasa ADDO imesinamishwa ndio unaona kelele zote hizi.

Hata hivyo hizi kelele ni kama njia tu, agenda kubwa hapa ni suala la maslahi tu kwenye hii Business of Pharmacy. Imeonekana Wafamasia wanafaidi sana kwenye hii business yao
Sio tuu kusimamisha mafunzo ya ADDO; haya maduka/DLDM yalitakiwa yafungwe na yasiwepo kabisa.
 
Wewe ukienda Dukani kununua Bidhaa leseni ya biasharaa inakusaidia nini???
Akikujibu ni tag naona wivu unazidi kupamba moto dhidi ya WAFAMASIA.

Nguvu nyingi Zina tumika kuwapoteza WAFAMASIA lakini sidhani kama wataweza.
 
Kwa siku za karibuni hapa JF kuna mjadala mkali sana unaendelea kuhusu taaluma ya ufamasia na maduka ya dawa hapa Tanzania. Kupitia mijadala hiyo, nimejifunza mambo kadhaa ambayo hapo kabla sikuyajua kwa kina. Nimegundua mambo haya:

1. Mtu ili kuanzisha na kuendesha biashara ya duka la dawa, huihitaji uwe ni mfamasia kitaaluma bali unahitaji kukodisha cheti cha mfamasia yoyote na kukitundika kwenye duka lako la dawa, na kuanzia hapo utauza dawa yoyote hata kama elimu yako ni darasa la saba! Hii ni sawa na rubani mwenye leseni ya kurusha ndege za abiria kuikodisha leseni yake kwa kampuni ya ndege ili itundikwe ndani ya ndege, halafu mtu yoyote anaweza kushika usukani wa ndege na kuamua kuirusha ndege!

2. Kumbe wafamasia kitaaluma hawajui (hawakufunzwa) na hawapaswi kumpima mgonjwa (examination), kugundua ugonjwa (diagnosis), kuidhinisha dawa za kutumia (Prescription) au kumtibu mgonjwa kwa dawa (drug administration). Mfamasia anapaswa tu kumgawia mgonjwa dawa (drug dispensing) kwa mujibu wa kibali cha Daktari. Ajabu ni kuwa huku mitaani maduka ya dawa ndio hospitali zisizo rasmi, tukiumwa tunaenda na pesa kwenye duka la dawa na kutibiwa faster!

3. Kiujumla karibu dawa zote hazipaswi kuuzwa na duka lolote la dawa mpaka kibali rasmi cha dawa kutoka kwa Daktari (Prescription). Ajabu ni kuwa huku mtaani dawa yoyote unaweza ukauziwa na duka lolote la dawa ukienda na pesa tu!


Baada ya kupitia hayo yote nimegundua wazi kubwa, kiujumla maduka ya dawa hapa Tanzania huenda kwa sehemu kubwa yanatuibia, kutuumiza, kuharibu afya zetu na kutuua!
Upo sawa kabisa,alafu wanaleta longolongo hapa na ADDO zao, kwanza nafikili wote wenye viduka muhim na pharmacy walitakiwa shitakiwa wameisha umiza Sana afya za watu wetu,

Alafu mtu mmoja anakuja pinga uchambuzi wa doctor mbobezi , na prof just kwamba ni mfamasia ujinga mtupu
 
Hii vita sijui mwisho wake lini..?mana madaktari njaa hawaamini wanachokiona...mafamasia tuendelee kushikiria hapo hapo.

Halafu mleta uzi hujui hata maana ya neno afya..rudi shule kajifunze mana ya neno afya.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini sikio likazidi kichwa, mtajua hamjui leteni ubishi na masinior wenu
 
Kwa siku za karibuni hapa JF kuna mjadala mkali sana unaendelea kuhusu taaluma ya ufamasia na maduka ya dawa hapa Tanzania. Kupitia mijadala hiyo, nimejifunza mambo kadhaa ambayo hapo kabla sikuyajua kwa kina. Nimegundua mambo haya:

1. Mtu ili kuanzisha na kuendesha biashara ya duka la dawa, huihitaji uwe ni mfamasia kitaaluma bali unahitaji kukodisha cheti cha mfamasia yoyote na kukitundika kwenye duka lako la dawa, na kuanzia hapo utauza dawa yoyote hata kama elimu yako ni darasa la saba! Hii ni sawa na rubani mwenye leseni ya kurusha ndege za abiria kuikodisha leseni yake kwa kampuni ya ndege ili itundikwe ndani ya ndege, halafu mtu yoyote anaweza kushika usukani wa ndege na kuamua kuirusha ndege!

2. Kumbe wafamasia kitaaluma hawajui (hawakufunzwa) na hawapaswi kumpima mgonjwa (examination), kugundua ugonjwa (diagnosis), kuidhinisha dawa za kutumia (Prescription) au kumtibu mgonjwa kwa dawa (drug administration). Mfamasia anapaswa tu kumgawia mgonjwa dawa (drug dispensing) kwa mujibu wa kibali cha Daktari. Ajabu ni kuwa huku mitaani maduka ya dawa ndio hospitali zisizo rasmi, tukiumwa tunaenda na pesa kwenye duka la dawa na kutibiwa faster!

3. Kiujumla karibu dawa zote hazipaswi kuuzwa na duka lolote la dawa mpaka kibali rasmi cha dawa kutoka kwa Daktari (Prescription). Ajabu ni kuwa huku mtaani dawa yoyote unaweza ukauziwa na duka lolote la dawa ukienda na pesa tu!


Baada ya kupitia hayo yote nimegundua wazi kubwa, kiujumla maduka ya dawa hapa Tanzania huenda kwa sehemu kubwa yanatuibia, kutuumiza, kuharibu afya zetu na kutuua!
Sio dawa zote zinaitaji kibali cha daktari ili ununue
 
Upo sawa kabisa,alafu wanaleta longolongo hapa na ADDO zao, kwanza nafikili wote wenye viduka muhim na pharmacy walitakiwa shitakiwa wameisha umiza Sana afya za watu wetu,

Alafu mtu mmoja anakuja pinga uchambuzi wa doctor mbobezi , na prof just kwamba ni mfamasia ujinga mtupu
Nini kifanyike Kwa maoni yako
 
Tuanze kwanza, kuna wangapi wameherabiwa afya na kuuwawa na hayo maduka ya dawa unayoyaongelea? Kuna takwimu zilizokusanywa? Serikali ikikurupuka na kuyabana maduka ya dawa inaweza kuleta matatizo tena haswa kwa wale watu wenye kipato cha chini. Gharama zitaongezeka kwa sababu urasimu unaongozeka.
Hapa kuna ulaji.

Hakuna mtu yoyote aliyeharibiwa na duka la dawa

Lawama wanazo manesi na mahospitalini huko ndio kuna uzembe
 
Ushauri wa prof kupitia bandiko jf uzingatiwe,
Utengenezwe utaratibu mpya wa uratibu wa biashara hii, au ipigwe burn kuliko humiza afya za wananchi
Yale yalikuwa maoni yake.Vipi ya kwako????

Halafu swala la afya za wananchi,wananchi wenyewee ndiyo wanatakiwa kufata sheria.Mwananchi yeyote asiende pharmacy bila kuwa na cheti cha daktari.Uzuri serikali inajitahidi kutoa elimu hiyo kupitia vyombo vya habari.

Kuna lile Tangazo kwenye tv Wakati WA taarifa ya habari Lina rudiwa karibia mara tatu tatu.Kwamba wananchi hawalioni????

Mgonjwa anajihisi tumbo kuuma,anaenda pharmacy.Anamkuta mfamasia.Mfamasia anamuomba cheti kutoka Kwa daktari. HILI TANGAZO ITV MUDA WA TAARIFA YA HABARI SAA 2 USIKU LINARUDIWA SANAA.

#nimelitafuta YouTube nimelikosa.
 
Yale yalikuwa maoni yake.Vipi ya kwako????

Halafu swala la afya za wananchi,wananchi wenyewee ndiyo wanatakiwa kufata sheria.Mwananchi yeyote asiende pharmacy bila kuwa na cheti cha daktari.Uzuri serikali inajitahidi kutoa elimu hiyo kupitia vyombo vya habari.

Kuna lile Tangazo kwenye tv Wakati WA taarifa ya habari Lina rudiwa karibia mara tatu tatu.Kwamba wananchi hawalioni????

Mgonjwa anajihisi tumbo kuuma,anaenda pharmacy.Anamkuta mfamasia.Mfamasia anamuomba cheti kutoka Kwa daktari. HILI TANGAZO ITV MUDA WA TAARIFA YA HABARI SAA 2 USIKU LINARUDIWA SANAA.

#nimelitafuta YouTube nimelikosa.
Mkuu ndo Hali alisi ilivyo mitaani,?kumbuka wapo wananchi ukiuliza ni serikali hii awamu ya ngapi hawajui ,je Hawa tunawasaidiaje
 
Back
Top Bottom