Maelfu wamiminika kuchukua Udongo mtakatifu huko Arusha kwa mtume Mwamposa

Hao ni vichaa
Acha wapigwe tu pesa wanashida ya afya ya akili...mwamposa kawafanya shamba lake acha awavune
 
Naona hugu gushetani gunazidi kupasua kujitwalia utukufu miongoni mwa wajinga
 
Mamia wanamiminika kwa siri kupata dawa za kupandishwa vyeo mlingotini bagamoyo! Kila mtu aamini anachokitaka
 
Shuhuda gan nyie mamburula mnajaza seva tu hapa, kwan mamposa na kiboko ya wachaw wana tofaut gani
Mbulula ni wewe usiejua kama Kuna ulimwengu mbili wa Roho na mwili.

Umekariri ulimwengu wa mwili tuu, huna Imani wewe kafie mbele fala
 
Wacha chukuwachakomapema watawale milele! 👺👿💢🗯️😠😡😤😾🤬🥹
 
Nyinyi hata mkiambiwa mle mavi ya Mwamposa ni dawa mtakula. Poleni sana mmekubali kushikiwa akili
 
wajinga ndio waliwao na ukishinda unaua mijinga yaani hadi jioni wala huwezi kuyamaliza, itoshe kusema wapigwe tu maana hawana akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…