sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,723
- 4,286
Sio taxi driver, lakini kwa taarifa nazozisikia kwa madereva sio njema sana kuhusu hii biashara kwani ni kwakuwa gari inachakaa mbaya alafu huwezi pata pesa ya kununulia lingine,
Labda ukakope, na ukikopa ujue tu kwamba hiyo pesa huwezi rudisha kwa biashara hii,
Labda ukakope, na ukikopa ujue tu kwamba hiyo pesa huwezi rudisha kwa biashara hii,