Maelekezo ya Naibu Waziri kuhusu ujenzi wa stand kuu Arusha wapuuzwa

Maelekezo ya Naibu Waziri kuhusu ujenzi wa stand kuu Arusha wapuuzwa

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Ujenzi wa stand kuu Arusha bado ni kizungukumkuti hadi sasa licha ya maelekezo ya mara kwa mara kutoka serikalini kuwa ujenzi huo uanze mara moja.

Naibu Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo mh. Geofrey Pinda alitoa maelekezo mwezi wa tatu mwaka huu kuwa ujenzi huo uanze ndani ya siku 30 lakini hadi sasa ujenzi huo bado kuanza.

Najiuliza tamko hilo la Waziri lilikuwa la kisiasa au mamlaka zimeamua kupuuzia kauli hiyo ya kiongozi wa Serikali?

IMG-20230316-WA0002.jpg

Pia Soma: Stendi Kuu ya Arusha kuanza kujengwa ndani ya siku 30 zijazo
 
Arusha tunaonewa mno kisa hatuna bandari.

Ila pesa zetu za Tanzanite mlikua mnazibonya tu.
 
Arusha kuna namna wanavyoendesha mji wao
Ni aibu mji wenye majengo yenye hadhi na mazuri ila hakuna stand ya maana,usafiri unatabu,daladala bado ni zile fupi unakosa comfort ukivitumia

Manispaa na uongozi woote wajitathmini watabaki nyuma abadan
 
Ngoja tuone Nguvu ya Mheshimiwa John Mongela. Ataiweza Arusha nina imani naye kama alivyofanya Mwanza.
 
Back
Top Bottom