Maelfu waandamana Addis Ababa kupinga propaganda za vyombo vya habari vya magharibi

Maelfu waandamana Addis Ababa kupinga propaganda za vyombo vya habari vya magharibi

Ni vizuri sana Kuwastukia mapema Mashoga wa Magharibi
 
Pamoja na mabeberu ila Ethiopia kinacho watafuna n ukabila wazike ukabila kwanza
 
wasije wakawa walioandamana ni watumishi wa serikali Mana serikali zetu ni kizungumkuti
Watumishi pamoja na MAEGA(ni MATAGA wa Ethopia)
Mimi namuunga mkono waziri mkuu Abby Ahmed maana hii vita ni chokochoko ya Mafarao pamoja na mabeberu baada ya serikali ya Ethiopia kuanzisha mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme.
 
Ujue wananchi hao ni watumishi wengi wa serikali na wachache wanaonufaika na Abiy Ahmed, hii ni ishara kiwa serikali ishashindwa kuwadhibiti Tigray Forces, ila subiria wajeda wa Tigray soon wataingia Addis Ababa, hao hao wananchi watawa support kwa wingi Tigray Forces mtashangaa..

Abiy Ahmed his days are over, soon Tigray Forces wataingia Addis Ababa.
Ni ndoto ya mchana hiyo mkuu. TPLF wanaendelea kunyang'anywa miji huko kaskazini kwa siku 3 mfululizo. Soon wanarudishwa kwao Tigray region.
 
wasije wakawa walioandamana ni watumishi wa serikali Mana serikali zetu ni kizungumkuti
We umeona mbali,hao nahisi ni government sponsored, angalia hata aina ya mabango waliyoshika,ni mabango ambayo yanaubunifu fulani na hata lugha iliyotumika sio ya mwananchi wa kawaida hio.
 
Watajijua wenyewe. Waafrika tulishashindikana. Wacha wafe tupunguze idadi ya watu wasio na faida duniani. Ethiopia wanaongezeka ovyo kama ilivyo Tanzania. I support depopulation be it in any form.
 
Ujinga kama wa Tigray unahitaji nguvu kubwa tena isiyo na huruma kuumaliza. Wajifunze kwa Sri Lanka jinsi walivyowamaliza Tamil Tigers..... tembeza kichapo cha nguvu, kelele za nchi za magharibi zitakuja tu baadae.
 
Ujue wananchi hao ni watumishi wengi wa serikali na wachache wanaonufaika na Abiy Ahmed, hii ni ishara kiwa serikali ishashindwa kuwadhibiti Tigray Forces, ila subiria wajeda wa Tigray soon wataingia Addis Ababa, hao hao wananchi watawa support kwa wingi Tigray Forces mtashangaa..

Abiy Ahmed his days are over, soon Tigray Forces wataingia Addis Ababa.
Unaripoti hii habari kutokea wapi
 
Tena inaonekana wamelazumishwa kufanya hivyo
Kama baba yake Kiduku alipokufa wakalazimishwa Kulia

Ethiopia waliuwawa sana walipojaribu kuleta mabadiliko na waliokuwa wanakumbia nchi walipigwa shaba
Imagine watu wamefika boarder wanapigwa risasi kisa wanakimbia vita
Nani aliyewalazimisha upo sawa kweli?? Mkuu au nawew ndo hvo Tena hamnazo??
 
Ni kweli kabisa Serikali za magharibi wana mkono hapo Ethiopia
Nilianza kuwa na wasiwasi Facebook walipofuta ujumbe wa Waziri Mkuu
Hata ujumbe wa Trump uliwahi kufutwa...Ule ujumbe wa Abiy ulijaa uchochezi.
 
Watajijua wenyewe. Waafrika tulishashindikana. Wacha wafe tupunguze idadi ya watu wasio na faida duniani. Ethiopia wanaongezeka ovyo kama ilivyo Tanzania. I support depopulation be it in any form.
Mkuu ungeonyesha mfano wa kuisupport kwa kujiua mkuu.
 
Sasa kama hukutaka kuquotiwa ungekaa nalo moyoni. Au ungemalizia kabisa mtu asiniquote.
Njoo kesho tujiue sote niondoke na wewe useless eater mwenzangu unayejaza dunia. Unaonaje tukawa mfano kwa waafrika weusi wengine?
 
Njoo kesho tujiue sote niondoke na wewe useless eater mwenzangu unayejaza dunia. Unaonaje tukawa mfano kwa waafrika weusi wengine?
Mimi siungi mkono, wewe unayeunga mkono ndo utuonyeshe mfano
 
Back
Top Bottom