Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Hapana ile ilikua ishu personal kati yake na Samoo.Inawezekana kabisa na mpaka jamaa kweny wosia kuweka picha asilimia fulani wapewe wazazi na ndugu zake palikuwa na tatizo ye na na mkewe inaonekan
Dunia inaendeshwa na nguvu mbili tu yaani Mungu na Shetani,unaposema mtu asiye amini uchawi sijui unaamisha yaani ni mtu wa Mungu sana au?Uchawi ni imani. Mtu ambaye haamini uchawi huwezi kumdhuru kwa uchawi . Jiulize usa anavyowabonda waarabu why wanashindwa mroga usa kwa uchawi?
Bongo mauaji mengi ya kizembe sana. Evidence na traces zinaachwa nyingi sana kwenye crime scene.
Killers wa bongo wengi ni vilaza sana . Polisi wetu hawapati shida wala changamoto kumpata muuaji wakiamua tu. Maana kwenye crime scene wanakuta traces kibao.
Mfano hao wauaji kuweka urafiki na housegal mpaka wa kumnunulia simu kabisa na kumwambia aondoke siku ya tukio ni ujinga
Wataalamu wanasemaga hakunaga perfect murder crime. Ila kuna watu wanazifanya huko huko majuu na hawakamatwi milele
Umeachiwa 60% na Mali kibao, zingine umebadilisha Jina zimekuwa Mali yako, bado unaenda kutoa mtu roho, karma is real angalia sasa unaozea jela...Elimu inahitajika sana kwenye maisha ya kila Siku...huwezi kuua kijinga hivo halafu usikamatwe.
Wachawi ndo wauaji bora Sana kuwahi kutokea kwani hawaaji alama yoyote na wala hakuna kesi wala ushahidi..kwa utajiri aliokuwa nao huyu mama ilibidi aende kwa wachawi magwiji nchini kongo.
Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.Binadamu huwa tunajisahau sana likija swala la mali. Mtu aliechuma hizo mali amekufa na kuziacha, wewe ulieachiwa tu roho inakutoka mpaka kudhulumu uhai wa mwengine kusahau kuwa hata ukimiliki majumba elfu kumi, mwisho wa siku unaishia kwenye kisehemu kidogo sana cha ardhi.
Kama aliyeua aliona kuua ndo suluhisho mimi ni nani hadi nihukumiwe kwa ujinga wake?Mm nimetoa mawazo yangu nikiwa a free man.So ulitaka aue kitaalam zaidi sio?
Shabaaash
Terrible being you are
Kuna muuwaji very professional kumshinda Carlos the jackal? Mbona mwishowe alidakwa kama kondoo hapo Sudan?? Yuko wapi Sasa hivi??Una uhakika gani? Hujawah kuona watu wameuwawa na waliofanya mauaji hawajakamatwa?.....muuji professional haachi footprint hata siku moja!
Sawa, huku unazungumzia duniani....hapa kwetu nadhani unaelewa vizur kabisa hatupo vizur ktk uchunguziKuna muuwaji very professional kumshinda Carlos the jackal? Mbona mwishowe alidakwa kama kondoo hapo Sudan?? Yuko wapi Sasa hivi??
Je anafurahia maisha kama ilivyokuwa matarajio yake?Zipo nyingi mkuu, zombie yuko huru
Kuna sumu unaeza ua mtu pole poleeeee sio kuchinjanaSawa, huku unazungumzia duniani....hapa kwetu nadhani unaelewa vizur kabisa hatupo vizur ktk uchunguzi
Mashuhuda waliona nini?Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.
Mkuu siyo mm aseee,mm nipo ushirombo huku nakula dona yangu kubwa na dagaa aina ya chimabuyu na jioni hii nina miadi na shemeji yako...asante!Umeachiwa 60% na Mali kibao, zingine umebadilisha Jina zimekuwa Mali yako, bado unaenda kutoa mtu roho, karma is real angalia sasa unaozea jela...
Mkuu siyo mm aseee,mm nipo ushirombo huku nakula dona yangu kubwa na dagaa aina ya chimabuyu na jioni hii nina miadi na shemeji yako...asante!Umeachiwa 60% na Mali kibao, zingine umebadilisha Jina zimekuwa Mali yako, bado unaenda kutoa mtu roho, karma is real angalia sasa unaozea jela...