ana matatizo huyo adebayor!!.. anashangaa matatizo ya familia yake??.. hatakiwi kuyashangaa as if yeye ni mzungu hayo matatizo ni changamoto tu kutokana na mazingira tunayosihi. Hawa kina Abeid pele, Kalausha Bwalya, Ikwechuku, nk haimaanishi familia zao hazikua na matatizo kama hayo lakini hatujui kwa sababu walijua ku handle kifamilia hayo mambo!.. anachojaribu kutuambia hapa ni kwamba familia yake ina watu wajinga wasio na uelewa akiwemo mama yake!!...yaani nautangazia ulimwengu kuwa ana mama mjinga!!.. haya hata wazungu wenyewe hawafanyi hata kama wana wazazi watata kiasi gani!! shame on him!