Maelezo ya Waziri Bashe kuhusu serikali kununua mazao wakati wa mavuno na kuyauza baadaye, tumemjua anayetuuzia maharagwe 3,800 kwa kilo

Maelezo ya Waziri Bashe kuhusu serikali kununua mazao wakati wa mavuno na kuyauza baadaye, tumemjua anayetuuzia maharagwe 3,800 kwa kilo

Tozo

Senior Member
Joined
Aug 23, 2021
Posts
101
Reaction score
202
Mawaziri wa CCM leo kwenye sherehe za CCM Morogoro mbele ya Karibu Mkuu wakijibu kero kwa wananchi wamedhihirisha kuwa maamuzi mabovu ya serikali yao ni chanzo cha matatizo Kwa Watanzania.

Ona mifano hii. Waziri wa kilimo anasema serikali ya Mhe. Samia Ina nunua mazao ya wakulima wakati wa mavuno na kuyauza wakati wa njaa. Kama ndivyo ina maana kwa sasa tunanunua chakula kilichohifadhiwa na serikali kwa bei ya juu zaidi.

Baadae namsikia Mhe. Silinde wa Tamisemi eti wamehamisha walimu vijijini toka shule za mjini. Sasa nani anahusika kujaza walimu mjini kama siyo hiyo serikali wanavyodai ni ya Mhe. Samia. Hawa wana kampeni siyo ya kumssaidia mama mbali wanataka kumwangusha.
 
Africa africa.....
JamiiForums-1584421399.jpg
 
Kuna tatizo mahali. Katiba ni muhimu kwa watawala kuliko wapinzani. Nadhani hata mama anaelewa hili ndiyo maana ameamua kumlinda Tundu Lissu kwa ghalama yoyote .
 
Boyz II wanataka kumharibia tu mama. Umemsikia mwingine badala ya kujibu hoja anawaita wasema kweli ndani ya CCM eti wanaongea uganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom