Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Da hii himenifanya kujua kuwa all. Africans are the same.mama Adebayo alikata Simu aliposikia Dogo Ana mtoto maana Ake walitaka awe msela tu wazitumbue hela zake,huyu mke pia awampendi.Hapo kama ni Mimi ata maiti Yangu airudi nyumbani wataishiaga niona ktk TV. Hapo ata kazi ya hao wazazi na ndugu itanipitia juu ya bati
kuna watu wengi tu wa namna hiyo.
mie ninapitia hayo
nampa pole huyo jamaa.