Habari nimekua nkiona watu wengi wakiponda sana hili jambo la kumiliki gari kwa ajili ya uber on grounds kwa hesabu imekua ngumu makato ni makubwa etc ....Ningependa kupata maoni ya watu wengine zaidi juu ya hili swala hasa hasa watu ambao walikua wamiliki au madereva in this scenario

