Maelezo kwa ufupi juu ya clip ikionyesha wanajeshi katili wakiua raia

Sasa western kwani hayo hawafanyi ?

Wakati Babu zako walikuwa wanachinjwa kama mbuzi sio hao hao western walikuwa wanafanya ?
Sasa huo wakati wa mababu zako ulikuwepo, uliona??
Ukiachana na hilo wale walikua kutoka huko ng'ambo mbali kabisa, hamfanani kwa chochote hata lugha na tamaduni tofauti.

Sasa hao wapuuzi wanachinjana wao kwa wao.
 
Hii clip iliniumiza, na sasa nimeumia zaidi kwa kufahamu kwamba waliouawa hawakuwa na hatia!

Amjad hastahili kuwa hai mpaka hivi sasa, na ingependeza zaidi endapo wangepatikana wote waliotekeleza ukatili huo katika clip.
Finally Assad kaachia ngazi ..
 
Ahaaa naona vita ni kali sana humu ndan

Ndugu zako nao akina kosugi maralia 2 wakakimbia jukwaa

Yahudi anangusha kipondo ni balaa

Nikakukumbuka nikasema walau ungekuwepo walau hekima zako zingefanya kitu
Mkuu, nimecheka sana, siku yangu imekwenda vyema 😁
 

Bora tu dikteta Assad kapinduliwa!
 
Sio vitu vigeni kwa uzao ishmael, uzao wa chuki, ulipaji visasi na mauaji
 
Tanzania vs USA , je unaeza walingaisha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…