Maelezo ya alivyouawa mwenyekiti wa UVCCM huko Chunya yana ukakaksi sana, Polisi fanyeni kazi yenu kwa umakini

Maelezo ya alivyouawa mwenyekiti wa UVCCM huko Chunya yana ukakaksi sana, Polisi fanyeni kazi yenu kwa umakini

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupigiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri
 
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupiguiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri
Kifo ni kifo tu.
Vipi kama jamaa alikuwa hafuati maelekezo kutoka kwa wenzie na wao wakaamua kumfuta kutoka kwenye daftari la kudumu (kuwa mfano kwa OWN GOAL) ili tu ionekane ni BOTH TEAMS SCORED?
 
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupiguiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri
Unadhani polisi hakuna mtu mwenye utashi na hekima kama zako!? Cha Msingi waza tu Nini sababu ya maelezo haya yanayoonekana kuwa mepesi! Any way tuwaachie yakwao
 
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupiguiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri
PAMBAF.. Usituchoshe na andiko refu.. KIFO NI KIFO TU.
 
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupiguiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri
Unamaana huyo msichana alimuandalia mkojo na hao wauaji ili akifika hapo asimame akojoe! Basi huyo msichana ni nabii.
 
Unamaana huyo msichana alimuandalia mkojo na hao wauaji ili akifika hapo asimame akojoe! Basi huyo msichana ni nabii.
Hee, kuna wengine wanachukua muda kuelewa!

Nimesema jamaa kutaka kukojoa sehemu ambayo ina wauaji ni coincidence haikubaliki. Kwa hiyo aliyesema simama nikojoe ni msichana ingawa yeyey sasa ndio anasema jamaa alisimama ili akojoe. Ulisoma fasihi kweli, au hukufika kote huko?
 
Nimesoma maelezo ya msichana aliekuwa nae alipouwawa, yana ukakasi sana. Kuna coincidence ambazo labda ni polisi wetu tu waliozoea kutunga kesi dhidi ya wapizani wataikubali.

Inaripotiwa kuwa huyu UVCCM, mwenye biashara ya kuchoma chama klabu moja, alipigiwa simu kuwa kuna mbuzi wanauzwa aende kukutana na wauzaji
  1. Aliamua kwenda kwa wauzaji na pikipiki yake akifuatana na huyu msichama - kwa nini? Na nani alipendekeza waende na huyo msichana? Je lilikuwa ni wazo la huyo msichana? Na je, huyo msichana ndio alisuka mpango watu wapige hiyo simu?
  2. Wakiwa njiani sehemu yenye pori huyo kijana alisikia kukojoa akapaki pikipiki ajisaidie ndio wakavamiwa - hapa ndio kuna coincidence ya ajabu. Kwamba out of the blue sehemu unapoamua kukojoa porini ndio kuna watu wanaouua wanakuwepo by coincidence. Inakubalika? Haya ni maelezo ya msichana na yanatia shaka sana. Ninaamini aliesema simama nikojoe ni huyo msichana, na alijua wapi atamwambia huyu kijana simama nikojoe kwa sababu alijua wapi hao wauaji wanasubiri. Na hao wauaji walikuwa wamevaa soksi za uso. Kwa nini? Itakuwa ni watu wanaofahamiana nao.
  3. Anasema yeye wauaji walimwachia baada ya kumfunga na akajifungua. Hii inatia shaka sana.
Kuna kila dalili kuwa huyu msichana anahusika. Polisi wakomae nae. Huenda ni hela za kununua mbuzi zimemponza huyu kijana. Mauaji haya hayahusiani kabisa na suala la utekaji linaloendelea wala siasa. CCM wasije wakathubutu hata kusema mbona watu wetu nao wanauwawa kama wapinzani wanavyouawa.

Halafu hiyo namba iliyopiga simu kusema njoo ununue mbuzi polisi wakomae nayo. Na pia waangalie kama hiyo namba imewahi kuwasiliana na namba ya huyo msichana. Unaweza kukuta kabla au baada tu ya kupiga simu kusema njoo tuna mbuzi, waliwasiliana na huyu msichana

Na polisi waelewe kwamba inawezekana wauaji walimfuata huyu bwana nyuma, sio kwamba walikuwa wamejificha mahali. Kama ni mpango uliosukwa na msichana anahusika anaweza kuwa anadanganya kwamba walivamiwa na watu waliokuwa pale, akijua wazi wauaji walikuwa nyuma yao na waliwalazimisha kusimama, na anawajua. Simu ya msichana ichunguzwe, namba alizopiga na kupiguiwa zichunguzwe, na zilinganishwe na namba alizopigiwa kijana alieuawa

Polisi acheni kuwa na akili ya kesi za kutunga za Chadema tu, fanyeni kazi za kipolisi kama hizi kwa umakini mkijua kuwa maisha ya huyo msichana yanaweza kuwa hatarini. Mshawishini aeleze ukweli kama namna ya kujilinda dhidi ya kupotezewa asije akatoa siri

Unafikiri Police hawana hizo akili?
 
Wewe ujamdharau, umemueleleza namna ya kufanya! Kudharau ni kukaa kimya kama mimi mwenzako
Kuna jambo umenena kifilosofia hapa! Lakini angalia signature yangu hapa chini. Ni muendelezo huo
 
Back
Top Bottom