Maelezo marefu kumbe agenda kuu ilikuwa ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi ya kifamilia na za kuendesha chama chake

Maelezo marefu kumbe agenda kuu ilikuwa ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi ya kifamilia na za kuendesha chama chake

Walifkiri kuendesha chama ni kampeni chafu,wale waliokuwa wanawaunga mkono wako wapi!!?Sherehe ya ushindi sio maisha ya ushindi
 
Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama vyama vingine vya siasa,

Tazama sasa,

Maelezo marefu kwa muda mrefu kumbe dhumuni na agenda ilikua ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi, ya kifamilia na za kuongoza chama, dah!.

Sasa ataomba kuchangiwa pesa mpaka lini na wananchi ambao mara zote wanaitwa maskini?
Lini ataweza kujitegemea yeye mwenyewe binafsi bila kuchangiwa? Lini chadema itaanza kujitegemea bila kukopa au kuchangiwa na wananchi maskini na kwa mipango ipi?
Ni mTanzania wa wapi atathubutu kuchagua kiongozi na chama cha siasa asiewewza hata kujitegemea kiuchumi yeye binafsi na chama chake? Huu si utapeli wa wazi kabisa kisiasa ndugu zangu?

Bilashaka yoyote,
waTanzania watakua wameona dhahiri shahiri njaa na mahitaji ya hao matapeli wa kisiasa ilivyowazonga. kiongozi hana hata kumi chakavu. Sasa akipewa uongozi si lazima ashibe kwanza ndio awafikirie wenye njaa wengine na kwa huyu kiongozi mpya wa chadema anaweza kuwasahau kabisa.

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi na mfumo mzima wa uchaguzi Tanzania, ambao upo kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, hauna matatizo hata kidogo, lakini mtoa maelezo wa chadema anajaribu kueleza kana kwamba kuna matatizo makubwa kitu ambacho si kweli.

Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, utafanyika october 2025 bila shinikizo la mpiga kelele au mvuta bangi yeyote na hakuna mabadiliko wala ya sheria wala ratiba ya uchaguzi mkuu na hakuna mleta fujo atakae fanya lolote.

Ni muhimu sana kama chama cha siasa mkajikita kwenye agenda yenu ya kuomba kuchangiwa pesa za pocketi money na za kuendeshea chama chenu kutoka kwa wananchi mnao waita maskini, lakini sio kuhadaa waTanzania kwa kuwapotosha kwa dosari au kasoro za uchaguzi zisizo kuwepo kwenye uchaguzi Tanzania.

sasa nimeamini njaa haina mbabe,
njaa haina adabu na kuombaomba ni uaraibu wa aibu na fedheha sana:NoGodNo:
:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Weka hapa hiyo katina inayosema "Tume Huru ya Uchaguzi".
Miaka yote CCM haina hela ya kukiendesha chama chao, CCM imekiwa ikitumia kodi zetu kukiendesha chama na hiyo haina kificho. Sijui unatumia akili gani kukisifu chama kinachotuibia pesa zetu, kila mwaka ukaguzi ukifanyika huonekana pesa nyingi zimechotwa na hawaruhusu bunge kuzijadili.
Chama huendeshwa na michango ya chama na si pesa binafsi za mwenyekiti na ndivyo ilivyo kwenye misikiti na makanisa, ukiruhusu mtegemee pesa za kiongozi basi ni lazima mfuate masharti yake na si katiba ya chama.
 
Chama ni cha wanachama na wananchi wote wanaounga mkono sera za chama husika, uwezo wa kiongozi haupimwi kwa kutoa sehemu ya fedha zake binafsi ili kukamilisha majukumu ya chama, hivyo hakuna shida yoyote inayotokana na yeye kuomba michango ya wanachama.


Hata huko CCM na vyama vingine vya kisiasa ni nani anayetoa fedha zake mfukoni.? Au mlizoeshwa na yule jamaa yenu aliyetoka?

Huyo mama yao ameuza bandari zote kwa mabilionea wa kiarabu na sasa ni nchi yao maana wanamiliki ardhi kubwa na nchi ya Loliondo na viwanja vyote vya ndege na mapori yote .

Anauza ardhi ya madini kwa rafu kwa wageni akishirikiana na Doto. Anauza Makaa ya mawe Kenya kwa fujo tena akitumia usafiri wa familia kama vile anahamia sayari ya mzazi akistaafu .
Yoote hayo apate pesa za kuhonga ili awe juu ya wanaume mil. 31 kinyume kabisa na maelekezo ya Allaha na mtume wake .
Huu ni utawala wenye ladha ya kishetwani na laana katika ardhi na taifa katika imani.
 
Weka hapa hiyo katina inayosema "Tume Huru ya Uchaguzi".
Miaka yote CCM haina hela ya kukiendesha chama chao, CCM imekiwa ikitumia kodi zetu kukiendesha chama na hiyo haina kificho. Sijui unatumia akili gani kukisifu chama kinachotuibia pesa zetu, kila mwaka ukaguzi ukifanyika huonekana pesa nyingi zimechotwa na hawaruhusu bunge kuzijadili.
Chama huendeshwa na michango ya chama na si pesa binafsi za mwenyekiti na ndivyo ilivyo kwenye misikiti na makanisa, ukiruhusu mtegemee pesa za kiongozi basi ni lazima mfuate masharti yake na si katiba ya chama.
unaibiwa wewe ambae pia unadai kuibiwa kura ambazo huna,
hivi mnakua mazuzu ee kila uchaguzi kuibiwa msichokua nacho?

au kila uchaguzi hua mnaenda kukodoa mimacho na kusinzia tu wakati wa kupiga na kuhesabu kura?

Sasa kama chama kinaendeshwa na michango ya chama, si mkiendeshe sasa, mbona mwawasumbua mnaowaita maskini wawachangie pocket money hali ya kua kwenye chaguzi wanawatosa?

Yaani,
makelele na mdomo mwingi kumbe agenda ni kuombaomba kuchangiwa tu.

hachaguliki milele gentleman 🐒
 
Weka hapa hiyo katina inayosema "Tume Huru ya Uchaguzi".
Miaka yote CCM haina hela ya kukiendesha chama chao, CCM imekiwa ikitumia kodi zetu kukiendesha chama na hiyo haina kificho. Sijui unatumia akili gani kukisifu chama kinachotuibia pesa zetu, kila mwaka ukaguzi ukifanyika huonekana pesa nyingi zimechotwa na hawaruhusu bunge kuzijadili.
Chama huendeshwa na michango ya chama na si pesa binafsi za mwenyekiti na ndivyo ilivyo kwenye misikiti na makanisa, ukiruhusu mtegemee pesa za kiongozi basi ni lazima mfuate masharti yake na si katiba ya chama.

Hata ugaidi kwenye nchi nyingi na uasi ni matokeo ya kupenda misaada mpaka ya tende na halua .
Hawa machawa walioibuka juzi juzi hawajui kuwa Tulijenga ofisi za Chama za mikoa na wilaya na vijiji kwa kuchangisha mpaka sh. 5 tukiwa tunasoma shule za msingi na sekondari tena kwa lazima .
Lakini bado mafisadi hua wanaiba pesa za umma kufadhili chama na kuhonga wapinzani feki ili wasifie uchaguzi na wakiri kushindwa.
Wapumbavu sana
 
Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama vyama vingine vya siasa,

Tazama sasa,

Maelezo marefu kwa muda mrefu kumbe dhumuni na agenda ilikua ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi, ya kifamilia na za kuongoza chama, dah!.

Sasa ataomba kuchangiwa pesa mpaka lini na wananchi ambao mara zote wanaitwa maskini?
Lini ataweza kujitegemea yeye mwenyewe binafsi bila kuchangiwa? Lini chadema itaanza kujitegemea bila kukopa au kuchangiwa na wananchi maskini na kwa mipango ipi?
Ni mTanzania wa wapi atathubutu kuchagua kiongozi na chama cha siasa asiewewza hata kujitegemea kiuchumi yeye binafsi na chama chake? Huu si utapeli wa wazi kabisa kisiasa ndugu zangu?

Bilashaka yoyote,
waTanzania watakua wameona dhahiri shahiri njaa na mahitaji ya hao matapeli wa kisiasa ilivyowazonga. kiongozi hana hata kumi chakavu. Sasa akipewa uongozi si lazima ashibe kwanza ndio awafikirie wenye njaa wengine na kwa huyu kiongozi mpya wa chadema anaweza kuwasahau kabisa.

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi na mfumo mzima wa uchaguzi Tanzania, ambao upo kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, hauna matatizo hata kidogo, lakini mtoa maelezo wa chadema anajaribu kueleza kana kwamba kuna matatizo makubwa kitu ambacho si kweli.

Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, utafanyika october 2025 bila shinikizo la mpiga kelele au mvuta bangi yeyote na hakuna mabadiliko wala ya sheria wala ratiba ya uchaguzi mkuu na hakuna mleta fujo atakae fanya lolote.

Ni muhimu sana kama chama cha siasa mkajikita kwenye agenda yenu ya kuomba kuchangiwa pesa za pocketi money na za kuendeshea chama chenu kutoka kwa wananchi mnao waita maskini, lakini sio kuhadaa waTanzania kwa kuwapotosha kwa dosari au kasoro za uchaguzi zisizo kuwepo kwenye uchaguzi Tanzania.

sasa nimeamini njaa haina mbabe,
njaa haina adabu na kuombaomba ni uaraibu wa aibu na fedheha sana:NoGodNo:
:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
🤣 🤣 🤣
 
Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama vyama vingine vya siasa,

Tazama sasa,

Maelezo marefu kwa muda mrefu kumbe dhumuni na agenda ilikua ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi, ya kifamilia na za kuongoza chama, dah!.

Sasa ataomba kuchangiwa pesa mpaka lini na wananchi ambao mara zote wanaitwa maskini?
Lini ataweza kujitegemea yeye mwenyewe binafsi bila kuchangiwa? Lini chadema itaanza kujitegemea bila kukopa au kuchangiwa na wananchi maskini na kwa mipango ipi?
Ni mTanzania wa wapi atathubutu kuchagua kiongozi na chama cha siasa asiewewza hata kujitegemea kiuchumi yeye binafsi na chama chake? Huu si utapeli wa wazi kabisa kisiasa ndugu zangu?

Bilashaka yoyote,
waTanzania watakua wameona dhahiri shahiri njaa na mahitaji ya hao matapeli wa kisiasa ilivyowazonga. kiongozi hana hata kumi chakavu. Sasa akipewa uongozi si lazima ashibe kwanza ndio awafikirie wenye njaa wengine na kwa huyu kiongozi mpya wa chadema anaweza kuwasahau kabisa.

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi na mfumo mzima wa uchaguzi Tanzania, ambao upo kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, hauna matatizo hata kidogo, lakini mtoa maelezo wa chadema anajaribu kueleza kana kwamba kuna matatizo makubwa kitu ambacho si kweli.

Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, utafanyika october 2025 bila shinikizo la mpiga kelele au mvuta bangi yeyote na hakuna mabadiliko wala ya sheria wala ratiba ya uchaguzi mkuu na hakuna mleta fujo atakae fanya lolote.

Ni muhimu sana kama chama cha siasa mkajikita kwenye agenda yenu ya kuomba kuchangiwa pesa za pocketi money na za kuendeshea chama chenu kutoka kwa wananchi mnao waita maskini, lakini sio kuhadaa waTanzania kwa kuwapotosha kwa dosari au kasoro za uchaguzi zisizo kuwepo kwenye uchaguzi Tanzania.

sasa nimeamini njaa haina mbabe,
njaa haina adabu na kuombaomba ni uaraibu wa aibu na fedheha sana:NoGodNo:
:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Sasa ulitaka chama kiendeshwe na pesa za mafisadi na wauza ngada kama hapo awali?
 
we kijana,
kuwa na heshima kidogo,

si sawa hata kidogo,
kumfananisha kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na hayati Baba wa Taifa Letu JK.Nyerere,

hiyo ni kufuru gentleman, usirudie tena :NoGodNo:
Mkuu huna moral compass ya kumuita kiongozi yeyote kuwa ni kibaraka ukiwa wewe mwenyewe ni kibaraka mwandamizi!!! Ama kweli Nyani haoni ku.....le!!!
 
unaibiwa wewe ambae pia unadai kuibiwa kura ambazo huna,
hivi mnakua mazuzu ee kila uchaguzi kuibiwa msichokua nacho?

au kila uchaguzi hua mnaenda kukodoa mimacho na kusinzia tu wakati wa kupiga na kuhesabu kura?

Sasa kama chama kinaendeshwa na michango ya chama, si mkiendeshe sasa, mbona mwawasumbua mnaowaita maskini wawachangie pocket money hali ya kua kwenye chaguzi wanawatosa?

Yaani,
makelele na mdomo mwingi kumbe agenda ni kuombaomba kuchangiwa tu.

hachaguliki milele gentleman 🐒
Je?Tozo za hao unaowatetea zinaangalia kama huyu ni maskini au sio maskini?
 
unaibiwa wewe ambae pia unadai kuibiwa kura ambazo huna,
hivi mnakua mazuzu ee kila uchaguzi kuibiwa msichokua nacho?

au kila uchaguzi hua mnaenda kukodoa mimacho na kusinzia tu wakati wa kupiga na kuhesabu kura?

Sasa kama chama kinaendeshwa na michango ya chama, si mkiendeshe sasa, mbona mwawasumbua mnaowaita maskini wawachangie pocket money hali ya kua kwenye chaguzi wanawatosa?

Yaani,
makelele na mdomo mwingi kumbe agenda ni kuombaomba kuchangiwa tu.

hachaguliki milele gentleman 🐒
Mkuu kuomba mchango/msaada sio dhambi na hakuna sheria inayo vunjwa.

Chama chochote huendeshwa kwa michango na misaada ya wanachama.

Mkuu wewe ukiwa kibaraka unaamini kila mtu ni kibaraka mwenzio!!
 
Mkuu kuomba mchango/msaada sio dhambi na hakuna sheria inayo vunjwa.

Chama chochote huendeshwa kwa michango na misaada ya wanachama.

Mkuu wewe ukiwa kibaraka unaamini kila mtu ni kibaraka mwenzio!!
Ila sawa gentleman,

nimeamini kuomba kuchangiwa hela inabidi uanzie mbali dah 🐒
 
Ipi heri
Anayezichapa kodi za walala hoi au
Aneyeomba kuchangiwa na mlala hoi
ombaomba pocket money ni aibu na fedheha sana kwa familia, ndugu jamaa na marafiki, kwa mtu timamu na mwenye nguvu ya kufanya kazi,dah 🐒
 
Chama ni cha wanachama na wananchi wote wanaounga mkono sera za chama husika, uwezo wa kiongozi haupimwi kwa kutoa sehemu ya fedha zake binafsi ili kukamilisha majukumu ya chama, hivyo hakuna shida yoyote inayotokana na yeye kuomba michango ya wanachama.


Hata huko CCM na vyama vingine vya kisiasa ni nani anayetoa fedha zake mfukoni.? Au mlizoeshwa na yule jamaa yenu aliyetoka?
Kauli ya pinyon he sana hii
 
Ilifahamika na kuonekana bayana tangu mwanzo, kwamba kiongozi mpya wa chadema hana maono wala mipango madhubuti ya kuendesha chama kwa mipango mikakati maalumu ya kiuchumi na kujitegemea kama vyama vingine vya siasa,

Tazama sasa,

Maelezo marefu kwa muda mrefu kumbe dhumuni na agenda ilikua ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi, ya kifamilia na za kuongoza chama, dah!.

Sasa ataomba kuchangiwa pesa mpaka lini na wananchi ambao mara zote wanaitwa maskini?
Lini ataweza kujitegemea yeye mwenyewe binafsi bila kuchangiwa? Lini chadema itaanza kujitegemea bila kukopa au kuchangiwa na wananchi maskini na kwa mipango ipi?
Ni mTanzania wa wapi atathubutu kuchagua kiongozi na chama cha siasa asiewewza hata kujitegemea kiuchumi yeye binafsi na chama chake? Huu si utapeli wa wazi kabisa kisiasa ndugu zangu?

Bilashaka yoyote,
waTanzania watakua wameona dhahiri shahiri njaa na mahitaji ya hao matapeli wa kisiasa ilivyowazonga. kiongozi hana hata kumi chakavu. Sasa akipewa uongozi si lazima ashibe kwanza ndio awafikirie wenye njaa wengine na kwa huyu kiongozi mpya wa chadema anaweza kuwasahau kabisa.

Tume huru ya Taifa ya uchaguzi na mfumo mzima wa uchaguzi Tanzania, ambao upo kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, hauna matatizo hata kidogo, lakini mtoa maelezo wa chadema anajaribu kueleza kana kwamba kuna matatizo makubwa kitu ambacho si kweli.

Uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania, utafanyika october 2025 bila shinikizo la mpiga kelele au mvuta bangi yeyote na hakuna mabadiliko wala ya sheria wala ratiba ya uchaguzi mkuu na hakuna mleta fujo atakae fanya lolote.

Ni muhimu sana kama chama cha siasa mkajikita kwenye agenda yenu ya kuomba kuchangiwa pesa za pocketi money na za kuendeshea chama chenu kutoka kwa wananchi mnao waita maskini, lakini sio kuhadaa waTanzania kwa kuwapotosha kwa dosari au kasoro za uchaguzi zisizo kuwepo kwenye uchaguzi Tanzania.

sasa nimeamini njaa haina mbabe,
njaa haina adabu na kuombaomba ni uaraibu wa aibu na fedheha sana:NoGodNo:
:NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Weka video mkuu tuone akiomba kuchangiwa msaada wa familia
 
Back
Top Bottom