Maelezo marefu kumbe agenda kuu ilikuwa ni kuomba kuchangiwa pesa za matumizi binafsi ya kifamilia na za kuendesha chama chake

Mkuu huna moral compass ya kumuita kiongozi yeyote kuwa ni kibaraka ukiwa wewe mwenyewe ni kibaraka mwandamizi!!! Ama kweli Nyani haoni ku.....le!!!
gentleman,
huyo ombaomba pesa sio tu ni kibaraka lakini pia ni kibaka wa siasa za Tz
 
gentleman,
huyo ombaomba pesa sio tu ni kibaraka lakini pia ni kibaka wa siasa za Tz
Mkuu, whichever name you decide to coin, in the real sense you are the chief leader!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…