Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Ingiza promocode ya ubertz5 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chni ya 6200 basi utasafiri bureee
 
Ingiza promocode ya TZABA065 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chini ya 6200 basi utasafiri bureee
 

Kuna Taxify pia inafanya kazi kama Uber lakini huku unapata bajaji pia.

https://r.search.yahoo.com/_ylt=A0L...-salaam//RK=2/RS=XVPk_wDr_669puXBhj80tWzYLzc-
 
OFA! OFA! Ingiza promocode ya ubertz5 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chini ya 6200 basi utasafiri bureee
 
Nilitegemea kadri mnavyokua huduma zenu ziboreke zaidi lakini madereva wenu hasira zao wanatuhamishia sisi abiria
 
Nilitegemea kadri mnavyokua huduma zenu ziboreke zaidi lakini madereva wenu hasira zao wanatuhamishia sisi abiria
Mkuu pole sana kwa changamoto hizo, madereva huwa wanafanyiwa semina, na wanasisitiza sana kuwaheshimu na kuwajali wateja. Ukikutana na dereva mkorofi, tafadhali mreport katika app
 
OFA! OFA! kwa wateja wapya wa UBER. Ingiza promocode ya ubertz5 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chini ya 6200 basi utasafiri bureee
 
OFA! OFA! kwa wateja wapya wa UBER. Ingiza promocode ya ubertz5 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chini ya 6200 basi utasafiri bureee
 
Mkuu pole sana kwa changamoto hizo, madereva huwa wanafanyiwa semina, na wanasisitiza sana kuwaheshimu na kuwajali wateja. Ukikutana na dereva mkorofi, tafadhali mreport katika app

Mimi nilikua overcharged nikareport na Uber wakanirefund kama credits kwenye system.Juzi nimesafiri nikasahau kama nina balance nikalipa cash ila Uber nao wakadeduce ile credit kwenye system(nikawa nimelipa twice).Nimeripot nikajibiwa kuwa tatizo langu haliwezi kushughulikiwa kwa sababu nimekua na frequent queries [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .Sasa najiuliza mtu kureport mara kwa mara nayo imekua shida kiasi unaweza usisaidiwe?
 
OFA! OFA! kwa wateja wapya wa UBER. Ingiza promocode ya TZABA065 ili safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 kwenye nauli. Na kama safari yako bei yake ni chini ya 6200 basi utasafiri bureee
Hivi mshaanza huduma nje ya Dar kama Arusha au Moshi!?
 
Hellow wana JF tafadhalini nahitaji msaada kidogo juu ya hili maana naamini hii ni nyumba ya watu makini na naamini ntapata msaada kama nnavyotegemea.

Mimi ni kijana mchakalikaji tu hapa mjini sasa katika kuchanga kwangu nimefikisha milion 7 nataka kufanya biashara ila wazo lililonijia ni kutafuta gari aina ya TOYOTA IST na nifanye biashara ya UBER ila kuna mtu amenionya na kunambia ntapoteza ela na kama nataka biashara basi nikafungue Tigo Pesa.

Je waungwana nifanye lipi kati ya hilo na naomba kufafanuliwa zaidi kuhusu UBER maana akili yangu yote ndo imegota hapo
 
Kabla ya kukushauri kwanza ulifikiria kufanya ishu gan na hyo hela kabla ya kuwaza Uber?na unaangalia nini zaid ktk biashara unayotaka unapowekaeza hela zako ulizodunduliza?
 
Target yangu haswa ilikua ni Uber kwani niliamini nikiwa na gari yangu mwenyewe itanitoa japo bado sijajua changamoto zake mkuu
 
Mkuu hapo sijaelewa, imekuwaje ukalipa twice, kwa sababu ile credit inabidi ihesabiwe kwenye nauli. Mfano nauli ni 9000, na una credit 3000, basi mwisho wa safari itaandka ulipie 6000
 
Mkuu hapo sijaelewa, imekuwaje ukalipa twice, kwa sababu ile credit inabidi ihesabiwe kwenye nauli. Mfano nauli ni 9000, na una credit 3000, basi mwisho wa safari itaandka ulipie 6000
Nauli ilikua elfu tatu (inavyoonekana kwenye app).Nikalipa cash elfu tatu na kwenye system credit ikachukuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…