dricks
Senior Member
- Oct 13, 2017
- 186
- 109
Viva Towers, PostaOk!!..Ofisi kwa Dar zipo wapi kuna taarifa nazihitaji!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viva Towers, PostaOk!!..Ofisi kwa Dar zipo wapi kuna taarifa nazihitaji!.
Gharama ni ile ile, hata mkiwa wanneMkiwa wawil je?
Mkuu Uber haiajiri madereva bali inaunganisha dereva(mwenye gari tayari) na abiria. Tafuta tu mtu mwenye gari, mshauri aisajili Uber, hapo ndo utaweza kuwa dereva wa Uber na kupata faida kubwaMimi nataka kua dereva.. nipe mchongo
Uber ni masaa 24, daladala kuna wakati mwingine hazipo, au zinakuwa zimejaa sana, sio mbaya ukatumia UberBora daladala 400 tu
Nimeshakujibu mkuu, kaangaliemkuu nimekutumia msg kwenyr pm..swali langu lilikuwa fupi na na lengine ni je huwa mnawalipaje kwa siku hao wenye magari? nataka kuzingiza gari zangu kwenye uber naomba ufafanuzi mzuri mkuu asante.
Mkuu na mimi nina swali kama la huyo jamaa, ningepata mawasiliano ingekua safi zaidi. Nijibu utakavyo ona ina faa iwe hapa au P.MNimeshakujibu mkuu, kaangalie
Ntatafuta safar inayogharim sh 1200 ili nipewe buk 5 na dereva. Uber raha sana,unasafirishwa bure na pesa ya msos unapewaumewaza mbali mkuu tena kwa punguzo la 6200 kwenye nauli ya 5000 unatakiwa upewe 1200 taslimu na dereva
hahahaha..safari zote zinaanzia 3,000Ntatafuta safar inayogharim sh 1200 ili nipewe buk 5 na dereva. Uber raha sana,unasafirishwa bure na pesa ya msos unapewa
3000 kwa kilometer ngapi?hahahaha..safari zote zinaanzia 3,000
Sio rahisi kukwambia ni kilometa ngapi kwa usahihi kabisa, kwasababu gharama za safari hazihesabiwi kwa kilometer tu, bali pia muda utakaotumia katika safari. Kwa kadirio ni Tsh 560 kwa kila kilometa na Tsh 110 kwa dakika.3000 kwa kilometer ngapi?
Simply total cost=110t + 560d, si ndio? Ambapo d-umbali, t- mudaSio rahisi kukwambia ni kilometa ngapi kwa usahihi kabisa, kwasababu gharama za safari hazihesabiwi kwa kilometer tu, bali pia muda utakaotumia katika safari. Kwa kadirio ni Tsh 560 kwa kila kilometa na Tsh 110 kwa dakika.
Njia rahisi ya kujua makadirio, ni kudownload app ya Uber na itaweza kukadiria gharama za safari kutokana na umbali na muda utakaochukua kusafiri
Total cost= (base fare)+(110 x time)+(560 x distance in km)Simply total cost=110t + 560d, si ndio? Ambapo d-umbali, t- muda
Base fare tena? [emoji41] [emoji41] sawa mkuuTotal cost= (base fare)+(110 x time)+(560 x distance in km)
where base fare =1200
Ndio mkuu, karibu sana utumie huduma za Uber. Usiasahau pia kuweka promocode ya ubertz5 ili upate punguzo la tsh6200Base fare tena? [emoji41] [emoji41] sawa mkuu