Sijui hata, Miguel Trevino, unaambiwa alikuwa halali pasipo kuua mtu. Yani inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mkono wake mwenyewe. Haonekani kujuta, na mbaya zaidi kafungwa tu miaka 15.Je anafurahia maisha kama ilivyokuwa matarajio yake?
wanasema hakuna perfect crime mkuu ni vile tu kwa sisi huku teknologia ndogo sana huko nje wanaofanikiwa ni wachache sana kutokamatwa watu wanapima hadi mchanga wa kiatu hahah.Una uhakika gani? Hujawah kuona watu wameuwawa na waliofanya mauaji hawajakamatwa?.....muuji professional haachi footprint hata siku moja!
Ndio na mimi nimewaza hivyo sasa, wale waliompiga risasi inawezekana kabisa alowatuma yeye, ahojiwe ‘vizuri’.Bila shaka pia alimuua mumewe,
Sawa kwa vile alikuwa na tamaa kali ngoja dunia imfundishe
Ndg usijiiongopee, hata ukiuwa kwenye kiza ki nene, kuna damu huwa hazikuaachii hivihivi, sometime wwe mwenyewe utaropoka kuhusu hayo mauji! Damu ya Mtu ni nzito sana usijaribu kabisa kumuwa Binaadamu mwenzio kisa viji Mali vya Dunia!!Yaani hawa huwa hawaangalii movie kabisa.....mbona walipanga mchezo kizembe hvyo? Walimuongeza huyo binti wa kazi kwenye cycle kwa ajili ya nini? Kesi ipo wazi sana...lazima mtu ale mvua za kutosha.......kuna zile ambazo mtu anapotezwa bila hata kujua kama kuna foul play
Hata Mengi yalimkuta hayaUkiwa na mali nyingi kufunga ndoa ni kitu hatari sana kwako na familia yako.
Watu watatu wamekufa vipo vya utata hii familia. Kuanzia mwenye mali pamoja na dada zake
Ukiona muuwaji hajakamatwa,ujuwe system haijamuamulia tu!!Una uhakika gani? Hujawah kuona watu wameuwawa na waliofanya mauaji hawajakamatwa?.....muuji professional haachi footprint hata siku moja!
Hili jimwanamke lina roho mbaya kama sura yake. Huyu mtoto niliwahi kukutana na yule mama yake mkubwa anayeishi naye anasema yule mtoto hataki kwenda arusha wala upareni kwakuwa huko watu wanachinja wenzao [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.
Kuliko ku judge kwa kuangalia Makabila zaidi,ni bora au ni vizuri zaidi tuka judge kwa kuangalia familia au Koo zenye record hizo tataa!!An
Angalia nasaba au asili ya ukoo unapotaka kuoa au kuolewa hayo ndo matokeo ya yake ukiona kweny asili ya kabila la mtu au anapotokea wana tabia ya ukatili ,ukorofi, ukarimu, wasomi na nyingine basi na yeye atakuwa nazo kwa asilimia fulani
Kwa imani yangu hili swala la nasaba au asili ya ukoo fulani tunaangalia sana unapotaka kuoa wapo makabili ni wakatili hata iweje ndoa asili na yao
Kuna wauaji professional..Ukiona muuwaji hajakamatwa,ujuwe system haijamuamulia tu!!
Umeona Mkuu kuna watu wengine wana mawazo ya ajabu sana, inamaana yeye mazambi yake anayafanikisha kwa kua yuko very professional!?So ulitaka aue kitaalam zaidi sio?
Shabaaash
Terrible being you are
We unaangaliaga Discovery ID wewe20M ni ndogo sana ndio maana alipata wauaji wa kiwango kibovu kabisa.....walipopafahamu kwa anet, day 1, hg angechinjwa, then aneth akirudi wanamaliza shuguli in the same day,,,,,weka kwenye friza na usafi mzuri....wanaondoka na gari ya aneth.....wanaipigia kibiriti magari saba.....duh hizi mali hizi......
ila sijafagilia mauaji hata kidogo....mali mali mali...aiseee
Ukiua mtu mmoja kila siku. Kuua watu 160k itakubidi kutumia miaka 438.Sijui hata, Miguel Trevino, unaambiwa alikuwa halali pasipo kuua mtu. Yani inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mkono wake mwenyewe. Haonekani kujuta, na mbaya zaidi kafungwa tu miaka 15.
Umesoma nlichoandika vizuri, nimesema inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mikonk yake mwenyeweUkiua mtu mmoja kila siku. Kuua watu 160k itakubidi kutumia miaka 438.
Je,Msuya Erasto aliuwawa na nani?Huyu mama atakwenda condem tu hii kesi iko wazi sana