Maduka ya fedha Dar hatarini kwa ujambazi

Maduka ya fedha Dar hatarini kwa ujambazi

Hatuijui si mtuwachie nchi yetu. Wacha karma iwatese kama mlivyotufanyia na nyinyi yamewageukia , hata bado . Lilianza Jiwe subirini kidogo litakuja jabali 😝😝
Sisi Watanganyika tunahangaika kufanya kazi, kufanya biashara na pia kilimo! Nyinyi kutwa mnashinda tu maskani mkipiga soga! Watu wa ajabu kabisa nyinyi.

Siku mkijitenga kutoka Tanganyika, mtaishi maisha magumu sana. Maana hata huo urojo mnaokunywa masaa 24, mtausikia kwenye bomba.
 
Mbona unazimwa mara nyingi tu. Kwani tulipokuwa huru tulitegemea kitu kutoka Tanganyika?
Bila ya Tanganyika na John Okello kuwasaidia ile January 12, 1964, mpaka muda huu mngekuwa bado mko chini ya utawala wa Sultani Jamshid!
Mngekuwa mnaendelea kuchapwa viboko kama watoto wadogo na hao waarabu mnao watukuza.
 
Sisi Watanganyika tunahangaika kufanya kazi, kufanya biashara na pia kilimo! Nyinyi kutwa mnashinda tu maskani mkipiga soga! Watu wa ajabu kabisa nyinyi.

Siku mkijitenga kutoka Tanganyika, mtaishi maisha magumu sana. Maana hata huo urojo mnaokunywa masaa 24, mtausikia kwenye bomba.
Kweli mnahangaika kufanya kazi, kwani wengine ndio wanafanya kazi ya kuvamia mabenki na maduka ya kubadilisha fedha
 
Bila ya Tanganyika na John Okello kuwasaidia ile January 12, 1964, mpaka muda huu mngekuwa bado mko chini ya utawala wa Sultani Jamshid!
Mngekuwa mnaendelea kuchapwa viboko kama watoto wadogo na hao waarabu mnao watukuza.
Wanaotuchapa viboko ni nyinyi mlioweka kambi zenu Za kijeshi kila mtaa. Kila uchaguzi mnauwa watu kulazimisha kuweka vibaraka wenu. Mfalme hakupinduliwa alipinduliwa Waziri Mkuu Muhammed Shamte wa Ole Pemba na serikali yake pamoja na wa Zanzibari
 
Biashara hatari sana.

Panic Alarm ni 70,000 kwa mwezi SGA
Labda kama wameongeza
 
Mnaendekeza ukristo na ukafiri mtateseka tu

Angalia Hargeisa mtu yuko barabarani na mapesa anabadilisha hata Hakuna anamuuliza . Hii ndiyo hali tuliyokuwa nayo Zanzibar kabla uvamizi

View attachment 2477502
Somalia kuna amani ?
Au majini yako yamekutuma uandike hivyo
 
Back
Top Bottom