Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kwanini unaukataa ukweli ulio uchi?Mimi siungi mkono, wewe unayeunga mkono ndo utuonyeshe mfano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unaukataa ukweli ulio uchi?Mimi siungi mkono, wewe unayeunga mkono ndo utuonyeshe mfano
Kwamba siungi mkono au kwamba nini?Kwanini unaukataa ukweli ulio uchi?
Kwamba wacha wafe tu depopulate watu na kuna haja ya kupunguza watu hasa ukanda wetu wa Afrika ambao kimsingi ni namba isiyo na faida kwa ustawi wa ulimwengu.Kwamba siungi mkono au kwamba nini?
Inabidi mnaunga mkono hoja mtangulie ili kutuonyesha sisi mfano.Kwamba wacha wafe tu depopulate watu na kuna haja ya kupunguza watu hasa ukanda wetu wa Afrika ambao kimsingi ni namba isiyo na faida kwa ustawi wa ulimwengu.
Nani aliyewalazimisha upo sawa kweli?? Mkuu au nawew ndo hvo Tena hamnazo??
Kwa hiyo wakiwa sponsored na imperialists ni sawa, si ndiyo?!We umeona mbali,hao nahisi ni government sponsored, angalia hata aina ya mabango waliyoshika,ni mabango ambayo yanaubunifu fulani na hata lugha iliyotumika sio ya mwananchi wa kawaida hio.
Ni wapi nimeandika hayo kwenye maelezo yangu?Kwa hiyo wakiwa sponsored na imperialists ni sawa, si ndiyo?!
Hiyo kazi aliiweza MagufuliUjinga kama wa Tigray unahitaji nguvu kubwa tena isiyo na huruma kuumaliza. Wajifunze kwa Sri Lanka jinsi walivyowamaliza Tamil Tigers..... tembeza kichapo cha nguvu, kelele za nchi za magharibi zitakuja tu baadae.