Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Je kama safari ya kwanza inagharimu elfu 5 hivi halafu nina hiyo promotion ina maana sitalipia chochote?
 
Yootee ya nn nna namba ya Dereva tax wanguu na boder boder huo wooote ni mlolongooo...
 
maelezo mazuri lakini rekebisha kua promo code si lazima iwe hyo ulioweka kwa kufanya hvo tunakupa na ww offer kua muwazi vinginevo ni kama unatumia ka trick kupata offers
 
umewaza mbali mkuu tena kwa punguzo la 6200 kwenye nauli ya 5000 unatakiwa upewe 1200 taslimu na dereva
Promotion code inafanya kazi kwenye safari moja tu, ile ya kwanza. Hivyo hata kama nauli ni 5000; 1200 itakayobaki hutarudishiwa na haitatumika kwenye safari zinazofuata
 
maelezo mazuri lakini rekebisha kua promo code si lazima iwe hyo ulioweka kwa kufanya hvo tunakupa na ww offer kua muwazi vinginevo ni kama unatumia ka trick kupata offers
Ni kweli kabisa mkuu unaweza kutumia promotion code nyingine,ila ukitumia promotion code nyingine utapata punguzo dogo zaidi la sh 4500 badala ya 6200
 
Asante kwa maelezo mazuri.nina swali kuhusu usalama wa dereva au mmiliki wa Taxi.mteja akiniita usiku lakini akawa ana mipango yake mibaya ya kuniteka na kuiba gari.usalama umekaaje hapo na pili kama nataka kuliingiza gari langu kwenye hii biashara ya UBER inakuwaje.kama nina gari na nina dereva
 
Kuhusu usalama wako;
Mkuu ili mteja atumie usafiri wa Uber lazima awe amejisajili kwa kutumia namba yake ya Simu, hivyo ni vigumu mtu kufanya uhalifu akijua namba yake ya simu imesajiliwa. Vilevile uber wana taarifa mbalimbali kama IMEI namba ya simu husika, hii inaweza kusaidia kumtrace mteja anapofanya uhalifu kama kuiba gari la dereva wa uber.

Kuhusu kujiunga na Uber kama una gari na dereva; hii unaweza ukafika ofisi za Uber, Viva towers Posta, ukapata maelezo zaidi
 
uber ni the best kwakweli madriver tax ni vichefuchefu wanakuangalia kwanza umevaaje unaenda wapi ndo anakupa bei
JITAHIDI MUWEKE BANGO KUBWA LA UBER UBUNGO TERMINAL
AIRPORT NA POSTA HATA KARIAKOO
 
Uber iko freshi, na magari karibia yote ya Uber niliyopanda yapo katika hali nzuri sana full kiyoyozi yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…