Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je kama safari ya kwanza inagharimu elfu 5 hivi halafu nina hiyo promotion ina maana sitalipia chochote?Habari wanaJamiiforums, baada ya kuona watu wanasambaza tricks za uongo kuhusu usafiri wa Uber nimeshawishika kuelezea kwa kina kuhusu usafiri huu.
Uber ni nini?
Uber ni application inayokuwezesha kupata usafiri wa bei ya chini na salama katika sehemu nyingi za mkoa wa Dar-es-Salaam, kwa kupitia simu yako ya mkononi. Usafiri huu ni wa kutumia magari madogo yanayoweza kubeba kuanzia mtu mmoja hadi watu wanne.
Kujisajili na Uber
Nenda playstore, search 'Uber' utaiona ina icon nyeusi, download kisha ifungue.
Fanya usajili kwa kutumia namba yako ya simu, email na pia utachagua neno la siri.
Kupata punguzo la Tsh6200 katika trip yako ya kwanza
- Nenda Menu kwa kubonyeza mistari mitatu iliyoko juu kushoto,Kisha bonyezaPayments,kisha bonyeza Add promo code , andika tzaba17
- Utaona maandishi ya kijani yakionyesha kwamba utapata punguzo la tsh6200 katika trip yako ya kwanza.
- Nitatoa mfano, safari yako ya kwanzi ni kutoka posta hadi magomeni,na gharama yake ni shilingi 7200,basi utalipa sh1000 tu kutokana na hilo punguzo,lakini katika safari ya pili utalipa nauli kamili.
Zingatia
Unaweza kujisajili mara moja tu kwa kutumia hiyo promotion code, ukirudia kujisajili kwa namba nyingine kama baadhi ya watu wanavyopotosha mitandaoni, akaunti yako ya uber itafungiwa na hutaweza tena kutumia huduma za uber
Jinsi ya kutumia Uber kuita usafiri.
Malipo ya usafiri
- Fungua app ya Uber, hakikisha umewasha GPS, itakuletea maandishi 'where to'.Hapo utajaza unapotaka kwenda,mfano 'Magomeni Mapipa'.
- Itakuonyesha kiasi cha nauli inayokadiriwa, na utabonyeza 'Request uberX'
- Hapo hapo,itakuonyesha jina na namba ya gari la dereva atakayekufata hapo hapo ulipo, na ndani ya dk5 atakuwa kashafika.
Umuhimu wa kutumia Uber
- Ukifika 'destination' yako dereva atabonyeza 'Stop trip' kwenye application iliyoko kwenye simu yake, na hapo hapo itaonyesha nauli kwenye simu yako na kwenye simu ya dereva
- Unaweza kulipa kwa Cash(Taslimu) au kwa kutuma Kadi ya benki
Nakaribisha maswali yoyote kuhusiana na huduma hii ya UBER
- Ni gharama nafuu zaidi ukilinganisha na taxi za kawaida, kwa sababu bei inahesabiwa na mashine yenyewe kulingana na umbali wa sehemu unayoenda, na sio derevaa kujipangia bei kubwa
- Ni salama zaidi, hasahasa usiku, kwasababu dereva wa uber anakuwa amesajiliwa na endapo itatokea tatizo lolote mfano kusahau kitu kwenye gari, dereva anaweza kupatikana kwa haraka
- Inakusaidia kuokoa muda; mfano upo sehemu ambapo hamna taxi,bajaji wala bodaboda, unaweza kuita usafiri na ukakufata hapohapo kwa kutumia app hii.
maelezo mazuri lakini rekebisha kua promo code si lazima iwe hyo ulioweka kwa kufanya hvo tunakupa na ww offer kua muwazi vinginevo ni kama unatumia ka trick kupata offersHabari wanaJamiiforums, baada ya kuona watu wanasambaza tricks za uongo kuhusu usafiri wa Uber nimeshawishika kuelezea kwa kina kuhusu usafiri huu.
Uber ni nini?
Uber ni application inayokuwezesha kupata usafiri wa bei ya chini na salama katika sehemu nyingi za mkoa wa Dar-es-Salaam, kwa kupitia simu yako ya mkononi. Usafiri huu ni wa kutumia magari madogo yanayoweza kubeba kuanzia mtu mmoja hadi watu wanne.
Kujisajili na Uber
Nenda playstore, search 'Uber' utaiona ina icon nyeusi, download kisha ifungue.
Fanya usajili kwa kutumia namba yako ya simu, email na pia utachagua neno la siri.
Kupata punguzo la Tsh6200 katika trip yako ya kwanza
- Nenda Menu kwa kubonyeza mistari mitatu iliyoko juu kushoto,Kisha bonyezaPayments,kisha bonyeza Add promo code , andika tzaba17
- Utaona maandishi ya kijani yakionyesha kwamba utapata punguzo la tsh6200 katika trip yako ya kwanza.
- Nitatoa mfano, safari yako ya kwanzi ni kutoka posta hadi magomeni,na gharama yake ni shilingi 7200,basi utalipa sh1000 tu kutokana na hilo punguzo,lakini katika safari ya pili utalipa nauli kamili.
Zingatia
Unaweza kujisajili mara moja tu kwa kutumia hiyo promotion code, ukirudia kujisajili kwa namba nyingine kama baadhi ya watu wanavyopotosha mitandaoni, akaunti yako ya uber itafungiwa na hutaweza tena kutumia huduma za uber
Jinsi ya kutumia Uber kuita usafiri.
Malipo ya usafiri
- Fungua app ya Uber, hakikisha umewasha GPS, itakuletea maandishi 'where to'.Hapo utajaza unapotaka kwenda,mfano 'Magomeni Mapipa'.
- Itakuonyesha kiasi cha nauli inayokadiriwa, na utabonyeza 'Request uberX'
- Hapo hapo,itakuonyesha jina na namba ya gari la dereva atakayekufata hapo hapo ulipo, na ndani ya dk5 atakuwa kashafika.
Umuhimu wa kutumia Uber
- Ukifika 'destination' yako dereva atabonyeza 'Stop trip' kwenye application iliyoko kwenye simu yake, na hapo hapo itaonyesha nauli kwenye simu yako na kwenye simu ya dereva
- Unaweza kulipa kwa Cash(Taslimu) au kwa kutuma Kadi ya benki
Nakaribisha maswali yoyote kuhusiana na huduma hii ya UBER
- Ni gharama nafuu zaidi ukilinganisha na taxi za kawaida, kwa sababu bei inahesabiwa na mashine yenyewe kulingana na umbali wa sehemu unayoenda, na sio derevaa kujipangia bei kubwa
- Ni salama zaidi, hasahasa usiku, kwasababu dereva wa uber anakuwa amesajiliwa na endapo itatokea tatizo lolote mfano kusahau kitu kwenye gari, dereva anaweza kupatikana kwa haraka
- Inakusaidia kuokoa muda; mfano upo sehemu ambapo hamna taxi,bajaji wala bodaboda, unaweza kuita usafiri na ukakufata hapohapo kwa kutumia app hii.
umewaza mbali mkuu tena kwa punguzo la 6200 kwenye nauli ya 5000 unatakiwa upewe 1200 taslimu na derevaJe kama safari ya kwanza inagharimu elfu 5 hivi halafu nina hiyo promotion ina maana sitalipia chochote?
Ngoja tumsubiri anaweza kuja na jibu mahususi ,kuuliza ni vizuri.umewaza mbali mkuu tena kwa punguzo la 6200 kwenye nauli ya 5000 unatakiwa upewe 1200 taslimu na dereva
Kama wapo mbal na una safar ya haraka utafnyj mkuuYootee ya nn nna namba ya Dereva tax wanguu na boder boder huo wooote ni mlolongooo...
Mkuu dereva taksi wako anapatikana masaa 24?. Mfano dereva taxi wako anapark Mbezi, we uko Posta na unataka kupelekwa kinondoni; utampigia simu dereva taxi akufate huko, si itakuwa gharama zaidi?Yootee ya nn nna namba ya Dereva tax wanguu na boder boder huo wooote ni mlolongooo...
Karibu sana mkuuSafi kabisa nitajaribu kuitumia very soon in Dar
Permission granted mkuuPermission to copy and paste.
Ndio mkuu, hutolipia chochoteJe kama safari ya kwanza inagharimu elfu 5 hivi halafu nina hiyo promotion ina maana sitalipia chochote?
Promotion code inafanya kazi kwenye safari moja tu, ile ya kwanza. Hivyo hata kama nauli ni 5000; 1200 itakayobaki hutarudishiwa na haitatumika kwenye safari zinazofuataumewaza mbali mkuu tena kwa punguzo la 6200 kwenye nauli ya 5000 unatakiwa upewe 1200 taslimu na dereva
Ni kweli kabisa mkuu unaweza kutumia promotion code nyingine,ila ukitumia promotion code nyingine utapata punguzo dogo zaidi la sh 4500 badala ya 6200maelezo mazuri lakini rekebisha kua promo code si lazima iwe hyo ulioweka kwa kufanya hvo tunakupa na ww offer kua muwazi vinginevo ni kama unatumia ka trick kupata offers
Kuhusu usalama wako;Asante kwa maelezo mazuri.nina swali kuhusu usalama wa dereva au mmiliki wa Taxi.mteja akiniita usiku lakini akawa ana mipango yake mibaya ya kuniteka na kuiba gari.usalama umekaaje hapo na pili kama nataka kuliingiza gari langu kwenye hii biashara ya UBER inakuwaje.kama nina gari na nina dereva