Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Hao ni vichaa
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Acha wapigwe tu pesa wanashida ya afya ya akili...mwamposa kawafanya shamba lake acha awavune
 
Mamia wanamiminika kwa siri kupata dawa za kupandishwa vyeo mlingotini bagamoyo! Kila mtu aamini anachokitaka
 
Shuhuda gan nyie mamburula mnajaza seva tu hapa, kwan mamposa na kiboko ya wachaw wana tofaut gani
Mbulula ni wewe usiejua kama Kuna ulimwengu mbili wa Roho na mwili.

Umekariri ulimwengu wa mwili tuu, huna Imani wewe kafie mbele fala
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
Wacha chukuwachakomapema watawale milele! 👺👿💢🗯️😠😡😤😾🤬🥹
 
Mbona watu wanatendewa, na wanatoa shuhuda? Ina maana hao maelfu na Malaki mpaka mamilioni ya watu wanao toa shuhuda wakiwemo waburundi wakenya watanzania mpaka wa USA kwamba wote ni waongo au?

Acheni ubishi wa kijinga usio na maana kama huna uhakika na unachokizungumza au kukiandika ni heri ukakaa kimya kuliko kuropoka
Nyinyi hata mkiambiwa mle mavi ya Mwamposa ni dawa mtakula. Poleni sana mmekubali kushikiwa akili
 
Maelfu ya watanzania wamonekana katika misururu mirefu wakipanga foleni kuchukua Udongo mtakatifu kutoka kwa mtume Mwamposa huko Arusha ili udongo huo uweze kuwatatulia matatizo Yao mbali mbali ikiwemo umasikini , njaa na magonjwa mbalimbali.

Baada ya kuja na version ya mafuta na maji sasa mtume amekuja na Udongo . Tusubiri next version atakuja na nini.
Badala ya kuchukua Udongo kupeleka maabara kupima kama unafaa kwa kilimo cha aina Fulani ya mazao watanzania wanachukua Udongo unaoitwa mtakatifu ili kuwatatulia matatizo waliyo nayo. We still have a long journey to Go.
wajinga ndio waliwao na ukishinda unaua mijinga yaani hadi jioni wala huwezi kuyamaliza, itoshe kusema wapigwe tu maana hawana akili.
 
Back
Top Bottom